kwamwewe
JF-Expert Member
- Jul 15, 2010
- 1,801
- 541
Mimi nakuita kijana maana mimi nina more than 53 years sasa. NINAKUKANYA KATIKA JINA LA YESU UACHANE na hiyo dhambi ya USHOGA maana kama BIBLIA inavyosema katika kitabu cha MWANZO kwamba Mungu alisema na tuumbe mtu kwa mfano wetu, basi MUNGU akamuumba MWANAUME na MWANAMKE
Kwenye Chapters zinazoendlelea akasema ZAENI MKAONGEZEKE MKAIJAZE NCHI.
Ssa niambie wewe na uhusiano wako huo na WANAUME Wenzako utatimizaje agizo la MUNGU la kuzaa na kuongeza idadi ya watu ?
Wapi kwenye BIBLIA aliposema Mungu aliruhusu MWANUME AOANE NA MWANAUME?
TUBU DHAMBI ZAKO NA UACHE MARA MOJA YESU YUKO TAYARI KUKUPOKEA.
Mimi mama yako
Homosexuality, is it a Sin?