Kenya in 2012....!!!!!!

VUVUZELA

JF-Expert Member
Jun 19, 2010
3,103
785
297844_10150437609346412_500691411_10234899_529911116_n.jpg


Al Shabab beware!!
 
Labda utakuwa muungano kama wa Tanganyika na Zanzibar (Tanzania) au Senegal na Gambia (Senegambia).....
Ni vizuri kama watakuwa na muungano wao utakaoitwa Somakenya.....
 
Labda utakuwa muungano kama wa Tanganyika na Zanzibar (Tanzania) au Senegal na Gambia (Senegambia).....
Ni vizuri kama watakuwa na muungano wao utakaoitwa Somakenya.....
Du! hiyo ni kali
 
hakuna kitu kama hiyo, Kenya kama nchi si expansionist, ile kidogo mungu alitupa na matatizo yake, alhamdulillah tumeridhika.
 
Hivi Kenya ilienda kwa nia ya kuichukua Somalia? ache kuchochea vitu nyie...
 
Back
Top Bottom