Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
...na Limekaa kaa ki-ccm hivi!!Ni wazo zuri.
...na Limekaa kaa ki-ccm hivi!!Ni wazo zuri.
...na Limekaa kaa ki-ccm hivi!!
Kweli, lakini nadhani Wakenya wamezidi kuwa washamba....yaani hawana ujanja hata kidogo. Hata huku US eti unakuta Wakenya karibia 50 wote wanaenda kuomba marriage license kwa wakati mmoja kwenye courthouse hiyo hiyo...sasa kweli huo ni ujanja?
Halafu mademu wa Kikenya wanatuzimia sana sisi ma men wa kibongo....I dunno why....
See, they dig us...now you ask yourself why?
It is because they are washamba.....both men and women.....mi nawafahamu Wakenya ambao wanajifanya wabongo na wengine wanaotaka kuwa wabongo...Lol....Halafu wanakizmia sana kiswahili chetu....wakikusikia unatema kiswahili utawasikia wanakuuliza..."wewe m-tizedi (MTZ) eeh" "nimesikia swahili yako nimependa sana"......
this is BS piled deep and high. Do not generalize.
Nah its Kisumu that will become the United States of Kenya. Trust luos to think of something like that....ok lets say Obama wins if he wins, what makes them think he will even go to Kenya for the four or eight years he serves as president...... Me thinks this is another way of trying to squander tax payers money... yet again!
Kheee!! Wee baba Kayayii....taratibu..mbona una jazba hivyo?
Hey, plans to expand kisumu have been there for a long long time, its not coz of Obama at all..........and i dont see why kenyan shouldnt be proud of obama, the irish were even more proud of JFK.
...Halafu ni mmoja wao tu aliyependekeza swala hilo...
....the irish were even more proud of JFK.
Hivi haukukarabatiwa, Obama si alishinda?
Wakenya kusema kweli kwenye vitendo huwa wanapafomu...
Mbona kwetu sioni any massive projects ie constructions kama wakenya?
At least they do something pamoja na ukabila na ufisadi, lakini wanafanya something bana!