Kenya's SportPesa has become the first African company to sponsor an English Premier League club

Ebu nionyeshe Shati la Sunderland ama LA Galaxy lililoandikwa TTB? Wewe ndio utaacha upumbavu.

Not only jearsy but also the pitch boards!

image_update_img.jpg


1381032207_img_3530_630_450_c1.jpg
 
thats a government agency/entity/parastatal/govt affiliated right? or is it a privately owned and run company
it is a mixture of the two private sector member representatives sits in the board meetings too!
 
geza, thats like how pepsi or barclays pay some cash to run or show promotions while matches are playing, its just a promotional thing, just like advertising in CNN or something like that.... you are not actually sponsoring the team!!!!
 
Ku claim Mlima Kilimanjaro upo kwenu hakuufanyi kuwa wenu.. so sisi waTZ hatuoni shida pale mnapokuwa desperate kutafuta watalii kwa false publicity. After all wanaotaka kuja Kilimanjaro wanajua wataukuta wapi..

Kuhusu hiyo sport pesa.. I guess move nzuri ilikuwa kuinua michezo ya hapo nyumbani.. ila kwa kuwa mimi si mpangaji wa matumizi ya pesa zao sina la ku judge.. Hull city haina washabiki wengi Kenya after all.

By the way.. baada ya wiki haya yote tutayasahau.. wenye maisha magumu watarudi kwenye maisha yao.

Adiós.
Hull City itaongezeka mashabiki hapa Kenya mimi nikiwa mmoja wao, na kila wikendi nitakuwa nikifuatilia mechi zao kisa na maana, niwe nikiona jina sportpesa limebandikwa kwenye jezi lao
 
Ku claim Mlima Kilimanjaro upo kwenu hakuufanyi kuwa wenu.. so sisi waTZ hatuoni shida pale mnapokuwa desperate kutafuta watalii kwa false publicity. After all wanaotaka kuja Kilimanjaro wanajua wataukuta wapi..

Kuhusu hiyo sport pesa.. I guess move nzuri ilikuwa kuinua michezo ya hapo nyumbani.. ila kwa kuwa mimi si mpangaji wa matumizi ya pesa zao sina la ku judge.. Hull city haina washabiki wengi Kenya after all.

By the way.. baada ya wiki haya yote tutayasahau.. wenye maisha magumu watarudi kwenye maisha yao.

Adiós.
michezo yanyumbani inainuliwa babaz.....kama hunahabari uliza uelzewe.alafu hiyo kili hatujasema iko kwetu.twaitumia kukula tu
 
Hull city first match is against Leicester I sure do hope they win... it will be big.....also I see hull city playing Gor mahia or AFC leopards before elections next year!!
 
geza, thats like how pepsi or barclays pay some cash to run or show promotions while matches are playing, its just a promotional thing, just like advertising in CNN or something like that.... you are not actually sponsoring the team!!!!
Nailed it.
 
Geza is really struggling to keep up with the Joneses, fake it till you make it bruh.
 
Faida za hiyo firm(sport pesa) kwa wakenya

~Revenue generating from Tax

~Employment to Kenyans wanaofanya kwa hiyo COY

HASARA ZAKE KWA WAKENYA

~Kufilisi waKenya

~Coy si kwa ajili ya service wala product(just some sort of WIZI WA MCHANA) au vile mwizi anajiibia pekeyake kwa kutoa hela mfuko wa kulia na kuweka kushoto

~ Kuwafanya waKenya wawe wavivu to extreme

Sasa mtu akuje aseme kwanini Kenya inaongoza kwa wizi(ref. Mugabe)
 
Online betting firm SportPesa has become the first African company to sponsor an English Premier League club after it signed a three-year deal with Hull City.

The firm will have its name and company logo on Hull City's home, away and third shirts for the 2016/17, 2017/18 and 2018/19 seasons, according to information on the club's website.

"The new sponsorship deal is the most lucrative in the Club’s proud 112-year history," read a statement on the Tigers website.

SportPesa Chief Executive Officer Ronald Karauri said: “This is a big milestone for SportPesa as it marks the scaling of a Kenyan brand into the global market.

"The SportPesa platform will now be available in the United Kingdom and later in the year present in several African countries. One year from now we will have [a] presence in at least four continents.

“Part of our deal will see The Tigers be the first English Premier League team ever to come to Kenya to play a select side as part of our campaign towards having Kenya compete in the World Cup for the first time in 2022.”

The deal whose monetary value was not revealed by either party is believed to be worth millions of Sterling Pound.

Simon King, Hull City’s Commercial Manager, said: “We are delighted to form a three-year partnership with SportPesa.

“SportPesa are so much more than a betting brand, this is a company with a huge footprint across grassroots sport in Kenya, as well as the rest of Africa.

“The deal is by far the largest in our history and a sign of our ambition to grow our Club and become a household name in our sport globally," said Mr King.

Immediately after the signing of the deal, the EPL side posted on its twitter handle pictures of its players modelling the kit at the KCOM Stadium and another of Karauri displaying Hull’s new home kit with SportPesa’s name and logo, their new shirt sponsors, emblazoned at the front.

The partnership with Hull City comes in the wake of what is seen as vicious expansionist strategy by the bookmakers, which has seen them enter into other deals with the Kenya Rugby Union (Sh 607 million), Kenyan Premier League (Sh 450 million), Gor Mahia (Sh 325 million), AFC Leopards (Sh 225million), amongst others.
SportPesa becomes first African firm to sponsor an English club
Great.
 
Back
Top Bottom