Kenya set to reap dividends from UN agency elevation

mambo ya kusisitiza kwamba kenya tuna njaa kali. ni nini unaeza fanya ikiwa ukame iko afrika. 1984 Kenya ilishawahi kupigwa na ukame kali. Kwahivyo, mtu anasititiza juu ya ukame. Jibu ni watu walipata misaada mbali na wengine kufa. Lakini njaa sio tu changamoto africa, kuna mengi mengine. Haya mashirika ya misaada, lengo lao si kumaliza hizi vitu. Maombi yao ni kuendelee kuaribika wakae humu wakifanya kazi za misaada. La msingi huwa, hawataki kushirikiana na Serikali, wala raia wa kawaida, wanataka kufanya vitu there way. Serikali ya kenya imewahost wakimbizi wengi siku nyingi. Dhana ilikuwa kwa muda huo wote, wangepata suluhisho, lakini bado.

Sasa vyombo vya habari pia zinaeza kuzembea kupeperusha habari tuseme. For the case of Tanganika people kukaa njaa ni jambo la kukosa kutuma waakilishi katika hizo sehemu ambayo si kitu chema. Siasa za mainstream utakuta wanafaidika sana na raia wa mashinani lakini hawajali maswala yao. Our media saa zingine zinaeza focus too na mambo ovyo za mijini, miundo mbinu, mijengo, waekezaji, uchumi na mashinani naye kunaungua.

Kwa taarifa yako hata tanzania kunakuwa na ukame mara nyingi ila serikali hu-entervene na kugawa chakula cha misaada on time! So no excuses ati Kenya ina ukame! mbona Kenya is the 4th leading tea exporter in the World? mbona wasitumie same efforts kulima chakula?
 
ni ukosefu wa maarifa kwa nchi kama ya Kenya kuanza kuongelea wanapata ngapi kwa kuwa na ofisi ya UN na ku-factor in kama main source of income for the country! Ningeona kitu cha maana kama wangeongelea uzalishaji wao umekua kwa kiasi gani! Ukiangalia US sijawahi sikia wakionglea the US inapata kiasi gani kama nchi! Labda NY city ambapo naweza sema ni peanuts ukizingatia na economic activities nyingine zinazoingiza income!

Ulole skiza, hakuna aliyesema kuwa UNEP ni main source ya income Kenya, infact hoja yangu ya awali ilitaka kuonyesha namna Kenya ilivyopata hadhi kutokana na kuwepo ofisi hizo za UN mjini Nairobi na mpango wa kuziimarisha. Usishahu kuwa NAIROBI ndio mji pekee wa ulimwengu wa tatu kuwa na makao makuu ya taasisi za Umoja wa Mataifa. For your information Marekani na hasa New York inafaidika sana kutokana na UN kuwa hapo. Soma makala hii. Sababu za kiuchumi na kisiasa zimeifana Marekani ilobbi vikali kupinga kuhamishwa makao makuu ya UN. Nikukumbushe tu Arusha is home to the offices of the East African Community, and plays host to the International Criminal Tribunal for Rwanda and the African Court on Human and Peoples' Rights, all of which contributes to the local economy. Kama kweli taasisi hizo za kimataifa hazisaidii Uchumi wa Arusha hebu mwambie JK aziondoe!!!!
 
Nairobi has been slowly but surely positioning itself as a city of not only continental importance but also global importance......yall may hate as much as you like but fact remains.......hate us or love us.....you sure cant ignore us
Natujenge taifa letu
Eeh ndio wajibu wetu
Kenya istahili heshima
Tuungane mikono pamoja kazini
Kila siku tuwe na shukrani
 
Nairobi has been slowly but surely positioning itself as a city of not only continental importance but also global importance......yall may hate as much as you like but fact remains.......hate us or love us.....you sure cant ignore us
Natujenge taifa letu
Eeh ndio wajibu wetu
Kenya istahili heshima
Tuungane mikono pamoja kazini
Kila siku tuwe na shukrani

TANGANYIKA is one of the three richest countries in natural resources in the whole of sub saharan Africa alongside DRC CONGO and ANGOLA. It is just a matter of time Tanganyika will be the economic powerhouse in the whole of eastern and cetral Africa
 
Nairobi has been slowly but surely positioning itself as a city of not only continental importance but also global importance......yall may hate as much as you like but fact remains.......hate us or love us.....you sure cant ignore us
Natujenge taifa letu
Eeh ndio wajibu wetu
Kenya istahili heshima
Tuungane mikono pamoja kazini
Kila siku tuwe na shukrani

TANGANYIKA is one of the three richest countries in natural resources in the whole of sub saharan Africa alongside DRC CONGO and ANGOLA. This is a fact. It is just a matter of time Tanganyika will be the economic powerhouse in the whole of eastern and cetral Africa
 
TANGANYIKA is one of the three richest countries in natural resources in the whole of sub saharan Africa alongside DRC CONGO and ANGOLA. This is a fact. It is just a matter of time Tanganyika will be the economic powerhouse in the whole of eastern and cetral Africa

With its oil, manpower, tourist attractions and strategic location, Zanzibar will be a combination of Singapore/Dubai. So imagine if Zanzibar reunites with Mombasa, this union will be unbeatable worldwide. Its coming folks.
 
TANGANYIKA is one of the three richest countries in natural resources in the whole of sub saharan Africa alongside DRC CONGO and ANGOLA. This is a fact. It is just a matter of time Tanganyika will be the economic powerhouse in the whole of eastern and cetral Africa

Looool....in Africa its not about what you have....its all about what you do with what you have.....just compare your resource full nation with your neighbours to the north and you will understand what I mean.
 
Looool....in Africa its not about what you have....its all about what you do with what you have.....just compare your resource full nation with your neighbours to the north and you will understand what I mean.

That is why I said it is a matter of time. There is so much of unexploited wealth in Tanganyika and even more discoveries are in the pipepeline. You seem to have a thing against Tanganyika. Pity!
 
With its oil, manpower, tourist attractions and strategic location, Zanzibar will be a combination of Singapore/Dubai. So imagine if Zanzibar reunites with Mombasa, this union will be unbeatable worldwide. Its coming folks.

hahaha,eish bro, toa mombasa in your equation, the bench i reside from will not cede an inch of the coastal lands. Let the clowns make the noise, sth is cooking within the provincial dockets, worry less. Work with Tz for now. Structure institutions of learning to enhance your HR base, whatever the neighbours will have (resources esp oil) by some context will result to borrowed benefits. todays world is an economic network, the closer you are to the source of wealth u involuntarily inherit the benefits. Ug with oil, S.Sudan, now Tz, it will be hard not to pour the benefits to Kenya. The mantle of the largest economy wont be as easy to tilt, u need lotsa hardworking to effect that.
 
hahaha,eish bro, toa mombasa in your equation, the bench i reside from will not cede an inch of the coastal lands. Let the clowns make the noise, sth is cooking within the provincial dockets, worry less. Work with Tz for now. Structure institutions of learning to enhance your HR base, whatever the neighbours will have (resources esp oil) by some context will result to borrowed benefits. todays world is an economic network, the closer you are to the source of wealth u involuntarily inherit the benefits. Ug with oil, S.Sudan, now Tz, it will be hard not to pour the benefits to Kenya. The mantle of the largest economy wont be as easy to tilt, u need lotsa hardworking to effect that.

Just keep sitting on your bench, by the time you realize the fire in it will consume you. Unless Nairobi listens to the demands of Mombasa, there will be no option but to walk away, just like Soviet republics, S Sudan, East Timor , Kosovo, Sahrawi Republic and the coming breakaway of Scotland in 2016. Mombasa/Zanzibar are in the list of other leading secessionist movements in Africa such as Kabyile, Cabinda , Bakasi Peninsula , Katanga, Canary Islands ,
Boere Afrikaners, Barotse, Batwa , Ogoni, Tuareg etc.
Oil rich Jamhuri ya Mwambao is Coming
 
TANGANYIKA is one of the three richest countries in natural resources in the whole of sub saharan Africa alongside DRC CONGO and ANGOLA. This is a fact. It is just a matter of time Tanganyika will be the economic powerhouse in the whole of eastern and cetral Africa

.....lol,3bn of gold export kila mwaka lakini zinaishia kwenye kuongeza GDP kwenye makaratasi tuu,na sio wananchi or treasury wanaona hiyo pesa,sasa nini kitabadilika hayo mafuta yakianza kuchimbwa? sana sana vibaka tuu wataongezeka.
 
Back
Top Bottom