Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,123
Wakuu,
Again respect kwa huu mjadala,
Tanzania naona tunaweza kujiimarisha kila angle na kuwashika Kenya pabaya.Katika Tourism industry yenyewe,tukiwa strategic tutakua tunawapumulia kenya mgongoni.
Hili suala la kujenga viwanda vya ndani angalao ktk bajeti ya mwaka tuitenge au ni bora tungeendelea kutegemea wafadhili ktk hiyo asilimia tuliyopunguza lakini tui-invest katika kujenga hivyo viwanda.Tungeendelea kutegemea wafadhili strategically lakini tukai--invest hizo hela kwa muda wa kama miaka mitano ijayo.
Tanzania ina fursa nzuri za kujiimarisha kichumi kuliko Kenya kama tutaimarisha miundombinu.Pia tujitangaze maanake Biashara inaaendana na matangazo,hata ikiwezekana propaganda makini zitasaidia sana.Tujaribu kucheza na saikolojia za wakaazi wa dunia hii.All it's about business
Again respect kwa huu mjadala,
Tanzania naona tunaweza kujiimarisha kila angle na kuwashika Kenya pabaya.Katika Tourism industry yenyewe,tukiwa strategic tutakua tunawapumulia kenya mgongoni.
Hili suala la kujenga viwanda vya ndani angalao ktk bajeti ya mwaka tuitenge au ni bora tungeendelea kutegemea wafadhili ktk hiyo asilimia tuliyopunguza lakini tui-invest katika kujenga hivyo viwanda.Tungeendelea kutegemea wafadhili strategically lakini tukai--invest hizo hela kwa muda wa kama miaka mitano ijayo.
Tanzania ina fursa nzuri za kujiimarisha kichumi kuliko Kenya kama tutaimarisha miundombinu.Pia tujitangaze maanake Biashara inaaendana na matangazo,hata ikiwezekana propaganda makini zitasaidia sana.Tujaribu kucheza na saikolojia za wakaazi wa dunia hii.All it's about business