Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Hizi habari kwamba askari wa Kenya wanapitisha msako kuwakamata watu wa asili ya kisomali walioko Kenya zina ukweli gani?
Inasemekana watu kama 300 wameshakamatwa jijini Nairobi.
Tujuzeni ukweli.
Inasemekana watu kama 300 wameshakamatwa jijini Nairobi.
Tujuzeni ukweli.