Asango
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 234
- 24
nchi ya kenya imepata msiba baada ya waziri wake SAITOTI na watu wengenine sita kufariki kwenye ajali ya helcopter ya jeshi.hao sita nao wanasemekana pia ni viongozi wa serikali.nawatakia uvumilivu wakenya kwa kipindi hiki kigumu.R.I.P wote waliokumbwa na mauti