Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Serikali ya Kenya imeshusha ushuru kwenye bei ya mafuta baada ya wananchi kuanza kuandama (lita moja walikuwa wanalipa KShs19 na ushee ambayo ni sawa na kama 342) sisi tunalipa zaidi ya Tshs 540 kwa lita na tumetulia tuli huku bei ya mafuta ikiendelea kututesa .... ama kweli Tz mambo poa....
Inabidi tuwapigishe jamba jamba wapunguze bei na matumizi ya serikali, serikali yetu imejaa anasa tu na wanaendelea kutunyonya..
Inabidi tuwapigishe jamba jamba wapunguze bei na matumizi ya serikali, serikali yetu imejaa anasa tu na wanaendelea kutunyonya..