Kero kero kero!

Bishanga

JF-Expert Member
Jun 29, 2008
15,323
10,050
Kila kukicha kinamama wana MMU kazi kutusimanga,sasa leo na mimi ngoja niwatolee uvivu.Kinamama mnatukera kwa haya yafuatayo:
1.Utegemezi: Unambeep mmeo/hawara/bf,nini mama?unamuuliza, 'naomba unitumie vocha',sawa nakurushia ya elfu kumi,muda mchache baadae unanibeep,nakupigia 'luku imeisha baba'sasa nambieni hiyo vocha elfu kumi huwa mnampigia nani? au ni kwa ajili ya kupigia umbea,'Eh mwenzangu jana si nikamwona Bishanga anaingia gest',inahusu?
2.Wivu: Mara upekenyue simu yangu,nikirudi nyumbani 'oh ulikuwa wapi' mara 'nani huyo ulimpakia kwenye gari',nikivua nguo mara unuse kufuli langu, jamani ya nini yote haya? mbona sisi hatuwafatilii hivyo?
3.Kununa: Mara unune,mara uvimbe,mara unisonye kwa mbali,nimekukosea nini? nikuuliza husemi kitu,mkoje jamani?
4. Gubu:Hata kama nilikukosea mwaka 1947 na nikakuomba radhi ukajitia umenisamehe ni bure tu,nikikukosea kidogo leo ,utasikia 'oh ndo mana nilikubamba na hausgel'sasa jamani tukio la 1970 unalibebea bango mpaka leo,we umenikosea mangapi mbona huwa sirudii kuyakumbushia?
5.Mnaongea mno: Wanawake mnaongea jamani, pich pich pich pich,du,hamchoki mkaacha na waume/hawara/bf zenu wakaongea?
6.Uvivu: Sasa kuajiri housegirl ndo iwe sababu ya huyo housegirl kufua hadi kufuli zangu,na kibaya zaidi baba akiumwa eti yeye ndo anamkumbusha dawa,chakula anampakulia yeye,halafu mzee akimfanzia mnakuja juu.
7.Ubinafsi: Nikilipa schoolfees za mdogo wako poa tu,paa la nyumba ya shangazi yako likiepuliwa na kimbunga nikatoa pesa ya mabati poa tu,mama yako akiumwa nikampeleka India poa tu,lakini shuhudia mtoto wa dada yangu akose karo nimlipie au nimnunulie ka gari baba yangu mstahafu,huo mziki wake utaukoma,'eh ndo mana hatuendelei sijui nini sijui nini' lol!
Ngoja nipumzike kwanza ntarudi baadae,nina hasira flan hivi.
 
mmmh,mwenzangu sio wote tupo hivyo jamani.labda huyo wako,inabidi umueleweshe,kama haelewesheki,basi potezea hizo longolongo zake.
 
Ukitaka kuwajua wa dizaini hizo, angalia mawazo yao yakoje katika shughuli za kila siku hapo ndo utapata kitu cha kuwapotezea!
 
Kila kukicha kinamama wana MMU kazi kutusimanga,sasa leo na mimi ngoja niwatolee uvivu.Kinamama mnatukera kwa haya yafuatayo:
1.Utegemezi: Unambeep mmeo/hawara/bf,nini mama?unamuuliza, 'naomba unitumie vocha',sawa nakurushia ya elfu kumi,muda mchache baadae unanibeep,nakupigia 'luku imeisha baba'sasa nambieni hiyo vocha elfu kumi huwa mnampigia nani? au ni kwa ajili ya kupigia umbea,'Eh mwenzangu jana si nikamwona Bishanga anaingia gest',inahusu?
2.Wivu: Mara upekenyue simu yangu,nikirudi nyumbani 'oh ulikuwa wapi' mara 'nani huyo ulimpakia kwenye gari',nikivua nguo mara unuse kufuli langu, jamani ya nini yote haya? mbona sisi hatuwafatilii hivyo?
3.Kununa: Mara unune,mara uvimbe,mara unisonye kwa mbali,nimekukosea nini? nikuuliza husemi kitu,mkoje jamani?
4. Gubu:Hata kama nilikukosea mwaka 1947 na nikakuomba radhi ukajitia umenisamehe ni bure tu,nikikukosea kidogo leo ,utasikia 'oh ndo mana nilikubamba na hausgel'sasa jamani tukio la 1970 unalibebea bango mpaka leo,we umenikosea mangapi mbona huwa sirudii kuyakumbushia?
5.Mnaongea mno: Wanawake mnaongea jamani, pich pich pich pich,du,hamchoki mkaacha na waume/hawara/bf zenu wakaongea?
6.Uvivu: Sasa kuajiri housegirl ndo iwe sababu ya huyo housegirl kufua hadi kufuli zangu,na kibaya zaidi baba akiumwa eti yeye ndo anamkumbusha dawa,chakula anampakulia yeye,halafu mzee akimfanzia mnakuja juu.
7.Ubinafsi: Nikilipa schoolfees za mdogo wako poa tu,paa la nyumba ya shangazi yako likiepuliwa na kimbunga nikatoa pesa ya mabati poa tu,mama yako akiumwa nikampeleka India poa tu,lakini shuhudia mtoto wa dada yangu akose karo nimlipie au nimnunulie ka gari baba yangu mstahafu,huo mziki wake utaukoma,'eh ndo mana hatuendelei sijui nini sijui nini' lol!
Ngoja nipumzike kwanza ntarudi baadae,nina hasira flan hivi.

Mkuu, ingawaje hasira hazijengi lakin naunga mkono hoja ya kuwapa kwinini wameze. Maana kuna mambo mengine wakifanya wao utasikia "oooh mume ndio sababu ya mke kutoka nje, hamjali mke wake" yaani full utetezi, wakifanya wanaume sasaaaaaaaaa utaanza kusikia nyimbo "oooh nyie wanaume ndio mlivyo, hamtosheki"
Leo ngoja nivae uso wa mbuzi, wape hao banaa
 
Mengine yote hayanihusu ila no.4 mmmh!Tatizo ni kwamba hua sisahau kitu!Pole kwa kuboreka!
 
mmmh,mwenzangu sio wote tupo hivyo jamani.labda huyo wako,inabidi umueleweshe,kama haelewesheki,basi potezea hizo longolongo zake.
ki-sugar ushauri gani huu inaonyesha huu ni uhusiano wa muda mrefu na labda wana watoto,badala ya kusuluhisha unataka ampotezee utamkaribisha kwako ?
 
ki-sugar ushauri gani huu inaonyesha huu ni uhusiano wa muda mrefu badala ya kusuluhisha unataka ampotezee utamkaribisha kwako ?
kama yeye mwenyewe alivyosema ana hasira.unajua kuna baadhi ya watu hata umueleweshe vipi haelewi ni kama tabia ya mtu.sasa utakasirika kwa kila jambo?inabidi mambo madogomadogo uyapuuze,otherwise utajitia presha bure.kwani juu ya maudhi,yapo mengine ambayo ni mazuri.life is too short jamani
 
Kila kukicha kinamama wana MMU kazi kutusimanga,sasa leo na mimi ngoja niwatolee uvivu.Kinamama mnatukera kwa haya yafuatayo:
1.Utegemezi: Unambeep mmeo/hawara/bf,nini mama?unamuuliza, 'naomba unitumie vocha',sawa nakurushia ya elfu kumi,muda mchache baadae unanibeep,nakupigia 'luku imeisha baba'sasa nambieni hiyo vocha elfu kumi huwa mnampigia nani? au ni kwa ajili ya kupigia umbea,'Eh mwenzangu jana si nikamwona Bishanga anaingia gest',inahusu?
2.Wivu: Mara upekenyue simu yangu,nikirudi nyumbani 'oh ulikuwa wapi' mara 'nani huyo ulimpakia kwenye gari',nikivua nguo mara unuse kufuli langu, jamani ya nini yote haya? mbona sisi hatuwafatilii hivyo?
3.Kununa: Mara unune,mara uvimbe,mara unisonye kwa mbali,nimekukosea nini? nikuuliza husemi kitu,mkoje jamani?
4. Gubu:Hata kama nilikukosea mwaka 1947 na nikakuomba radhi ukajitia umenisamehe ni bure tu,nikikukosea kidogo leo ,utasikia 'oh ndo mana nilikubamba na hausgel'sasa jamani tukio la 1970 unalibebea bango mpaka leo,we umenikosea mangapi mbona huwa sirudii kuyakumbushia?
5.Mnaongea mno: Wanawake mnaongea jamani, pich pich pich pich,du,hamchoki mkaacha na waume/hawara/bf zenu wakaongea?
6.Uvivu: Sasa kuajiri housegirl ndo iwe sababu ya huyo housegirl kufua hadi kufuli zangu,na kibaya zaidi baba akiumwa eti yeye ndo anamkumbusha dawa,chakula anampakulia yeye,halafu mzee akimfanzia mnakuja juu.
7.Ubinafsi: Nikilipa schoolfees za mdogo wako poa tu,paa la nyumba ya shangazi yako likiepuliwa na kimbunga nikatoa pesa ya mabati poa tu,mama yako akiumwa nikampeleka India poa tu,lakini shuhudia mtoto wa dada yangu akose karo nimlipie au nimnunulie ka gari baba yangu mstahafu,huo mziki wake utaukoma,'eh ndo mana hatuendelei sijui nini sijui nini' lol!
Ngoja nipumzike kwanza ntarudi baadae,nina hasira flan hivi.

Pole sana Bishanga, naona uko na hasira kwelikweli!! Ila taratibu tu usije ukachapa bakora wasiohusika. Ninaamini katika mawasiliano, kama hufurahii kitu kwa mwenzi wako, ni vizuri ukamweleza; kama kweli anakupenda, atabadilika.

Ila hapo penye red, kama kuna mwanamke anafanya hivyo, huyo amepitiliza....:A S 13::A S 13::A S 13:
 
Mbona ukiandika scientific paper unafanya reference ya kazi za zamani, iweje leo mke wako akifanya reference ya matendo yako mabovu ya zamani uchukie?

Mtafiti mzuri ni yule anayeweka historia ya utafiti wake kwa kuangalia nini kilifanyika kabla.
 
Kila kukicha kinamama wana MMU kazi kutusimanga,sasa leo na mimi ngoja niwatolee uvivu.Kinamama mnatukera kwa haya yafuatayo:
1.Utegemezi: Unambeep mmeo/hawara/bf,nini mama?unamuuliza, 'naomba unitumie vocha',sawa nakurushia ya elfu kumi,muda mchache baadae unanibeep,nakupigia 'luku imeisha baba'sasa nambieni hiyo vocha elfu kumi huwa mnampigia nani? au ni kwa ajili ya kupigia umbea,'Eh mwenzangu jana si nikamwona Bishanga anaingia gest',inahusu?
2.Wivu: Mara upekenyue simu yangu,nikirudi nyumbani 'oh ulikuwa wapi' mara 'nani huyo ulimpakia kwenye gari',nikivua nguo mara unuse kufuli langu, jamani ya nini yote haya? mbona sisi hatuwafatilii hivyo?
3.Kununa: Mara unune,mara uvimbe,mara unisonye kwa mbali,nimekukosea nini? nikuuliza husemi kitu,mkoje jamani?
4. Gubu:Hata kama nilikukosea mwaka 1947 na nikakuomba radhi ukajitia umenisamehe ni bure tu,nikikukosea kidogo leo ,utasikia 'oh ndo mana nilikubamba na hausgel'sasa jamani tukio la 1970 unalibebea bango mpaka leo,we umenikosea mangapi mbona huwa sirudii kuyakumbushia?
5.Mnaongea mno: Wanawake mnaongea jamani, pich pich pich pich,du,hamchoki mkaacha na waume/hawara/bf zenu wakaongea?
6.Uvivu: Sasa kuajiri housegirl ndo iwe sababu ya huyo housegirl kufua hadi kufuli zangu,na kibaya zaidi baba akiumwa eti yeye ndo anamkumbusha dawa,chakula anampakulia yeye,halafu mzee akimfanzia mnakuja juu.
7.Ubinafsi: Nikilipa schoolfees za mdogo wako poa tu,paa la nyumba ya shangazi yako likiepuliwa na kimbunga nikatoa pesa ya mabati poa tu,mama yako akiumwa nikampeleka India poa tu,lakini shuhudia mtoto wa dada yangu akose karo nimlipie au nimnunulie ka gari baba yangu mstahafu,huo mziki wake utaukoma,'eh ndo mana hatuendelei sijui nini sijui nini' lol!
Ngoja nipumzike kwanza ntarudi baadae,nina hasira flan hivi.

Pamoja kaka!
 
Aithee Bishanga uliyoandika YOTE NI KWELI TUPU 100%!, sometime wanakera sana baadhi ya hawa wamama HASA HIYO NAMBA 7, YAANI HIYO SIO BAADHI ILA NI WAMAMA WOTE!
 
Mbona ukiandika scientific paper unafanya reference ya kazi za zamani, iweje leo mke wako akifanya reference ya matendo yako mabovu ya zamani uchukie?

Mtafiti mzuri ni yule anayeweka historia ya utafiti wake kwa kuangalia nini kilifanyika kabla.
Asante BintiMkongwe!Kwanzia leo ntakua nakumbushia bila wasi wasi kabisa!
 
Hapo kwenye namba nne. Mtu anakwambia umenikosea unamuomba samahani anakwambia nimekusamehe lakini kauli na matendo yake hayaonyeshi kama kweli amekusamehe hili mimi hunikosesha raha sana. Neno "samehe" lina uzito mkubwa sana hivyo unapolitamka basi uonyeshe kweli kama umesemehe na siyo kulitamka tu kirahisi rahisi.
 
Aithee Bishanga uliyoandika YOTE NI KWELI TUPU 100%!, sometime wanakera sana baadhi ya hawa wamama HASA HIYO NAMBA 7, YAANI HIYO SIO BAADHI ILA NI WAMAMA WOTE!

Wewe embu kua na heshima kidogo!Wengine roho za kichoyo na ubinfsi hatukupewa...Unless hatuko kwenye kundi la wamama!
 
Hapo kwenye namba nne. Mtu anakwambia umenikosea unamuomba samahani anakwambia nimekusamehe lakini kauli na matendo yake hayaonyeshi kama kweli amekusamehe hili mimi hunikosesha raha sana. Neno "samehe" lina uzito mkubwa sana hivyo unapolitamka basi uonyeshe kweli kama umesemehe na siyo kulitamka tu kirahisi rahisi.

Tatizo sio matendo kana kwamba utaendelea kununiwa ila kusahau kunashindikana kwahiyo ukirudia tena unakumbushiwa!
 
Back
Top Bottom