Kifimbo Cheza
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 248
- 112
Sasa wenzetu watapaa, sisi TZ tumewazidi kwa rasilimali lakini walikuwa wapo juu kiuchumi sasa wamepata mafuta itakuwaje? Tujadili wanaJF.
Kama ni kweli. That is good news for them.
Hayo mafuta yatawafaidisha kama watatokomeza rushwa na ufisadi. Wakijitahidi hayo mambo mawili. Ninawapa miaka 3 tuu, kenya itakuwa zaidi ya South Africa.
Mkuu usilinganishe na Tanzania kabisaaa. Kama waziri wa madini ni "Malima mhuni" unategemea nini? Afu raisi wetu checkbob. Kila siku anaruka angani kama tiara.
Ebu niambie familia yenu inaongozwa na baba check-bob, what do you expect. Baba yeye kila siku yuko na washikaji tu, kwake hatulii. Baba ambaye hana ubunifu wa kujitengenezea kipato. Yeye anategemea misaada kutoka kwa "masela" hahhaa
Ni huko TURKANA, Northen KENYA.
mkuu umeponda sana. Ngoja tiss wakamate ip adress yako utawaeleza.