simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Kampuni moja Kenya imezindua mtungi wa gas wa kilo moja ambao itamwezesha mtumiaji kununua gas kuanzia ksh 50(tsh 850) hadi ksh 300 kwa ujazo kamili wa kilo moja. Taarifa njema kwa familia za uwezo mdogo ambazo nyingi hutegemea makaa au mafuta ya taa.