Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 754
Usije ukadhani ni viti vya timu ya Manchester uwanjani kwao,bali ni viti vitakavyotumika katika bunge la Kenya thamani ya kiti kimoja kinakaribia USD $3000 au Tsh 4.7 milioni.inakadiliwa vitadumu kwa muda wa miaka 30 mpaka kuchakaa.na hivyo kilifanya bunge la kenya kuwa moja la bunge linye viti ghali afrika.na isitoshe wabunge wa kenya ndio wanapokea kiasi kikubwa cha pesa mwisho wa mwezi ambayo inakaribia USD $10,000