Kenya Seeks Diplomatic End To Ivory Sale Row With Tanzania

ndiyo maana wanapinga kila kitu, so sisi tunatakiwa kufanya kila liwezekanalo ili kuwahakikishia kuwa uwezo tunao na tutawashinda tu.

Pia nilisoma kuwa wakenya wanataka kujenga Uwanja wa ndege mpani mwa Tanzania na kenya ili Hii njama maalumu ili kupunguza utalii Tanzania maana wakiwa ndani ya ndege wataweza kuona Mlima Kilimanjaro kiurahisi na vitu Vingine Vingi Pili wanataka kuhakikisha kuwa mtalii ambae angetua Kia asitue tena maana kutoka uwanja wao wa ndege mpaka Tz itakuwa kama KM 8 TU SO WATAKUWA WANACHUKUA BASI na hivyo viwanja vyetu vitakosa ndege za kutua

Nashauri hakuna sababu ya kuwakNasema Hivi Tanzania bado tumelala kwa maana wakenya wapo kwa ajili ya ushindani kiuchumi na wanahofia kuwa Tanzania inaweza kuja kuwapita kiuchumi ubalia kabisa.
 
Wakenya are here just to seek for opportunities in which Tanzanians fall short, not really as friends to help us improve!
Soko la pamoja, Watanzania mtauza nini?...Maduka hadi ya vinyago ya Bongo vimejaa vikorokoro vya wakenya...mtauza nini?
 
Wakenya are here just to seek for opportunities in which Tanzanians fall short, not really as friends to help us improve!
Soko la pamoja, Watanzania mtauza nini?...Maduka hadi ya vinyago ya Bongo vimejaa vikorokoro vya wakenya...mtauza nini?

Sasa jamani nani anatupeleka huko? Ninaposoma hii habari ya EAC watanzania hawataki, lakini pamoja na hayo yote bado tunaburuzwa tu. HIVI NI NANI ATAKAE TUSEMEA NO TO THIS EAC?????????????????????????????????????
 
Tatizo wabunge wa CCM wengi ni wanafiki na wengine hawana uelewa wana vyeti vya kughushi kwa hiyo hata hiyo itifaki hawasomi. Hebu fikiria mbunge kama kapteni Komba.....unafikiria anajua hata hiyo itifaki madhara yake ni nini?

Kinacho takiwa ni kuwamwaga hawa wakenya tukaa kivyetu kwani wanatusaidia nini??
 
Ninachowaomba wabunge wetu, kama kweli wanauhakika zaidi na wanachokifanya kuliko haya maoni yetu yanayopinga jambo hili, basi wale wanaounga mkono wajitokeze wazi wazi na kuwaeleza wananchi kuwa wao wameungana na Raisi kutupeleka huko. Kama mbunge anaamini anachokifanya na siyo kwamba anafuata upepo kama bendera au kama hakuna "conflict of interest" katika uamuzi wake basi ajitokeze wazi awaambie wananchi kuwa yeye ameunga mkono. Kwa sababu kama alivyojadili Mkuu hapo juu wabunge wengi wa CCM hawaaminiki. Anaweza piga kelele za kupinga huku nje klakini akawa ameunga mkono kwenye kura ya kupitisha jambo hili. Waziri Mkuu anashindwa kuelewa nini? Watanazania wapo tayari kwenda South Africa lakini hawaendi sana Kenya ambapo ni karibu. Wapo waliotokea hapo mpakani na Kenya hawakwenda huko badala yake wameteremka wako Malawi. Yote mnayajua vizuri kabisaa. Si vyema binadamu kujaribu kuidanganya nasfi yake. Hatuhitaji Mtume kutumwa na Mungu kuja kutuokoa kwenye hili balaa, tunahitaji tu kulielewa vizuri tukio la Doha na mengine tuliyokwishaona wakati wa EAC ya kwanza.
Kwanza serikali na Mh. Zitto watueleze wamewaandaaje wananchi na haswa vijana kujiunga na hii jumuiya? Takwimu gani mmezifuata kuona kuwa sisi ndiyo tutakaofaidika na hii jumuiya? Kumefanyika utafiti gani ambao wasomi walishirikishwa na wakaandika na kusahihi kuonyesha hili jambo linaendeshwa kwa maslahi ya Taifa letu?
Watanzania tunataka huo utafiti uwekwe wazi tuufahamu pamoja na majina ya walioufanya.
 
Ninachowaomba wabunge wetu, kama kweli wanauhakika zaidi na wanachokifanya kuliko haya maoni yetu yanayopinga jambo hili, basi wale wanaounga mkono wajitokeze wazi wazi na kuwaeleza wananchi kuwa wao wameungana na Raisi kutupeleka huko. Kama mbunge anaamini anachokifanya na siyo kwamba anafuata upepo kama bendera au kama hakuna "conflict of interest" katika uamuzi wake basi ajitokeze wazi awaambie wananchi kuwa yeye ameunga mkono. Kwa sababu kama alivyojadili Mkuu hapo juu wabunge wengi wa CCM hawaaminiki. Anaweza piga kelele za kupinga huku nje klakini akawa ameunga mkono kwenye kura ya kupitisha jambo hili. Waziri Mkuu anashindwa kuelewa nini? Watanazania wapo tayari kwenda South Africa lakini hawaendi sana Kenya ambapo ni karibu. Wapo waliotokea hapo mpakani na Kenya hawakwenda huko badala yake wameteremka wako Malawi. Yote mnayajua vizuri kabisaa. Si vyema binadamu kujaribu kuidanganya nasfi yake. Hatuhitaji Mtume kutumwa na Mungu kuja kutuokoa kwenye hili balaa, tunahitaji tu kulielewa vizuri tukio la Doha na mengine tuliyokwishaona wakati wa EAC ya kwanza.
Kwanza serikali na Mh. Zitto watueleze wamewaandaaje wananchi na haswa vijana kujiunga na hii jumuiya? Takwimu gani mmezifuata kuona kuwa sisi ndiyo tutakaofaidika na hii jumuiya? Kumefanyika utafiti gani ambao wasomi walishirikishwa na wakaandika na kusahihi kuonyesha hili jambo linaendeshwa kwa maslahi ya Taifa letu?
Watanzania tunataka huo utafiti uwekwe wazi tuufahamu pamoja na majina ya walioufanya.

Viongozi wetu ni wa aajabu sana.
Sijui huko serikalini wanawakirisha mawazo ya wananchi ama mawazo yao.Mtu unashindwa kuelewa hao CCM serikali ya mseto zanzibar walisema ni suala nyeti lazima lipigiwe kura na wananchi. Sasa hili la kutuunganisha na manyang'au sio nyeti?? walilete kwa wananchi tulipigie kura ili wawakirishe mawazo ya wananchi na si mawazo yao.
 
Maudhui ya soko la pamoja ni kwa kila nchi kuangalia inataka nini na itanufaika na kipi na kama haitaridhia itakosa nini, kwa uelewa wangu Kenya ina target vitu hasa vitatu vikubwa Ardhi, Ajira, na vitegauchumi na imeshaanza kujiandaa angalia uwanja wa ndege wanaojenga wa Taveta sisi tumejiandaaje je tumeainisha tunataka nini kwenye hilo soko au tunaingia tu kama fasheni.

Mimi si mtabiri ila kwa ninavyoona hii EAC mpya na baadae sijui EAF haitadumu kwa zaidi ya miaka 10 itakufa, kwa sababu wakati wenzetu wanajiandaa sisi tunakazania paper work(protocal) zisizo na msingi matunda yatakapoanza kuonekana kwa Kenya sisi tutaanza kulalamika wanatunyonya bila kufikiria wali invest kwa kiasi gani na ndipo utakuwa mwanzo wa mwisho wa hiyo EAF.
 
Viongozi wetu ni wa aajabu sana.
Sijui huko serikalini wanawakirisha mawazo ya wananchi ama mawazo yao.Mtu unashindwa kuelewa hao CCM serikali ya mseto zanzibar walisema ni suala nyeti lazima lipigiwe kura na wananchi. Sasa hili la kutuunganisha na manyang'au sio nyeti?? walilete kwa wananchi tulipigie kura ili wawakirishe mawazo ya wananchi na si mawazo yao.

Nyangau ni nani? Uoga na uvivu wenyu ndio umewafanya mkawa na inferiority complex kiwango hiki, kusema Kenya waliwaharibia kule Doha ni kisingizio kikubwa kisichokuwa na credibility yeyote, mlikuwa mnatafuta tu visababu vya kuhalt hio process. Mwaogopa competition, wengi wenyu hawako competent ku compete kwenye job market na the rest of East Africa na hii ndio sababu kubwa inaofanya watanzania mitaani kuikataa hii federation, sijui mnataka kujifungia kwenye boksi hadi lini, suluhisho kwa haya matatizo yote ni masomo, sijui tutawapa miaka mingapi ili mueze kusomesha vijana wenyu ili waweze kushindana fairly na vijana wa nchi nyengine duniani. NAWAONEA HURUMA ENYI WASWAHILI, HAMCHOKI KUONGEA???
 
Nyangau ni nani? Uoga na uvivu wenyu ndio umewafanya mkawa na inferiority complex kiwango hiki, kusema Kenya waliwaharibia kule Doha ni kisingizio kikubwa kisichokuwa na credibility yeyote, mlikuwa mnatafuta tu visababu vya kuhalt hio process. Mwaogopa competition, wengi wenyu hawako competent ku compete kwenye job market na the rest of East Africa na hii ndio sababu kubwa inaofanya watanzania mitaani kuikataa hii federation, sijui mnataka kujifungia kwenye boksi hadi lini, suluhisho kwa haya matatizo yote ni masomo, sijui tutawapa miaka mingapi ili mueze kusomesha vijana wenyu ili waweze kushindana fairly na vijana wa nchi nyengine duniani. NAWAONEA HURUMA ENYI WASWAHILI, HAMCHOKI KUONGEA???
Ni better tuonekane waoga kuliko nyie ma tribelist tuna wasiwasi mtauleta TZ bakini na u Kikuyu wenyu na u Luo wenyu we hate tribelism we dont want primitive communism to cross our border.
 
Nyangau ni nani? Uoga na uvivu wenyu ndio umewafanya mkawa na inferiority complex kiwango hiki, kusema Kenya waliwaharibia kule Doha ni kisingizio kikubwa kisichokuwa na credibility yeyote, mlikuwa mnatafuta tu visababu vya kuhalt hio process. Mwaogopa competition, wengi wenyu hawako competent ku compete kwenye job market na the rest of East Africa na hii ndio sababu kubwa inaofanya watanzania mitaani kuikataa hii federation, sijui mnataka kujifungia kwenye boksi hadi lini, suluhisho kwa haya matatizo yote ni masomo, sijui tutawapa miaka mingapi ili mueze kusomesha vijana wenyu ili waweze kushindana fairly na vijana wa nchi nyengine duniani. NAWAONEA HURUMA ENYI WASWAHILI, HAMCHOKI KUONGEA???


Kabla Kenya haijafikiria EAC ifikirie ni jinsi gani itawaunganisha Waluo na Wakikuyu !
 
Tuna wabunge wafuata upepo tuu kwani hoja zao zaidi ni zakupata publicity tuu..Wabunge hao hao wamekuwepo toka mchakatoo unaanza na hawakauwa na mawazo ya kuilinda nchi yao dhidi ya madhara ya soko la pamoja leo hii tena baada ya mambo ya Doha ndo wanasema Kenya wabaya!!! UTOTOO huuu..

Wanakera na kuudhii sana na kibaya zaidi wananchi bado hawajatambua vema unafikii na umbumbumbuu wa wabunge wetuu hasa wa CCM.

Soko la pamoja linakuja na Tanzania lazima tutaumia sana kutokana na serikali kutokujipnga vema katika kuandaa wananchi wake hasa kiushindaniii
 
Ni better tuonekane waoga kuliko nyie ma tribelist tuna wasiwasi mtauleta TZ bakini na u Kikuyu wenyu na u Luo wenyu we hate tribelism we dont want primitive communism to cross our border.

Thats crap, we have finaly known your true colors you xenophobic coons. Its 2010 and you still embrace those colonial boundaries as if you were the ones who drew them yourselves, go and pimp yourself to the SADC and maybe you will get some sort of benefits. EAC will do better without you, am sure of it.
 
Nyangau ni nani? Uoga na uvivu wenyu ndio umewafanya mkawa na inferiority complex kiwango hiki, kusema Kenya waliwaharibia kule Doha ni kisingizio kikubwa kisichokuwa na credibility yeyote, mlikuwa mnatafuta tu visababu vya kuhalt hio process. Mwaogopa competition, wengi wenyu hawako competent ku compete kwenye job market na the rest of East Africa na hii ndio sababu kubwa inaofanya watanzania mitaani kuikataa hii federation, sijui mnataka kujifungia kwenye boksi hadi lini, suluhisho kwa haya matatizo yote ni masomo, sijui tutawapa miaka mingapi ili mueze kusomesha vijana wenyu ili waweze kushindana fairly na vijana wa nchi nyengine duniani. NAWAONEA HURUMA ENYI WASWAHILI, HAMCHOKI KUONGEA???

Teh teh teh

Tatizo la mtu ambaye hajui wakati anajiona anajua ni tatizo kubwa.

Kwa mawazo yako kabisa na usomi wako kabisa unataka kutuelimisha ya kwamba EU wajerumani, wafaransa na wa UK wanaikatalia Uturuki kwa sababu wanaogopa ushindani na uturuki ya kwamba watu wao hawajaelimika kulinganisha na uturuki? Shida kweli kweli kwa wasomi kama ninyi.

Ama ya kwamba Norway wamekataa kujiunga na European Union ni kwa sababu ya inferiority ya kwamba wanaogopa watu wake ya kwamba hawajasoma eti ya kwamba wanaogopa ushindani maana nchi kama Romania,chech,Poland ,Burugalia zitatoa ushindani mkubwa .Teh teh teh Hoja zako ni mfu wala shule huna walio na shule wapo kimya.

Ni mpumbafu tu ambaye unaweza kumwambia eti mmesoma na akirejea kile kitendo cha kubeba panga na kumfukuza mwezio hadharani na kumkata ni mpumbafu tu huyo atayekubaliana na hoja ya kwamba msomi ana uwezo wa kumtia petroli wazake kadhaa akiwa kanisani.

MWelevu atakubali ya kwamba ni ma-Bushmen design tu ndo waliyo na morali ya kufanya vitendo vya namna ile hadharani na tena ni wale ambao civilization kwao bado liko mbali.
 
Thats crap, we have finaly known your true colors you xenophobic coons. Its 2010 and you still embrace those colonial boundaries as if you were the ones who drew them yourselves, go and pimp yourself to the SADC and maybe you will get some sort of benefits. EAC will do better without you, am sure of it.
Mr Smatta why only Tanzania cant you join Somalia or Sudan whom you share also borders and blood to form KSS.
 
Thats crap, we have finaly known your true colors you xenophobic coons. Its 2010 and you still embrace those colonial boundaries as if you were the ones who drew them yourselves, go and pimp yourself to the SADC and maybe you will get some sort of benefits. EAC will do better without you, am sure of it.
Mr Smatta when I say I dont want tribelism from you I mean I dont want this


An opposition supporter who was beaten by a mob using clubs, machetes and crude weapons on a road outside the Mathare slum during Post-election violence in Kenya
 
ki msingi tanzania hawakuwa wamejipanga sawasawa kuhakikisha kuwa wanapata kibari cha kuuza meno hayo

hoja zao dhaifu ndo ziliwafiksha hapo.
 
Mr Smatta when I say I dont want tribelism from you I mean I dont want this


An opposition supporter who was beaten by a mob using clubs, machetes and crude weapons on a road outside the Mathare slum during Post-election violence in Kenya

Unajuwa hawa tunapokataa kuungana nao, wao wanafikiri tunaogopa ushindani, na eti wanatujaribu kwa kusema hatuna elimu ili tuingie kichwa kichwa ya kwamba tukiungana nao ndo tutaonekana tuna elimu.Teh teh

triki wanayotumia ni kama ile ya shetani alipomwendea Yesu na kumwambia kama kweli wewe ni mwana wa Mungu jitupe chini si imeandikwa .
 
Nyangau ni nani? Uoga na uvivu wenyu ndio umewafanya mkawa na inferiority complex kiwango hiki, kusema Kenya waliwaharibia kule Doha ni kisingizio kikubwa kisichokuwa na credibility yeyote, mlikuwa mnatafuta tu visababu vya kuhalt hio process. Mwaogopa competition, wengi wenyu hawako competent ku compete kwenye job market na the rest of East Africa na hii ndio sababu kubwa inaofanya watanzania mitaani kuikataa hii federation, sijui mnataka kujifungia kwenye boksi hadi lini, suluhisho kwa haya matatizo yote ni masomo, sijui tutawapa miaka mingapi ili mueze kusomesha vijana wenyu ili waweze kushindana fairly na vijana wa nchi nyengine duniani. NAWAONEA HURUMA ENYI WASWAHILI, HAMCHOKI KUONGEA???


It's a pity Mkenya anaongelea juu ya kuelimika ati ili tuungane nao.So nintyi mliojifanya mmeelimika kwa nini hamuungani ninyi wenyewe?kwanini mjaluo asiungane na mkikuyu?Ina maana Elimu yenu haiwezi kuwaelimisha kwamba tribalism ni mbaya hadi akina Koffi anann waje wakuambie hivyo?

Ati Inferiority complex, Watanzania hawawezi kuwaogopa wakenya hata siku moja ila tunachosema ni kwamba 'Chakula cha mtoto asipewe mbwa'

Ninyi mlikua na resources mkawapa white setllers and corrupt political leaders,now they are busy screwing you guys.Mnatafuta relief Tanzania,you are dead wrong

You guys are always jelous of our socio-economic prosperity.Uchumi wetu unakuja juu,you guys are sinking just because of corruption,poor leadership ambao sasa wako busy kufanya kampeni ya 2012 election plus upuuzi wa wananchi wanaojiita wameelimika but wanachinjana kama kuku kwa sababu ya ujinga.

Leo hii unajiona superior just because of those mushroom industries zinazomilikiwa na Wazungu,Asions huku mkenya wa kawaida akiwa screwed up.Lol..it's hillarious
 
ki msingi tanzania hawakuwa wamejipanga sawasawa kuhakikisha kuwa wanapata kibari cha kuuza meno hayo

hoja zao dhaifu ndo ziliwafiksha hapo.
Unajua Edson hata mimi sikubaliani na uuzwaji wa hizo pembe ni bora tuzichome lakini Kenya na Rwanda hawakuwa na sababu ya kuongoza kampeni tena hadharani walichofanya hakikuwa kitendo cha kiuungwana walitakiwa waje nyumbani kwa vile ni majirani tuzungumze pengine tungebadili mawazo.
 
Back
Top Bottom