Kenya ranked among 'failed States' because of the Somali War...Time to reassess!

Hawa marekani waangaliwe kwenye darubini sana. Tukitaka kujua umuhimu wa mpangilio kama huu wa failed states, lazima tuchunguze ilianza mwaka gani na kusudi lake ni nini. Je! inapanga kuelezea na kusuliuhisha hilitafu gani? ina pangia kujenga au kubomoa? La sivyo ni ushabiki tunayoshuhudia kwa mfano hapa JF at a low level. tofauti tu ikiwa ni ushabiki wao ni "world-class". Watu ambao wanazo matatizo ya usalama na mengine mengi kama uchumi mbovu ambao unadorora kila kukicha wamepunguzwa wakawa ndio wanataka kushabikiana na mataifa ya Afrika.
 
Hawa marekani waangaliwe kwenye darubini sana. Tukitaka kujua umuhimu wa mpangilio kama huu wa failed states, lazima tuchunguze ilianza mwaka gani na kusudi lake ni nini. Je! inapanga kuelezea na kusuliuhisha hilitafu gani? ina pangia kujenga au kubomoa? La sivyo ni ushabiki tunayoshuhudia kwa mfano hapa JF at a low level. tofauti tu ikiwa ni ushabiki wao ni "world-class". Watu ambao wanazo matatizo ya usalama na mengine mengi kama uchumi mbovu ambao unadorora kila kukicha wamepunguzwa wakawa ndio wanataka kushabikiana na mataifa ya Afrika.
Mkuu Kabaridi,

Kwani hao wamarekani wana-beef gani na Kenya? mbona nyie ni washirika damu damu! (war on terror, military bases etc etc). Sidhani kama wametoa hiyo ranking kwa sababu wanawachukia, hii ndio hali ilivyo kwa sasa huko Kenya. Kila siku maguruneti hayaishi kulipuka Nairobi na Mombasa, Alshabaab threats pamoja na migogoro ya kisiasa kati ya mahasimu wa ODM, PNU et al...

You don't need to be sober to consume this...:mod:
 
i really dont care what the west think, on an African setting alone weighing all factors Kenya sits pretty well among top ten most established states. Just because Kenya no longer co-operates with America the way she wants, she brands Kenya her a failed state. Anyone following americas policy with regards to EA must be aware Kenya denied her a military base, denied signing the terrorism bill with her, denied to sign an agreement to shield americans in the event her soldiers commit crimes in Kenya against local prosecution. Yesternight, americas embassy to Kenya said she cant revoke her travel advisory as it breaks americas double standard rule after a wide show of dissatisfaction from the Kenyan Govt/security agencies sighting no intelligence was shared. What gibberish is this?!?!
No need of being ingenious, if Kenya is the 15th most failed state, why is she very vocal in determining Africas future, esp with regards to EAC interlinked infrastructure developments e.g Eassey cable, LAPSSET to mention a few?
Question we should be asking ourselves is, ''how does Kenyas' prosperity index fair in comparison to the rest of Africa?''.... In doing so, you will definitely better understand the report is utter non sense.
 
Mkuu Kabaridi,

Kwani hao wamarekani wana-beef gani na Kenya? mbona nyie ni washirika damu damu! (war on terror, military bases etc etc). Sidhani kama wametoa hiyo ranking kwa sababu wanawachukia, hii ndio hali ilivyo kwa sasa huko Kenya. Kila siku maguruneti hayaishi kulipuka Nairobi na Mombasa, Alshabaab threats pamoja na migogoro ya kisiasa kati ya mahasimu wa ODM, PNU et al...

You don't need to be sober to consume this...:mod:

Ndio nataka tuangalie bila kuwa biased. Haya yote kiini chake sio tu ugaidi. Utakubaliana nami ndugu kuwa kuna interest zingine zinazotokana na wengine kupoteza ushawishi wao katika safu za ulimwengu. Zote haya zinambatana moja kwa moja. Hawa kaua Osama wakaona wamefika Kanani, wakati vitoto vya osama viko kazini. Nataka tufahamu taswira mataifa mengine yanapata kutokana na hizi mbinu. Wao kwa msemo mmoja wanataka kuhatarisha hali kuliko ilivyo AM. Kama maguruneti yanararua haswa miji ya mombasa, haimanishi kazi imesimama. kazi inaendelea tu kama kawa.

Mambo ya ODM na PNU/ population pressures zinazoletwa na siasa are internal. Mataifa yote yana matatizo ya ndani na haiwezekani kuwa mtu ataamka aanze kulinganisha matatizo ya kwake na ya kwingine. Yapaswa waamke na kutatua matatizo yao halafu muongozo watakaotoa itakubalika.
 
yes ni vile livefire wamemaliza vya kwao/eurozone na sasa kuna njama ya kujaribu kupokonya mwafrika mali-asili. Ingawa there's is no love lost bilateral-partnerships and deliberation on common economic interests zitaendelea.
 
The top 20 Largest Economies In Africa as
of January 1, 2011:
#1. South Africa
GDP- Purchasing Power Parity: US$524
Billion (As of 2010)
Contribution of Industrial Sector in GDP:
30.8%
Contribution of Agricultural Sector in GDP:
2.5%
Contribution of Services Sector in GDP:
66.7% (As of 2010)
Population: 50,586,757 (As of 2011)
Unemployment Rate: 24.9% (As of 2010)
#2. Egypt
GDP- Purchasing Power Parity: US$497.8
Billion (As of 2010)
Contribution of Industrial Sector in GDP:
37.5%
Contribution of Agricultural Sector in GDP:
14%
Contribution of Services Sector in GDP:
48.3% (As of 2010)
Population: 80,801,170 (As of 2011)
Unemployment Rate: 9.7% (As of 2010)
#3. Nigeria
GDP- Purchasing Power Parity: US$377.9
Billion (As of 2010)
Contribution of Industrial Sector in GDP:
32%
Contribution of Agricultural Sector in GDP:
30%
Contribution of Services Sector in GDP:
38% (As of 2010)
Population: 155,215,573 (As of 2010)
Unemployment Rate: 4.9% (As of 2007)
#4. Algeria
GDP- Purchasing Power Parity: US$251.1
Billion (As of 2010)
Contribution of Industrial Sector in GDP:
61.6%
Contribution of Agricultural Sector in GDP:
8.3%
Contribution of Services Sector in GDP:
30.1% (As of 2010)
Population: 36,423,000 (As of 2010)
Unemployment Rate: 10% (As of 2010)
#5. Morocco
GDP- Purchasing Power Parity: US$151.4
Billion (As of 2010)
Contribution of Industrial Sector in GDP:
31.6%
Contribution of Agricultural Sector in GDP:
17.1%
Contribution of Services Sector in GDP:
51.4% (As of 2010)
Population: 32,208,557 (As of 2011)
Unemployment Rate: 9.1% (As of 2010)
#6. Angola
GDP- Purchasing Power Parity: US$107.3
Billion (As of 2010)
Contribution of Industrial Sector in GDP:
65.8%
Contribution of Agricultural Sector in GDP:
9.6%
Contribution of Services Sector in GDP:
24.6% (As of 2008)
Population: 18,498,000 (As of 2009)
Unemployment Rate: NA%
#7. Sudan
GDP- Purchasing Power Parity: US$100
Billion (As of 2010)
Contribution of Industrial Sector in GDP:
29.5%
Contribution of Agricultural Sector in GDP:
30.5%
Contribution of Services Sector in GDP:
39.9% (As of 2010)
Population: 30,894,000 (As of 2008)
Unemployment Rate: 18.7% (As of 2002)
#7. Tunisia
GDP- Purchasing Power Parity: US$100
Billion (As of 2010)
Contribution of Industrial Sector in GDP:
34.6%
Contribution of Agricultural Sector in GDP:
10.6%
Contribution of Services Sector in GDP:
54.8% (As of 2010)
Population: 10,432,500 (As of April 2, 2011)
Unemployment Rate: 13% (As of 2010)
#9. Libya
GDP- Purchasing Power Parity: US$90.57
Billion (As of 2010)
Contribution of Industrial Sector in GDP:
62.9%
Contribution of Agricultural Sector in GDP:
2.6%
Contribution of Services Sector in GDP:
34.6% (As of 2010)
Population: 6,420,000 (As of 2010)
Unemployment Rate: 30% (As of 2004)
#10. Ethiopia
GDP- Purchasing Power Parity: US$86.12
Billion (As of 2010)
Contribution of Industrial Sector in GDP:
11%
Contribution of Agricultural Sector in GDP:
50%
Contribution of Services Sector in GDP:
39% (As of 2010)
Population: 82,101,998 (As of 2011)
Unemployment Rate: NA%
#11. Kenya
GDP- Purchasing Power Parity: US$66.03
Billion (As of 2010)
Contribution of Industrial Sector in GDP:
16%
Contribution of Agricultural Sector in GDP:
22%
Contribution of Services Sector in GDP:
62% (As of 2010)
Population: 41,070,934 (As of 2011)
Unemployment Rate: 40% (As of 2008)
#12. Ghana
GDP- Purchasing Power Parity: US$61.97
Billion (As of 2010)
Contribution of Industrial Sector in GDP:
18.6%
Contribution of Agricultural Sector in GDP:
29.9%
Contribution of Services Sector in GDP:
51.4% (As of 2010)
Population: 24,233,431 (As of 2010)
Unemployment Rate: 11% (As of 2000)
#13. Tanzania
GDP- Purchasing Power Parity: US$58.44
Billion (As of 2010)
Contribution of Industrial Sector in GDP:
24%
Contribution of Agricultural Sector in GDP:
28.4%
Contribution of Services Sector in GDP:
47.6% (As of 2010)
Population: 43,739,000 (As of 2009)
Unemployment Rate: NA%
#14. Cameroon
GDP- Purchasing Power Parity: US$44.33
Billion (As of 2010)
Contribution of Industrial Sector in GDP:
31.4%
Contribution of Agricultural Sector in GDP:
19.7%
Contribution of Services Sector in GDP:
48.9% (As of 2010)
Population: 19,100,000 (As of 2009)
Unemployment Rate: 30% (As of 2001)
#15. Uganda
GDP- Purchasing Power Parity: US$42.15
Billion (As of 2010)
Contribution of Industrial Sector in GDP:
24.5%
Contribution of Agricultural Sector in GDP:
23.6%
 
Ndio nataka tuangalie bila kuwa biased. Haya yote kiini chake sio tu ugaidi na utakubaliana nami ndugu kuwa kuna interest zingine za wengine kupoteza ushawishi wao katika safu za ulimwengu zote haya zaambatana moja kwa moja. Hawa kaua Osama wakaona wamefika Kanani, wakati vitoto vya osama viko kazini. Ndio nataka ufahamu taswira mataifa mengine yanapata kutokana na hizi mbinu. Wao kwa msemo mmoja wanataka kuhatarisha hali kiliko ilivyo AM. Kama maguruneti yanararua haswa miji ya mombasa, haimanishi kazi imesimama. kazi inaendelea tu kama kawa.

Ni vema kama ndugu zetu mmefumbua mamcho na kugundua kuwa hawa jamaa huwa hawana permanent friends wala permanent enemies. Mwalimu aligundua hilo siku nyingi especially kipindi cha ukombozi wa nchi za kusini (SADC), watu wa west walituzushia mambo mengi sana lakini msimamo wetu ulibaki palepale.

Hao jamaa wa west hawajawahi kusaidi nchi yeyote ya ki-Africa kiuchumi na ikafanikiwa, mwenye kupinga hilona asimame hapa tumsikie...Kitu walichofanikiwa kusaidia kuuwa uchumi wa nchi za ki-africa kwa ku-oversuppply them with weapons and ammunition of all types...
 
yes ni vile livefire amesema hapo kuna mengi tu yanawaudhi hawa. Ingawa there's is no love lost bilateral-partnerships and deliberation on common economic interests zitaendelea.

nowadays i dont take this peace/prosperity indexes to mean anything, this reports were manufactured to kinda stymie investor confidence in EAC region considering she is proving to be a potential IRAN, its no secret Kenya is getting bullish. we need the west by all means but dictating to us is another thing all together, we should encourage symbiotic partnerships..
 
Ni vema kama ndugu zetu mmefumbua mamcho na kugundua kuwa hawa jamaa huwa hawana permanent friends wala permanent enemies. Mwalimu aligundua hilo siku nyingi especially kipindi cha ukombozi wa nchi za kusini (SADC), watu wa west walituzushia mambo mengi sana lakini msimamo wetu ulibaki palepale.

Hao jamaa wa west hawajawahi kusaidi nchi yeyote ya ki-Africa kiuchumi na ikafanikiwa, mwenye kupinga hilona asimame hapa tumsikie...Kitu walichofanikiwa kusaidia kuuwa uchumi wa nchi za ki-africa kwa ku-oversuppply them with weapons and ammunition of all types...

Yaonekana wakenya tupo miongo kadha nyuma ya Tanzania. Lakini tuna tatizo kuwa viongozi wengine wanataka kuturudisha katika enzi ukoloni. Mtu katika akili zake anatafuta ushirikiano na mzungu na hatambui ukombozi ulioletwa na waanzilishi wa mataifa ya AM ambao umeigharimu Afrika hata ustawi na maendeleo ya miaka. Hapo kwenye blue ndio majirini wetu wa magharibi AM wanaingia kichwa-kichwa tu katika deal za kupewa weapons.
 
nowadays i dont take this peace/prosperity indexes to mean anything, this reports were manufactured to kinda stymie investor confidence in EAC region considering she is proving to be a potential IRAN, its no secret Kenya is getting bullish. we need the west by all means but dictating to us is another thing all together, we should encourage symbiotic partnerships..

true that bro, that is purposely to distract investor potential and the bullish mode has come at the right time when there's a re-alignment of continental allegiances. And as a matter of fact, there was a little suspicion these EAC projects would anticipate a small backdrop of security challenges but some aspects of future regional security needs addressing.
 
Back
Top Bottom