Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
ukweli mtupu
Mmh!
ukweli mtupu
:ear:...................(sio mimi)
mmewapata hao hao wa kuwachezea mshukuru, halafu Nyamayao nyie ndio wale mnaojifanya hapa kuongea hivi kumbe mkiwa home mnakuwa wapole dizaini ya NDIO MZEE hakuna kupinga kitu
:embarrassed::embarrassed:
unajua nini!..:embarrassed::embarrassed:
Kuhusu kero katika mahusiano ya ndoa??unajua nini!..
i need to talk to you
i said WE NEED TO TALK BWANA!....Kuhusu kero katika mahusiano ya ndoa??
Swala hapa sio unyumba ,swala ni mapenzi na family..mnaona nyumba zenu kama kituo cha police au??
Ukiwa huko huwa hukumbuki family yako?