Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
mkuu kuna forum ya wakenya hapa JF tupia kule
R.I.P saitoti
Mkuu hata hapa inafaa pia, hao ni jirani zetu si vibaya tukapata habari zao. R.I.P wote mliopoteza uhai.
mkuu kuna forum ya wakenya hapa JF tupia kule
R.I.P saitoti
KBC (Television ya Taifa ya Kenya) wanaugua ugonjwa sawa na wa TBC yetu. Hadi dakika hii KBC wanaonesha mambo ya muzuki wakati Taifa limekumbwa na msiba mkubwa! Citizen TV ndio wanaonesha habari ya ajali lakini wao KBC ni muziki! Hii inanikumbusha ajali ya Spice Islander na TBC. Inaudhi.
kwani hiyo choper si kama ile ya chadema.!!!
Nao hawana muda, utasikia siku moja, Mbowe, Slaa, Zitto, Lema na Tundu Lissu is no..................due to helicopter cra........., they were going to loot M4C spirits in western zone.!
R. I. P. Saitoti. Umekuwa waziri tangu nipo primary hadi nimemaliza chuo na kazi kwa miaka ya kutosha. Angalau Mungu amekuondoa Madarakani maana hata ungefikia miaka mia bado usingeridhika! Umetuthibitishia kuwa ni kweli "binadamu hatosheki" na "Mungu ndiye muweza wa yote". Byebye.
R.I.P kwa wao wote.ni coincedent ya ajabu coz 2008 tarehe kama ya leo kuna waziri na naibu wake pia walifariki kwa plane crash.
Saitoti alikuwa mmoja kati ya watakao gombea urais 2012 LALA SALAMA SAITOTI[Alikuwa pnu au odm? Naomba kujua coz serikali yao ni ya umoja wa kitaifa
Kila siku nawaambia kuwa ccm ni wanyama wana roho mbaya na ni wauaji lakini mnabisha ..angalieni maneno ya mwana ccm haya .. Hawa ndio maana walimuua kolimba na wakataka kumuua mwakyembe. Wana roho ngumu sana nashangaa mtu anayepanga foleni kwa muda mrefu kisha anaenda kuipigia kura ccm.
Mkuu pole sana wamasai wote wa ukanda hui wa afrika masharikiDuh wamasai tumepata pigo ktk eneo la afrika mashariki...R.I.P Ole saitoti.