issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,781
- 5,205
leo nilitune KBC channel one mida ya asubuhi. Moja kati ya taarifa zao ilikuwa punguzo la bei ya mafuta (petrol, diesel na kerosene) karibu nchi nzima ya Kenya kuna punguzo la karibu Kshs 5 ambayo ni karibu tshs 70. Je ina maana wenzetu wananunua mafuta sehemu tofauti na tunaponunua Tanzania?