dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Katika nchi jirani hapo KENYA chama cha madaktari Kenya KOSATU ( samahani kama nimekosea) kinaandaa mgomo wa nchi nzima Baada ya Katibu mkuu wa wizara wakishirikiana na bodi ya Bima ya Afya nchini humo ( NHIF) kulipa malipo hewa kwa hospitali ambazo hazipo zaidi ya shilingi za Kenya Mil 3.
Hivyo chama hicho cha madaktari wanawataka Waziri, katibu wake wa wizara na mkurugenzi wa NHIF kujiuzuru na kufikishwa mahakamani kwa ubadhirifu na ufisadi wa mali ya umma.
My take:
Hapa kwetu mchezo huu haufanywi kweli maana sie wafanyakazi wanatulazimisha kujiunga na bima ya afya na wanatukata kweli na huduma ni mbovu. Kila siku sie watu wa bima hakuna dawa na vipimo vya muhimu tunalipa wenyewe.
Nadhani Brandina Nyoni na Kina Nkya watakuwa wanaijua hii biashara vizuri
Hivyo chama hicho cha madaktari wanawataka Waziri, katibu wake wa wizara na mkurugenzi wa NHIF kujiuzuru na kufikishwa mahakamani kwa ubadhirifu na ufisadi wa mali ya umma.
My take:
Hapa kwetu mchezo huu haufanywi kweli maana sie wafanyakazi wanatulazimisha kujiunga na bima ya afya na wanatukata kweli na huduma ni mbovu. Kila siku sie watu wa bima hakuna dawa na vipimo vya muhimu tunalipa wenyewe.
Nadhani Brandina Nyoni na Kina Nkya watakuwa wanaijua hii biashara vizuri