Kenya Seeks Diplomatic End To Ivory Sale Row With Tanzania

Teh teh teh

Tatizo la mtu ambaye hajui wakati anajiona anajua ni tatizo kubwa.

Kwa mawazo yako kabisa na usomi wako kabisa unataka kutuelimisha ya kwamba EU wajerumani, wafaransa na wa UK wanaikatalia Uturuki kwa sababu wanaogopa ushindani na uturuki ya kwamba watu wao hawajaelimika kulinganisha na uturuki? Shida kweli kweli kwa wasomi kama ninyi.

Ama ya kwamba Norway wamekataa kujiunga na European Union ni kwa sababu ya inferiority ya kwamba wanaogopa watu wake ya kwamba hawajasoma eti ya kwamba wanaogopa ushindani maana nchi kama Romania,chech,Poland ,Burugalia zitatoa ushindani mkubwa .Teh teh teh Hoja zako ni mfu wala shule huna walio na shule wapo kimya.

Ni mpumbafu tu ambaye unaweza kumwambia eti mmesoma na akirejea kile kitendo cha kubeba panga na kumfukuza mwezio hadharani na kumkata ni mpumbafu tu huyo atayekubaliana na hoja ya kwamba msomi ana uwezo wa kumtia petroli wazake kadhaa akiwa kanisani.

MWelevu atakubali ya kwamba ni ma-Bushmen design tu ndo waliyo na morali ya kufanya vitendo vya namna ile hadharani na tena ni wale ambao civilization kwao bado liko mbali.

sasa wataka kunifunza wewe? tehehehe, ukiangalia hizo eneo ambazo nimezi highlight kuna any resemblance of the EU na EAC, sasa wataka kufananisha situation ya Bongo kwenye EAC na Norway?
 
Kwa hili naungana na wabunge wa CCM waliokataa hii kitu

Tukiwa na ushirikiano wa pamoja kiuchumi ni jambo zuri sana.Lakini in our case hatuhitaji kuwa na ushirikiano na hawa Nyang'au.Hawana utu hawa.Kwanza tunataka wabunge watakjaounga mkono wajitokeze hadharani

Hata kama Rais amesaini,tutakuja kula nae sahani moja...siogopi kusema hili.Hivi waziri mkuu anaejiita mtoto wa mkulima ndo katoa kauli hii?kweli viongozi wa tanzania ni wanafiki,huyu kuanzia leo ni adui yangu namba moja.Leo mtanzania ataenda kufanya vipi kazi huko kenya ambako employment opportunities ziko exhausted? Leo hii waziri mkuu anasimama na kuropoka tu bila mpango,Idiot!

Rais alisaini huo mkataba,alizingatia maoni ya watanzania?Kama viongozi wanatuburuza,tutakapoanza vuguvugu la kuikomboa Tanzania,madhara yatakayotokea ni wao wa kulaumiwa

Halafu Zitto pamoja na kusoma uchumi haoni athari za kuingia kwenye hiyo jumuia sasa?Mbona watu wanafanya compromise ya taaluma zao kwa maslahi hafifu ya kisiasa?

Leo hii tuko kwenye slogan ya Kilimo kwanza,which means tunataka kilimo kiinue patola mwananchi,ambalo in return litamuongezea purchasing power.Sasa sisi hatuna viwanda vya kutosha,it means bidhaa za kenya ndizo zitakazo-float katika soko.So are we sacrificing our resources in order to benefit our hostile neigbours.

Hii kitu ya shirkisho ni kwamba wazungu na waasia wana interst kubwa nayo,wanataka kuwekeza kilaghai kupitia makampuni yao huko kenya. Hili suala halitatufikisha pazuri
 
Kuna mambo wabunge wetu wanatakiwa watueleze.Mfano A.Kilango aliweka wazi kwamba kontena za pembe zilizokamatwa Vietnam kuna vigogo wako behind it.Hivyo kuna ukweli kwamba hizo pembe wanaohusika nazo wapo.Tungeelezwa kwanza ni akina nani wanahusika na uharamia kwenye mbunga zetu then suala la mauzo lifanyike.Kwa mazingira yalivyo sasa ambapo ufisadi umetamalaki hata pembe hizo zikiuzwsa bado hatutajua ni wapi fedha zimeelekea.Rejea Majembe na ukamataji wa daladala,fedha hizo zinaenda wapi?Nani anayehoji?.Pembe zinaweza kuuzwa lakini kwanza tuwajue walionyuma ya uharamia huo,maana ni vigogo na wanafahamika.
 
sasa wataka kunifunza wewe? tehehehe, ukiangalia hizo eneo ambazo nimezi highlight kuna any resemblance of the EU na EAC, sasa wataka kufananisha situation ya Bongo kwenye EAC na Norway?

Ndo hapo ujue na ujitambue huna elimu ya kutanabaisha mambo. Nimekupa kushoto na kulia lakini unashindwa kuelewa wewe msomi jiulize kwanza kwanini EU wanawakatilia UTURUKI ,uturuki uchumi wake uko juu kulinganisha na ROMANIA ambayo imekubaliwa na kujiunga EU.
 
Yani nimependa sana jinsi Anne kilango alivyochangia,huyu mama ni Mzalendo sana.Wabunge wengine ni wapuuzi puuzi tu.

kilichoniumiza ni mtu kama Zitto kuweka taaluma yake ktk compromise kisa rais kasaini.Mbona hakutoa msimamo wake kuhusu umuhimu wa hilo soko kwa Tanzania?
 
Ndo hapo ujue na ujitambue huna elimu ya kutanabaisha mambo. Nimekupa kushoto na kulia lakini unashindwa kuelewa wewe msomi jiulize kwanza kwanini EU wanawakatilia UTURUKI ,uturuki uchumi wake uko juu kulinganisha na ROMANIA ambayo imekubaliwa na kujiunga EU.


Man dont waste your time,tryin to enligten somebody with low IQ.Hawezi elewa huyo,katanguliza ushabiki na pride ya kijaluo au kikisii mbele tu.Labda achomekwe waya wa umeme kichwani ndo aelewe.He's too dumb!
 
Yani nimependa sana jinsi Anne kilango alivyochangia,huyu mama ni Mzalendo sana.Wabunge wengine ni wapuuzi puuzi tu.

kilichoniumiza ni mtu kama Zitto kuweka taaluma yake ktk compromise kisa rais kasaini.Mbona hakutoa msimamo wake kuhusu umuhimu wa hilo soko kwa Tanzania?
Binafsi namheshimu sana Zitto lakini huwa kigeu geu sana na yuko selfish anafikiri kutofautiana na wengine mara kwa mara ndio kuonekana ana mawazo bora mbadala si kweli wakati wote, kwa hili sababu alizozitoa ni finyu kwamba kwa vile rais ameshasain ni vigumu kubadili, rais anaweza kusaini lakini wabunge wakakataa kwa hoja, na sababu yake kuwa vijana wa miaka 18 watafaidika haku substantiate hoja yake ki vipi watafaidika wakati soko la ajira na ardhi yao inavamiwa na wageni atueleze wakishafikisha umri wa miaka 30 hiyo ardhi wataikuta au watakuwa wapangaji na kuanza kugombania kama Kenya.
 
sasa wataka kunifunza wewe? tehehehe, ukiangalia hizo eneo ambazo nimezi highlight kuna any resemblance of the EU na EAC, sasa wataka kufananisha situation ya Bongo kwenye EAC na Norway?

mimi nafikiri tuwe tunampuuza huyo sumatta. Yupo kutetea kenya. ukweli wa mambo anafahamu au pengine hafahamu kutegemeana na anatoka kwenye familia gani pengine ni ya corrupt.
hizo competency anazoongelea ni ndoto tu. wengine wajomba zetu wako Kenya tukiangalia. tukiwa wadogo na wajomba walikuwa na chakula, waliweza kujikimu na hata kutupa zawadi sasa hivi ni kinyume, tunawasaidia. kenya inafifia. wamejaa kwangu wanatafuta kazi za ualimu,unesi uaandishi wa habari au wapiga picha, waudumu mahotelini na tour guides.Sijui ndo wasomi anaowaongelea sumatta. sisi tumpe sikio la kufa tu. Tuendelee kupigania nchi yetu kwa hoja that is all.
 
Binafsi namheshimu sana Zitto lakini huwa kigeu geu sana na yuko selfish anafikiri kutofautiana na wengine mara kwa mara ndio kuonekana ana mawazo bora mbadala si kweli wakati wote, kwa hili sababu alizozitoa ni finyu kwamba kwa vile rais ameshasain ni vigumu kubadili, rais anaweza kusaini lakini wabunge wakakataa kwa hoja, na sababu yake kuwa vijana wa miaka 18 watafaidika haku substantiate hoja yake ki vipi watafaidika wakati soko la ajira na ardhi yao inavamiwa na wageni atueleze wakishafikisha umri wa miaka 30 hiyo ardhi wataikuta au watakuwa wapangaji na kuanza kugombania kama Kenya.

Zitto hata mimi simwelewi ktk hili.
huyu jamaa kabisa anajuwa anakotoka huko vijana wa miaka 18 wengi wao hawana hata uwezo wa kusafiri kutoka kibondo kwenda kasuru, ama kasuru kwenda ujiji, sijui ana maana gani anaposema watanufaika.

Kingine wakenya watakapofukuzana kwa mapanga 2012 sijui wata extend mapanga yao ndani ya ardhi yetu ama vipi?
 
Sometimes wabunge wanaotetea maslahi ya Taifa walioko CCM ni bora kuliko ambao wako opposition na wanadhani kazi yao ni kupinga tu

Haya maswala ya wabunge kufanya vitu ili kuridhisha viongozi wa juu kwa ajili ya maslahi yao binafsi itakuja kutugharimu

Hata kama Rais alisaini,nani kasema Rais ana haki ya kutuburuza?nani kasema wabunge wakisema no leo hii,Rais bado atatupeleka huko?
 
Sometimes wabunge wanaotetea maslahi ya Taifa walioko CCM ni bora kuliko ambao wako opposition na wanadhani kazi yao ni kupinga tu

Haya maswala ya wabunge kufanya vitu ili kuridhisha viongozi wa juu kwa ajili ya maslahi yao binafsi itakuja kutugharimu

Hata kama Rais alisaini,nani kasema Rais ana haki ya kutuburuza?nani kasema wabunge wakisema no leo hii,Rais bado atatupeleka huko?

Ndilo tatizo hilo, kwanza inakuwa je Rais anasaini harafu ndo inaenda bungeni? Rais na wabunge lazima watambue kwamba wako pale kuwakirisha mawazo yetu sisi wananchi na si mawazo yao. Wanaposimama pale mjengoni lazima wawe wanasema wananchi wangu wanasema hivi na vile.

Na wakija nje kwenye vyombo vya habari ndio inabidi waseme mawazo yao.
 
Sasa kwa hii issue ni kama vile wabunge wanataka kuiunga mkono kwa kuwa Rais kasaini,sasa hapa ni kama wanamuwakilisha rais bungeni.na kwa hii tabia ya mijitu kujipendekeza kwa uroho wao ndiyo itakayokjuja kulipeleka taifa pasipostahili

Halafu kuna wabunge wa upinzani kutokana na unafiki wao hawakuchangia,hapa ndipo ninapotamani kuwa dikteata mzalendo na kuvunja bunge coz kwa hapa kwetu Bunge linakaribia kuwa useless.Si kwamba nawatukana wabunge wetu but tabia na matendo yao linapokuja suala lenye maslahi kwa taifa linanifanya niwaone useless
 
People need to understand that Wabunge were elected to represent their constituents, and not the president. For so long, Wananchi have expressed their concerns about EAC; but, surprisingly they were not listened. East Africans leaders want to ram this federation down our throats without our consent. In addition,, some countries are looking for a place to outsource their problems.

It seems like our leaders are more than obsessed with making history without asking themselves what kind of history they are about to make. That is the reason they haven't taken to time to educate Wananchi about EAC and how they are going to benefit from it. Top- down approach has been proven to be a failure before, and we shouldn't expect different results this time.
 
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Hebu soma habari hii[/FONT]​

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Na Mohamed Pazi (Mtanzania)[/FONT]​

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]TANZANIA inapata mrabaha wa asilimia 20 kutokana na mikusanyo yake ya mambo ya kale iliyohifadhiwa katika Makumbusho ya Taifa ya Kenya tangu miaka 33 iliyopita. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Makusanyo hayo yaliyotokana na utafiti uliofanywa na familia ya Dk. Mary na Louis Leakey, yaligunduliwa katika Bonde la Olduvai na eneo la Laetoli kati ya mwaka 1958 na 1978. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Makumbusho ya Taifa, Dk. Paul Msemwa, mikusanyo hiyo inajumuisha mifupa ya wanyama na ndege wa kale, wadudu wa kale, zana za mawe ya kale na za mwanadamu wa kale. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]“Faida ambayo Tanzania inapata kutokana na mikusanyo hii kuendelea kuhifadhiwa Kenya ni pamoja na mikusanyo hiyo kuwa salama, mrabaha wa asilimia 20 ya leseni ya utoaji wa nakala na ada za watafiti wanazotozwa watafiti wanaoitumia kwa reje kwenye tafiti zao,” alisema Dk. Msemwa. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Alisema kuhifadhiwa kwa mikusanyo hiyo Kenya ni kutokana na mkataba kati ya Serikali ya Tanzania na Bodi ya Wadhamini ya Makumbusho ya Taifa la Kenya uliotiwa saini mwaka 1975 hadi hapo Tanzania itakapokuwa na uwezo wa kuihifadhi na wataalamu wenye sifa. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Alisema mkataba huo ulibainisha kuwa mtafiti yeyote aliyetaka kutumia mikusanyo hiyo kwenye utafiti wake lazima apate idhini kutoka kwa Mkurugenzi wa Mambo ya Kale wa Tanzania na kuipa Makumbusho ya Kenya leseni ya kutoa nakala mikusanyo hiyo kulipa mrahaba huo wa asilimia 20 ya mauzo. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]“Mkataba huo umeweka bayana kuwa mikusanyo hiyo inayohifadhiwa katika Makumbusho ya Taifa la Kenya itarejeshwa Tanzania itakapokuwa kuihifadhi,” alisema Dk. Msemwa. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Aliitaja hasara ambayo Tanzania inapata kwa mikusanyo yake kuendelea kuhifadhiwa Kenya kuwa ni kutotumika kwake katika uboreshaji wa maonyesho ya Makumbusho ya Taifa. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Mchakato wa Serikali ya Tanzania uliopo sasa ni kuhakikisha kuwa mikusanyo hiyo iliyohifadhiwa Kenya inarudishwa nchini katika mwaka wa fedha 2009/2010.[/FONT]

Kweli wajinga ndio waliwao; hatuoni au hatujui faida ya kuzitunza na kuzitumia hizo hifadhi za kale hadi tuitunziwe na wakenya kwa zaidi ya miaka 33 ndiyo maana huwa nasema mwisho watatuambia watutunzie mlima Kilimanjaro hadi tutakapokuwa na uwezo wa kuutunza na viongozi wetu wanasaini, inashangaza
 
Mlioko karibu na source za bunge.
Leo walisema wanapitisha ama kutopitisha hilidubwana EAF, ina endelea je? ama ndo wameshalipitisha?? tunaomba Update
 
EAC will do better without you, am sure of it.
Hey, buddy, I think EAC will do better without Kenya. Never shall there be a united EAC having Kenya as a member. I tell you most solemnly, I have been living in Nairobi- Kenya for sometime now, but I have nothing to contain me and continue living in this country. If you are not united among yourselves how come that you struggle for the unification of EA. In the country you keep on looking at the tribal inclination and attachment of each one of you and this keeps you fighting. I think we'l be happy and continue being happy without you. Solve first your problems especially land and tribalistic attachments then come for the unity. But I bet there will never be a full united EAC having Kenya as a member. Come what may unless we Tanzanians aren't asked to vote. What an antisocial country!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hey, buddy, I think EAC will do better without Kenya. Never shall there be a united EAC having Kenya as a member. I tell you most solemnly, I have been living in Nairobi- Kenya for sometime now, but I have nothing to contain me and continue living in this country. If you are not united among yourselves how come that you struggle for the unification of EA. In the country you keep on looking at the tribal inclination and attachment of each one of you and this keeps you fighting. I think we'l be happy and continue being happy without you. Solve first your problems especially land and tribalistic attachments then come for the unity. But I bet there will never be a full united EAC having Kenya as a member. Come what may unless we Tanzanians aren't asked to vote. What an antisocial country!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


You are right on the money ....
 
Jamaani,leteni habari - Bunge limepitisha hii itifaki yao!!????

Eeh, jamaani watanzania huruma inaniingia sana sijui watoto wetu tutawajibu nini hili likipita!!!!!
Nakumbuka tume ya makame kuhusu hili jambo la EAC hapa zanzibar sisi vijana wote tulikataa kwamba bado hatujawa tayari inakuaje rais anakua kijogoo kwa kila kitu,ina kera sana!!!
Hivi yeye kazi yake ni kusaini kila kitu?? - haki ya Mungu watanzania wa leo tutalaaniwa kama hili likipta maana hakuna kitu ambacho sisi tutafaidi kuanzia hivi sasa,umesikia ni kina bakhresa ndo wanatajwa je sie tusojua tutakula nini kesho!!!!!!!





Mungu msaidie Rais wetu,awe na afya safi ajionee matunda ya kazi yake!
 
Back
Top Bottom