Kenyans ask Uhuru Kenyata to emulate Magufuli wetu!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
12347827_10153727478867482_552  0739766082668058_n.jpg




 
Last edited by a moderator:
Zamu yao na Vasco Da Gama wao!
 

Attachments

  • 151207083942_uhuruinkenyakaribu.jpg
    151207083942_uhuruinkenyakaribu.jpg
    27 KB · Views: 1,169
  • 151207084232_uhuruinkenyatransit.jpg
    151207084232_uhuruinkenyatransit.jpg
    16.9 KB · Views: 1,166
Last edited by a moderator:
Hapa umewagusa wakenya wa jf pabaya wachangiaji wachache, wakenya wa jf wako tofauti na wakenya wa mtaani kwa kutotambua ukweli kwa makusudi
 
Hapa umewagusa wakenya wa jf pabaya wachangiaji wachache, wakenya wa jf wako tofauti na wakenya wa mtaani kwa kutotambua ukweli kwa makusudi

Umekosea sana jombaa,wakenya wengi tu hata hapa jf wanamtambua magufuli sana kwa anayofanya kwa vitendo si kuengea tu kama viongozi wengi Afrika.Wacha niseme zangu,mimi binafsi nimependelea kwa sana magufuli alivoingia kazi na kuindeleza kwa kasi ya ajab.

Yaani ni kama vile mkulima anapofika shambani akaona magugu yamelemea mmea wake,kinachobaki ni kukunja shati na kuanza kazi.Hapo ndo aliponifurahisha mie inakaa yeye alitamani urais kwa madaraka atakayopata ile afanye kazi si mali ama tu sifa ya urais.

Navoona ni kama vike alikuwa ana mpangilio wake zamani sanaa atakavofanya akipata urais.Mungu ampe nguvu ya kuendelea hivo hivo, ataipeleka tanzania majirani na watani wetu mbali sana, inshallah!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom