FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Kila siku tunalia nchi za africa ni masikini kwa mambo yenyewe haya ,,kichefuchefu
Si kwamba tu hukumsikia, inaelekea humfahamu Raila! Ungemfahamu - fuatilia wapinzani wake wanamuitaje na kwa nini kina Uhuru wanamchukia hivyo - usingefikiria kuwa alipinga kinafiki.