Kenya plans pipeline to Arusha after oil discovery

Mkuu Bulldog wenzetu wanaona mbali sana wanajua wakitumia vyema mafuta yao katika soko la EAC watazidi kuwa na nguvu sisi kila kitu tunaingiza siasa.
Hii ndiyo tz. kwani hujui kama siasa ndio inalipa zaidi? Just imajin ulikuwa teacher shule ya msingi ukiwa unalipwa laki na salasini kisha ghafla unakuwa mbunge unalipwa milioni kama 13 hivi utajisikiaje? ndiyo maana wanasema watz 95% ni wanasiasa tayari au wanataka kuwa wanasiasa. Sasa kazi za uzalishaji atafanya nani??
 
si kweli........Its just an exploration....hata amount ya reserve haijajulikana.........drilling pekee ndio yaweza toa jibu......still wapo kwenye process
 
Viongozi wetu ni bure kabisa. Wakati wa mkutano wa China na Africa last month, Kenya wakiwa huko huko China waliwasilisha mipango ambayo wanataka ifadhiliwe na wachina.

Sisi ujumbe uliporudi ndo kwanza barua zinaandikwa kuomba kila wizara ipeleke miradi ya kufadhiliwa na wachina.

Hapa utaona fika kuwa hatukujipanga kabla ya kwenda. Wakenya tayari wailikuwa na mipango iliyoanadliwa.
 
Siamini kama Wakenya wanaweza kufikiria huu upuuzi huwa nawaheshimu sana kwa kuwa smart hapo ni siasa wanawaletea watu wao.

Hivi Kenya na Uganda ipi imeanza kugundua mafuta? Uganda wamesha quantify mafuta yao kuwa yanaweza kuwa commercially viable ila Kenya bado na nani kawaambia in the next few years TZ haitakuwa na mafuta yake?

Mbona dalili walizonazo ndo sisi tunazo?
 
Sisi mi-TZ ni mazoba!!

Tutakalia kulalamika tu hakuna tunachokifanya!! Hivi ni wa-TZ wangapi tumewaza kuanzisha maandamano yasiyokuwa na ukomo tukawatoe ofisini hawa wajinga hawa? Nilisikia kelele fulani wanaharakati eti ooh tutaanzisha maandamano yasiyokoma! Tumb..f waliishia wapi?

Hebu tuache kulalamika maana hatujui kuchukua hatua! Acheni wenzetu wachape kazi sisi tuendelee kuoa wake wengi basi ndo fani yetu!! Nilipenda sana katuni ya olympic jinsi wa-TZ tunavyopiga domo Bla Bla Bla Bla Bla Bla, Mkenya kwa nyuma karibia avunje mbavu kutucheka, Tumb..f zetu!!! Na hili Li-talii sijui kwa nini hawali-Cameron huko labda litatia akili!
 
Back
Top Bottom