Kenya Seeks Diplomatic End To Ivory Sale Row With Tanzania

Heshima mbele mkuu..LMFAO... My posts are my own personal sentiments about any discussion tabled in this here forum, they should not be misinterpreted or mistaken to be the views of 40 million Kenyans or the govt. of Kenya, and thus no need to have your pants up in a bunch just because you read or you have been reading smatter's supposedly 'useless' posts.

Save all that talk about my post being read by millions of Tanzanians and minister blah blah, I simply put down what I feel without actually thinking/caring about what the next man is going to think about me (the writer of the post) or my country. As long as am not abusing anyone, or posting inflammatory statements like some people we all know, then let a nigga* be.

And why should the Admin get rid of this man? Can any of you fruits take negative criticism without crying to the admin that the 'foreigner' is criticizing y'all views. Grow up son, and learn how to take criticism. Ijumaa kareem to all my Muslim brothers.

actually, your posts always are offensive. I can't imagine to have people like smatta in our country, united with the so called east africa federation.....napenda sana muungano huu, lakini when it comes to behaviours of majority Kenyans, naona hamu inaisha, sipendi. wakenya asilimia kubwa ni kama mnavyomwona smatta hivi....for those of you who have lived in kenya, mnalijua hili. sasa sijui watajirekebisha lini tabia chafu hii, kwasababu wanafanya muungano ambao ungekuwa wa faida tu kwa nchi zetu usuesue kwasababu watu hawawaamini. Nafikiri watz tuungane na kuiendeleza nchi yetu, na kama kuna kitu kinaitwa muungano wa east africa, icho iwe ni subsidiary tu lakini tusikitilie maanani sana, kwasababu hawa jamaa wanakera kwakweli. they are dying in poverty and at the same time they think they are somebody, aibu jamani. sikupenda kuongea hivi, lakini kutokana na majibu yako, nafikiri bora nikuambia hivyo ili uelewe. asante.
 
actually, your posts always are offensive. I can't imagine to have people like smatta in our country, united with the so called east africa federation.....napenda sana muungano huu, lakini when it comes to behaviours of majority Kenyans, naona hamu inaisha, sipendi. wakenya asilimia kubwa ni kama mnavyomwona smatta hivi....for those of you who have lived in kenya, mnalijua hili. sasa sijui watajirekebisha lini tabia chafu hii, kwasababu wanafanya muungano ambao ungekuwa wa faida tu kwa nchi zetu usuesue kwasababu watu hawawaamini. Nafikiri watz tuungane na kuiendeleza nchi yetu, na kama kuna kitu kinaitwa muungano wa east africa, icho iwe ni subsidiary tu lakini tusikitilie maanani sana, kwasababu hawa jamaa wanakera kwakweli. they are dying in poverty and at the same time they think they are somebody, aibu jamani. sikupenda kuongea hivi, lakini kutokana na majibu yako, nafikiri bora nikuambia hivyo ili uelewe. asante.

Tanzanians still waiting for an apology:

''Team sent to quell Dubai diplomatic row -
Foreign Affairs minister Moses Wetang’ula on Sunday leads a government delegation to the United Arab Emirates to quell a diplomatic storm caused by deportation of some people of Dubai royal family early this month.

Mr Wetang’ula, Labour minister John Munyes and officials from the Immigration department are flying to UAE to end the diplomatic row that has put the jobs of 36,000 Kenyans based in the gulf country on the line.

A senior Foreign Affairs ministry official who declined to be named because he is not the ministry’s spokesman said the team will apologise to the UAE government over the deportation incident. The row, we learnt, stemmed from overzealous action of officers from the anti-terrorism police unit based in Mombasa over the Easter weekend ........ (continue to read on) http://www.nation.co.ke/News/Team s...atic row /-/1056/906176/-/j8qslw/-/index.html.
 
Synthesizer, Asante kwa taarifa hii. Kwakweli kwakenya ni wabinafsi sana. Ni bahati mbaya kuwa na jirani wa namna hiyo. Hawana faida yoyote kwetu isipokuwa kutuibia mali za watanzania. Sasa walivyojazana hasa mikoa ya kaskazini, hasa Moshi na Arusha ndo usiseme. Ni ajabu hata dar wapo mabarmaid wakenya.

Kwa kuanzisha jumuiya hii ya Afrika mashariki ndo watatuibia sana. Tuwe macho nao sana.

Ni vizuri mtu akikusea kumsamehe lakini, kwa hili ambalo limegusa moja kwa maslahi ya watanzania, nadhani tusiharakishe kutoa msamaha wakija kuomba. Hawana faida yoyote kwetu.
 
Further more, these are the same people suggested the relocation of EAC HQ in Arusha for the so called ''Tanzania dithering on fast tracking'' the EAC with full support from novice Rwanda. Kenya was ready to wage a war with neighbour Uganda over I sq Km migingo Island. The government of Kenya gave a nod to her citizen to uproot the railway connecting the duos.
Thanks to our government's stance on Land and uniletaral decision to honour passport as sole ID for free movement. Ironically, Kenya's highspeed to fast track the federation has taken a slow pace, a clear indication that something was behind the move.
If we need to learn something from history,then we must make cogent approach.
 
Loh,

Nimesoma mjadala huu kwa mshangao mkubwa?

Singethani kuwa kati ya watu wote ambao wamechangia wako na maoni ambayo hayahitilafiani; na nilitegemea kupata mtu mmoja ambaye ako na maoni tofauti na wenzake angalau kuonyesha ya kuwa maoni ya wattu hapa yanatokana na watu kufanya udadisi kamili kuhusu hoja mnayozungumzia. Nasikitika kwa sababu maoni ya watu wengi yanaonekana ni kama yanatokana na ugomvi na kupotoshwa na vyombo vya habari na wanasiasa. Tanzania na Kenya ni majirani, na ungetarajia kuna watanzania ambao wameishi Kenya, na ningetegemea watu kama hao wangechangia mada hii bila kueneza uwongo ama uvumi ambao hauna msingi wowote.

HAkuna atakayelazimisha Tanzania kujiunga na EAC. Hio itakuwa hiari yao pekee yao. Jambo la pili; Tanzania na nchi zote washiriki wa EAC watanufaika kiuchumi kutokana na muungano huo (ukizingatia kanuni za ku-uchumi, ama Economics), n huo si uvumi tu, ni jambo mtu yeyote ambaye amesomea masomo ya biashara anaelewa kabisa.

Tatu. Wakenya hawana nia mbaya kamwe dhidi ya waTz--huo labda ni uvumi wanasiasa wanapenda kutumia katika kampeni. Mimi nimeishi Kenya miaka mingi na sijawahi kupata Mkenya anayechukia Watz kwa sababu tu eti wao ni Watz. Mtu huchukia mti aliyekutendea kinyama, na wla huwezi kuchukia jamii nzima juu ya vitendo vya watu kadhaa, kama vile wanasiasa. mimi huona wakenya wanapenda sana Watanzania, wanapenda sana nyimbo za kutoka huko (wasanii wengi wa Tz huja kenya kuimba katika vilabu kila mara), na mengineo. Lakini leo nimeshuhudia kundi la watanzania ambao wana upinzani mkali dhidi ya wakenya kwa sababi zenye sijazielewa hata kidogo. Hilo ni jambo sijalipata ama kusikia popote katika dunia (labda tu nilinganishe na vile mtu anavyoweza kuchukia mwingine kwa sababu hapendi rangi yake). Numehuzunishwa sana na baadhi ya maandishi ambayo nimesoma hapa.

Nitakoma hapo kwa sasa, lakini nataraji kuyarudia mazungumzo haya kwa wakati ufaao, na mda ukiniruhusu.
 
Wakuu kwenye hii thread nafuta kauli yangu kwamba,Pm wetu Hon.Mizengo Pinda ana chembe ya Uzalendo.
 
In any partnership one has to contribute and the resource that one has is the negotiating power. Wakenya wanataka kuvuna wasicho panda.

Misitu: Sasa hivi wamejaa Mafinga alafu wanapeleka mbao Kenya (EAC) kisha waexport- FOREX
Uwanja wa Taveta .

Loliondo: Sasa wanatangaza kuwa Access ya Loliondo by Air ni kupitia Nairobi, Mombasa na Mbeya (hakuna Arusha au KIA) the same has been for Kilimanjaro, Ngorongoro and Serengeti.

Hakuna uhusiano wenye afya hapa.
 
Nafikiri ensconsed ni mkenya siamini kabisa Mtanzania halisi ambaye kweli ameishi Kenya anaweza akawafagilia wakenya kiasi hicho. Kenya's xenophobia against Tanzania is apparently very high kuliko nchi yeyote duniani
 
Back
Top Bottom