bila serikali kupunguza landing fee lazima wafunge huo uwanja.landing fee ya tz kubwa sana ndo maana kwa sasa kampuni nyingi za utalii wanawapokea wageni nairobi then arusha kwa shato hapo huwa wamesave zaidi ya dola 350 kwa mgeni mmoja.ila tz hawako siriaz hata chembe kwenye utalii.