Kenya wakubali rasimu ya katiba mpya

mfianchi

Platinum Member
Jul 1, 2009
11,855
8,251
Hongera wananchi wa Kenya kwa kuikubali rasimu ya katiba mpya,hongereni sana sisi wenzenu wa Tanzania bado tuko kwenye usingizi wa pono,lo!nawaonea wivu mnapopuliza Vuvuzela kushangilia ushindi,sijui ni lini na mimi hapa nitakuja kupuliza vuvuzela kushangilia mabadiliko ya katiba yetu ambayo imejaa viraka kiasi kwamba hata viraka vyenyewe vimechoka kwani vinaachia uzi kwa kuzidiwa na uzito wa kuwekwa viraka vipya kila kukicha,sasa ni wakati wa kupata nguo mpya na kuitupa hiyo iliyojaa viraka,ni Mtikira peke yake ambaye anaona hii nguo ya viraka inatuaibisha wa TZ anataka tuvae nguo mpya ili tujisitiri maungo yetu lakini loh ni kama vile sauti za mtu aliae aliye nyikani
 
Back
Top Bottom