Wabungu wa kenya wamepinga kupitizwa kuundwa tribunal ya kuchunguza wahusika kwenye ghasia zilizotokea wakati wa uchaguzi mwaka jana.
Sasa sijui kama Koffi Annan ata peleka mashtaka ICC huko Hague ama vipi.
Kwangu mimi afadhali wapelekwe Hague sababu afrika tuna tabia ya kufagilia mvunguni kesi nyingi.
Someni Hapa
ama hapa
Sasa sijui kama Koffi Annan ata peleka mashtaka ICC huko Hague ama vipi.
Kwangu mimi afadhali wapelekwe Hague sababu afrika tuna tabia ya kufagilia mvunguni kesi nyingi.
Someni Hapa
ama hapa