Kenya wazima simu fake!

Tanzania inaanza na nguo feki, walizonazo zitaanza kuvuka zenyewe bila ya kuzivua.
 
Hizi live comments toka kwa wakenya from this link

DAILY POST: FAKE PHONES: Here are the numbers


[h=3]comments for FAKE PHONES: Here are the numbers[/h]
  • Anonymous1 October 2012 07:06
    blank.gif



    hakuna hiyooo, fake phones ae stilll alive and kicking The figures above are just a show off but the reality is that people are busy calling with them

  • Anonymous1 October 2012 07:11
    blank.gif



    i'm using my unregistered orange line to surf as we speak. my airtel net line is still working. oh well works for me

  • AnonymousAnonymous1 October 2012 07:12
    blank.gif



    yangu ni china na haijafungwa


  • 1 October 2012 07:13
    blank.gif



    Uwongo, fake phones kitu gani. Si mi niko na yangu bado? mbele imeandikwa samsung, chini ya battery imeandikwa Siemens. Na IMEI ni 7 digits. Na bado namake calls bila shida. Tisho baridi hiyo.


  • Anonymous1 October 2012 07:14
    blank.gif



    THE ONLY THING I UNDERSTAND THAT NETWORK ERROR CZ I BOUGHT MY PHONE FROM SAFCOM SHOP 1 YR AGO AND NOW I CANT MAKE CALLS


  • AnonymousAnonymous1 October 2012 07:16
    blank.gif



    ati simu ghushi{ where did they get this one from? & where were they ;when they got in this city?????

  • 1 October 2012 07:18
    blank.gif



    corruption has crippled...cck imeanza kutake bribes...if u dont want ur phone to be switched off be ready to part with 5k.



  • AnonymousAnonymous1 October 2012 07:47
    blank.gif



    Yangu mtafunga?niko na Tecno twin sim bado hamjafunga.Mtafunga lini?

  • AnonymousAnonymous1 October 2012 08:37
    blank.gif



    Anybody with a fake phone call me on 0722239982 i need it for my research work or anybody with information where they are found, kindly let me know!

  • 1 October 2012 09:31
    blank.gif



    This is Kenya ya kitu kidogo na uongo mob. most of us have those phones. we bought them from the shops. since we have receipts the same ppl who allowed them to brought in the country do u think they'll allow them to be switched off for the shippers to turn to them? huu ni upuzi. hakuna simu hata moja imezimwa. before midnight they had already given kitu kidogo kifanye kitu kikubwa. This is Kenya for u.

  • Omosh1 October 2012 10:07
    blank.gif



    Wa!! Ya my friend imezimwa na tuko Somalia Kwani CCK inafika huku?
 
Utakuwa mwisho wa kupata simu kwa 10,000 - 20,000. Kwa hakika hatua hii ikija kwetu kutakuwa na kupiga hatua nyuma kimawasiliano kitaifa.
 

Stori kubwa Kenya ambayo hata kwenye AMPLIFAYA ya CLOUDS FM october 1 2012 imeshika nafasi ya kwanza ni kuhusu mamlaka ya mawasiliano nchini Kenya kuzizima kiteknolojia simu zote zilizofeki ambazo zimekua zikitumiwa na wakenya.

Mtangazaji wa Citizen Tv/Radio William Tuva ameripoti kwamba wakenya walionunua simu feki wapo kwenye wakati mgumu na itawabidi wanunue simu original kwa sasa ili kurudi tena kwenye mawasiliano.

Ameripoti pia kwamba inasemekana katika mtandao wa simu za mkononi wa Safaricom peke yake ni wateja laki sita ambao wameripotiwa simu zao kuzimwa kwa sababu ni feki.

Kwenye line nyingine Tuva ameripoti pia kwamba Kenya imepoteza mabilioni ya shilingi kutokana na simu feki ambazo zimekua zikiingia sokoni kwa njia ambayo sio halali.

Baadhi ya wananchi ambao simu zao zimefungwa wamekaririwa wakisema waliamka asubuhi na kukuta simu zao hazifanyi kazi, kumbe tayari zimeshazimwa kiteknolojia na tume ya mawasiliano nchini humo ambapo kwa mujibu wa BBC n wateja milioni mbili na nusu ambao simu zao zimezimwa.


Mmoja wa watu hao amekaririwa akisema “usiku ninawekaga alamu nataka saa 11 niamke, sikusikia naamka tu naona nje kunapambazuka na simu yangu wamezima’
 
TCRA mnashindwa nini? Kama kusoma hujui hata picha? Yaani hata kukopi na kupesti kwa jirani nayo tabu najua watakuja na haya Nime-quit hai-quit ki,
 
Hivi ni kuzima simu fake au laini ambazo hazijasajiliwa? If it is the former how is it practically possible? educate me please

kwa tanzania hiyoni story tu yatapita na tutasahahu we fikiria tulilazimishwa kusajili simu mdaa ukaisha tukaongezewa miezi kadha . lakini mpaka leo hiinikitaka kutumia laini isiyosajiliwa naweza na hakuna tatizo sijui zile kelele zilikuwa ni za nini vile leo ndo mniambie watazima simu!!!!!!!!??????
 
nitakuwa mtu wa kwanza kufurahia kitendo hiki kama kikitokea Tanzania.
Niliwahi kutaja madhara ya Simu Feki, Kiuchumi.

Ya kwamba, TRA inapoteza kipato sana kwa kuwa simu hizi zinaingizwa kama spare part alafu watu wanaunda upya.
Ya kwamba simu hizi zinalipuka kwa kuwa hazina viwango vya FCC ,
Ya kwamba zinawafanya watu viziwi kwa kuwa wachina wanaweka spekaer za redio ndogo,
Ya kwamba Tanzania inatumia pesa nyingi kuagiza vipuri vya simu kwa dola huku zikika kwa wiki mbili tu.
Ya Kwamba Beteri zao zinaundwa kwa karatasi ya ubora wa chini badala ya plastiki au chuma hivyo madini ya L-polymere kuleta madhara.

Tume hii ya TZ initafute niwaonyeshe betri feki (copy) zenye madhara .
Ya kwamba zinatengeza ugomvi sana wananchi zidi ya mafundi wa simu kwani mwananchi safari za kwenda kwa fundi haziishi hivyo kwa wakina mama husababisha kuvunjika kwa ndoa.
Ya kwamba ajira ya Mafundi kuwa mbaya kwani atakosa sifa ikiwa anatengeneza kitu akiponi.
Ya kwamba kwakuwa hizi simu zimecopiwa IMSI , ICCID IMEI No. mtu anaweza kuitumia akijifanya mwenye simu hiyo hivyo na kufanya uaribifu kama wizi na asipatikane au kumwachia dhambi asiye husika, hata wizi wa mitandao.


Naongezea kitu tofauti.

Wenye vibanda vya kusajiri laini wote wafutwe.
1. Usajiri lini yoyote bila kufuta taratibu za kisheria.
2. Uongeza uchafu jijini kwa sehemu wafanyiazo kazi
3. Uleta usumbufu kwa parking za kulipia.
4. Usababisha mafarakano na mgambo kwani hujifanya wako sahihi.
5. Wengi hawana leseni wala kibari hivyo hufanya dhuruma kwa wenye leseni halali.
6. Ni kichaka cha waarifu kwani waarifu hufanya mapozi kwao kuchunguza maduka ya kufanya uaribifu.
7. Wasichana wengi hupafanya kama sehemu ya kukutanisha ma CD.
8. Wameanzisha Uwakala wa Fedha hivyo kukaa hovyo na kuidhalilisha biashara hii iliyosajiliwa kialali
 
Ngoja niende bank nikavute kiasi niingie nairobi chap!!nikirudi hapa na vimeo kama 2000 tu nimeukata kiaina,nampigia jamaa yangu wa huko aanze kunikusanyia kabisa.
 
nitakuwa mtu wa kwanza kufurahia kitendo hiki kama kikitokea Tanzania.
Niliwahi kutaja madhara ya Simu Feki, Kiuchumi.

Ya kwamba, TRA inapoteza kipato sana kwa kuwa simu hizi zinaingizwa kama spare part alafu watu wanaunda upya.
Ya kwamba simu hizi zinalipuka kwa kuwa hazina viwango vya FCC ,
Ya kwamba zinawafanya watu viziwi kwa kuwa wachina wanaweka spekaer za redio ndogo,
Ya kwamba Tanzania inatumia pesa nyingi kuagiza vipuri vya simu kwa dola huku zikika kwa wiki mbili tu.
Ya Kwamba Beteri zao zinaundwa kwa karatasi ya ubora wa chini badala ya plastiki au chuma hivyo madini ya L-polymere kuleta madhara.

Tume hii ya TZ initafute niwaonyeshe betri feki (copy) zenye madhara .
Ya kwamba zinatengeza ugomvi sana wananchi zidi ya mafundi wa simu kwani mwananchi safari za kwenda kwa fundi haziishi hivyo kwa wakina mama husababisha kuvunjika kwa ndoa.
Ya kwamba ajira ya Mafundi kuwa mbaya kwani atakosa sifa ikiwa anatengeneza kitu akiponi.
Ya kwamba kwakuwa hizi simu zimecopiwa IMSI , ICCID IMEI No. mtu anaweza kuitumia akijifanya mwenye simu hiyo hivyo na kufanya uaribifu kama wizi na asipatikane au kumwachia dhambi asiye husika, hata wizi wa mitandao.


Naongezea kitu tofauti.

Wenye vibanda vya kusajiri laini wote wafutwe.
1. Usajiri lini yoyote bila kufuta taratibu za kisheria.
2. Uongeza uchafu jijini kwa sehemu wafanyiazo kazi
3. Uleta usumbufu kwa parking za kulipia.
4. Usababisha mafarakano na mgambo kwani hujifanya wako sahihi.
5. Wengi hawana leseni wala kibari hivyo hufanya dhuruma kwa wenye leseni halali.
6. Ni kichaka cha waarifu kwani waarifu hufanya mapozi kwao kuchunguza maduka ya kufanya uaribifu.
7. Wasichana wengi hupafanya kama sehemu ya kukutanisha ma CD.
8. Wameanzisha Uwakala wa Fedha hivyo kukaa hovyo na kuidhalilisha biashara hii iliyosajiliwa kialali

ka! Mambo makubwa kwenye simu feki.
 
Hivi white hair si ana droo yake pale fodakomu?85% ya wateja wa kampuni hiyo wanatumia vimchina feki!ni vimchina hivyo ndiyo vinavyompa jeuri ya kukamata dola 2015!!vikizimwa hivi hata mwamvita makamba anaweza lipwa mshahara wa sh 120,000 kama mimi,ebu rudieni tena!!Tanzania nayo iige??aaaaah waaaapiii.
 
walikuwa wapi kuzuia uingizaji wa simu feki?adhabu imemuangukia mtumiaji wa mwisho na kumtajirisha mfanyabiashara.
 
kwa hili inabidi tuwapongeze KENYA kwa walichofanya maana ni cha manufaa kwa ustawi wa nchi yao maana watasaidia kupunguza uingiaji wa vitu fake kama simu ambazo kwa kweli Tz zimezidi sana.
 
nitakuwa mtu wa kwanza kufurahia kitendo hiki kama kikitokea Tanzania.
Niliwahi kutaja madhara ya Simu Feki, Kiuchumi.

Ya kwamba, TRA inapoteza kipato sana kwa kuwa simu hizi zinaingizwa kama spare part alafu watu wanaunda upya.
Ya kwamba simu hizi zinalipuka kwa kuwa hazina viwango vya FCC ,
Ya kwamba zinawafanya watu viziwi kwa kuwa wachina wanaweka spekaer za redio ndogo,
Ya kwamba Tanzania inatumia pesa nyingi kuagiza vipuri vya simu kwa dola huku zikika kwa wiki mbili tu.
Ya Kwamba Beteri zao zinaundwa kwa karatasi ya ubora wa chini badala ya plastiki au chuma hivyo madini ya L-polymere kuleta madhara.

Tume hii ya TZ initafute niwaonyeshe betri feki (copy) zenye madhara .
Ya kwamba zinatengeza ugomvi sana wananchi zidi ya mafundi wa simu kwani mwananchi safari za kwenda kwa fundi haziishi hivyo kwa wakina mama husababisha kuvunjika kwa ndoa.
Ya kwamba ajira ya Mafundi kuwa mbaya kwani atakosa sifa ikiwa anatengeneza kitu akiponi.
Ya kwamba kwakuwa hizi simu zimecopiwa IMSI , ICCID IMEI No. mtu anaweza kuitumia akijifanya mwenye simu hiyo hivyo na kufanya uaribifu kama wizi na asipatikane au kumwachia dhambi asiye husika, hata wizi wa mitandao.


Naongezea kitu tofauti.

Wenye vibanda vya kusajiri laini wote wafutwe.
1. Usajiri lini yoyote bila kufuta taratibu za kisheria.
2. Uongeza uchafu jijini kwa sehemu wafanyiazo kazi
3. Uleta usumbufu kwa parking za kulipia.
4. Usababisha mafarakano na mgambo kwani hujifanya wako sahihi.
5. Wengi hawana leseni wala kibari hivyo hufanya dhuruma kwa wenye leseni halali.
6. Ni kichaka cha waarifu kwani waarifu hufanya mapozi kwao kuchunguza maduka ya kufanya uaribifu.
7. Wasichana wengi hupafanya kama sehemu ya kukutanisha ma CD.
8. Wameanzisha Uwakala wa Fedha hivyo kukaa hovyo na kuidhalilisha biashara hii iliyosajiliwa kialali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom