KIKOSIKAZI
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 2,219
- 1,145
i must admit kenyan's are very ugly indeed
Sure,even your avatar have proved that
i must admit kenyan's are very ugly indeed
Wabongo bana kwa kujidai, kuna watu wanaovutia na wasiovutia, hata sisi tunaojidai kuchonga chonga kuna mwanamke akipita lazima tumsindikize kwa macho, labda wakitoa list ya unafiki na kujidai tu wakarimu sana wabongo tutashinda.. Btw naonaga kwenye churchill show kunakuwaga na mademu wazuri kweli au ni wa nairobi tu..?
Ni kweli mkuu, kuna wengine nakutana nao swahili village MD ni wazuri tu, labda wanaangalia kwa percentageMazee Kenya kuna madem poa,nilisoma huko bwana. Wazungu wasilete vigezo vyao ivo,lkn hawafikii rwanda
Kweli bhana.., Kenya wana traits za ajabu. USHAURI: wa-avoid inbreeding depression, wajitahidi kuoleana na Wanyarwanda.., with time these undesirable traits will disappear..
Kweli bhana.., Kenya wana traits za ajabu. USHAURI: wa-avoid inbreeding depression, wajitahidi kuoleana na Wanyarwanda.., with time these undesirable traits will disappear..