King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Lol! Nimecheka sana!
Kuna watu akili zao zinawaza nini sijui! Ila nakubaliana na FF, kwa dunia nzima Tz tunashika namba kwa kujichubua! Ukipoteana na mtu 10 yrs mkikutana keshakuwa mdhungu usoni, usithubutu kumuangalia miguu kama bado hujapata lunch!
Kuna watu akili zao zinawaza nini sijui! Ila nakubaliana na FF, kwa dunia nzima Tz tunashika namba kwa kujichubua! Ukipoteana na mtu 10 yrs mkikutana keshakuwa mdhungu usoni, usithubutu kumuangalia miguu kama bado hujapata lunch!