Kenya Election 2013 Petition...Uhuru and Ruto's victory upheld.

Thanks mdau Ab-Titchaz kwa hii piece of information. Tunasubiri kwa hamu na gamu kusikia ushahidi utakachofikishwa mahakamani na mawakili wa Cord na muhimu zaidi ni namna supreme court itakavyoihandle kesi hii.

Binafsi siamini kama mahakama inaweza kutengua ushindi wa Uhuru. Sitarajii kuona uamuzi kama huo katika nchi zetu za kiafrika hata kama kutakuwa na ushahidi mzito kiasi gani bado naamini court itatoa ruling kwa favour ya president elect tu.

Labada hii kesi inaweza kusaidia kuwaonyesha wakenya mapungufu ya IEBC ili wayafanyie kazi kwa ajili ya chaguzi zijazo huko mbeleni.
madhara ya taahira kuwa karibu na keyboard ndo haya. sasa umeandika nini? there was no way odinga angeshinda kwa mazingira yalivuokuwa. wakikuyu=17% wakalenjini=13%. cha kushangaza zaidi ni hata kule ambako odinga alimshinda kibaki uchaguzi uliopita kama maeneo ya pwani mwaka huu amepoteza. maeneo aliyoshinda uhuru kulikuwa na gap kubwa sana lakini maeneo aliyoshinda odinga gap lilikuwa dogo sana.
ama kweli machadema wengi ni mataahira na wewe ukiwemo.
 
umeeleza ukweli kabisa.machadema hayataipenda hii habari. subiria mapro-chadema watakavyorapu hapa. mara ikapanda mara ikashuka.

We dogo acha kichaa chako. nani arapu? kamweleze mamako pumba zako hizi siyo humu!.
 
Watz hawakutaka uhuru kushinda, i remember when the envoys started issuing veiled threats nilisema hapa the ground is shifting but i was vilified here because you guys were worshiping opinion polls
 
Some of us love ideals more than personalities.

Wale watu zaidi ya 1,000 waliopoteza maisha yao nawasikitikia sana maana mwishowe haki wanaweza wasitendewe kwa jinsi ambavyo kesi dhidi ya hao watuhumiwa inavyosambaratika.

Na sina hakika hata kama kuna mtu mmoja jela ambaye alihusika na hizo ghasia. Kama yupo basi itakuwa ni moja ya wale vidagaa lakini mapapa na nyangumi bado wanafurahia uhuru wao uraiani.
hakika haufahamu unachoongea.

Nchini Kenya, ICC ni jambo la kisiasa na hawa watuhumiwa ni vidagaa tu ambao wamepelekwa ICC lakini papa wahusika ni Raila na Kibaki.

Kufikia muda huu kwao Raila (Kisumu) watu (Wajaluo) wawili wamefariki kwa sababu za Kisiasa!

Vilevile na kuhakikishia mimi ni Mkenya na milimpigia Kura Raila lakini na kubali kuwa Uhuru alishinda; hebu tazama idadi ya Wabunge na Maseneta; utagundua chama cha Uhuru kinaongoza, kitendo ambacho kimewezesha chama chake kupata maspika na manaibu katika bunge na seneti.

Raila angeongozaje bila idadi nzuri ya wabunge na maseneta?
 
chadema na odm wapi na wapi? ni kama vile ccm wakisikia cdm wanakuwa na kizunguzungu fulani hivi
 
Hivi zile gari walizopeleka kumsaidia Raila zimerudi salama na wasanii?

Kwenye hili watoto wa mjini wangesema Mbowe na Dr. Slaa walicheza pata potea!
 
Una la kuongea na mahekaya ya abunuwasi ulokuwa unayamimina humu jukwaani....acha ushabiki kwenye mambo usiyoyajua dr wa vitumbua

Mkuu ma dr hawa bado wapo wengi tu na theory zao zisizo na mashiko- walikuwa wanatutishia na matakwimu mengi, sasa aibu imewapata
 
Ukabila ni dhambi. Anayesema Uhuru atajaribu kukabiliana nao, hakika anajidanganya. Nani asiyejua kwamba Raila is far better than Uhuru lakini piga uwa wakikuyu kamwe wasingeweza kumpa kura Raila. Itachukua vizazi na vizazi kuondoa hali hii through affirmative actions from the top leader.

mkuu "MTOTO MKABIDHI MCHAWI"
 
hakika haufahamu unachoongea.

Ninajua sana ninachokiongea. Haki ni haki tu na mimi napenda haki zaidi kuliko personalities.

Nchini Kenya, ICC ni jambo la kisiasa na hawa watuhumiwa ni vidagaa tu ambao wamepelekwa ICC lakini papa wahusika ni Raila na Kibaki.

Kwangu haijalishi. Sijali kabisa jina la mtu aliyehusika na hayo mauaji. Ikiwa Uhuru atapatikana na hatia na ahukumiwe jela akanyee debe huko. Kwani yeye nani bana hadi aonewe huruma? Ruto naye vivyo hivyo. Na kwa maoni yangu Kibaki ndiyo mhusika nambari wani. Ndiye mwizi mkuu aliyesababisha yote hayo. Why is he not charged? Na kama Raila naye alihusika basi lady justice should fall on him like a ton of bricks too.

Kufikia muda huu kwao Raila (Kisumu) watu (Wajaluo) wawili wamefariki kwa sababu za Kisiasa!

Hilo si jambo jema. Watu inabidi watulize munkari. Mtu wako kutoshinda si mwisho wa dunia ingawa siamini kama Raila kashindwa kihalali hata kidogo.

Vilevile na kuhakikishia mimi ni Mkenya na milimpigia Kura Raila lakini na kubali kuwa Uhuru alishinda; hebu tazama idadi ya Wabunge na Maseneta; utagundua chama cha Uhuru kinaongoza, kitendo ambacho kimewezesha chama chake kupata maspika na manaibu katika bunge na seneti.

Siwezi kukubali tu kuwa Uhuru alishinda kihalali wakati mimi, ingawa ni wa mbali niliona dosari ambazo ziliweka mazingira fulani fulani ambayo yangewezesha kufanyika udanganyifu. Hilo inabidi waliangalie upya la sivyo kila chaguzi hususan wa urais utakuwa contested mahakamani.

Raila angeongozaje bila idadi nzuri ya wabunge na maseneta?

Unaishi dunia ya wapi wewe ndugu? Kwani Kenya ndiyo ingekuwa ya kwanza kuwa na divided government? Ronald Reagan aliongozaje Marekani kwenye miaka ya 80? Bill Clinton aliongozaje Marekani kwenye miaka ya 90 baada ya chama chake kuwa shellacked katika congressional elections za 94? George W. Bush aliongozaje Marekani kuanzia mwaka 2006 wakati Nancy Pelosi alipokuwa mwanamke wa kwanza kuwa spika wa bunge?

Kuwa na divided government ni jambo zuri kidemokrasia. Linafanya pande zote mbili zishirikiane (bipartisanship) katika kuongoza nchi.

Nchi kuongozwa na super majority ya chama kimoja siyo jambo zuri kidemokrasia hususan kama bunge litakuwa ni rubber stamp ya kiongozi wao aliyeko kwenye tawi la utendaji (rais).

Kwa hiyo ndugu yangu kwenye demokrasia za vyama vingi mambo ya divided government (yaani tawi la kutunga sheria na tawi la utendaji kuongozwa na vyama tofauti) ni kawaida sana. In fact, it's healthy for democracy and good governance.
 
Ninajua sana ninachokiongea. Haki ni haki tu na mimi napenda haki zaidi kuliko personalities.



Kwangu haijalishi. Sijali kabisa jina la mtu aliyehusika na hayo mauaji. Ikiwa Uhuru atapatikana na hatia na ahukumiwe jela akanyee debe huko. Kwani yeye nani bana hadi aonewe huruma? Ruto naye vivyo hivyo. Na kwa maoni yangu Kibaki ndiyo mhusika nambari wani. Ndiye mwizi mkuu aliyesababisha yote hayo. Why is he not charged? Na kama Raila naye alihusika basi lady justice should fall on him like a ton of bricks too.



Hilo si jambo jema. Watu inabidi watulize munkari. Mtu wako kutoshinda si mwisho wa dunia ingawa siamini kama Raila kashindwa kihalali hata kidogo.



Siwezi kukubali tu kuwa Uhuru alishinda kihalali wakati mimi, ingawa ni wa mbali niliona dosari ambazo ziliweka mazingira fulani fulani ambayo yangewezesha kufanyika udanganyifu. Hilo inabidi waliangalie upya la sivyo kila chaguzi hususan wa urais utakuwa contested mahakamani.



Unaishi dunia ya wapi wewe ndugu? Kwani Kenya ndiyo ingekuwa ya kwanza kuwa na divided government? Ronald Reagan aliongozaje Marekani kwenye miaka ya 80? Bill Clinton aliongozaje Marekani kwenye miaka ya 90 baada ya chama chake kuwa shellacked katika congressional elections za 94? George W. Bush aliongozaje Marekani kuanzia mwaka 2006 wakati Nancy Pelosi alipokuwa mwanamke wa kwanza kuwa spika wa bunge?

Kuwa na divided government ni jambo zuri kidemokrasia. Linafanya pande zote mbili zishirikiane (bipartisanship) katika kuongoza nchi.

Nchi kuongozwa na super majority ya chama kimoja siyo jambo zuri kidemokrasia hususan kama bunge litakuwa ni rubber stamp ya kiongozi wao aliyeko kwenye tawi la utendaji (rais).

Kwa hiyo ndugu yangu kwenye demokrasia za vyama vingi mambo ya divided government (yaani tawi la kutunga sheria na tawi la utendaji kuongozwa na vyama tofauti) ni kawaida sana. In fact, it's healthy for democracy and good governance.

Kubishana na watu ambao si objective ni tabu tu...hebu mwambie akupe idadi ya wawakilishi wa Cord na ile ya Jubilee ndani hizo house.
 
watz hawakutaka uhuru kushinda, i remember when the envoys started issuing veiled threats nilisema hapa the ground is shifting but i was vilified here because you guys were worshiping opinion polls

'labda wewe!
 
Ninajua sana ninachokiongea. Haki ni haki tu na mimi napenda haki zaidi kuliko personalities.



Kwangu haijalishi. Sijali kabisa jina la mtu aliyehusika na hayo mauaji. Ikiwa Uhuru atapatikana na hatia na ahukumiwe jela akanyee debe huko. Kwani yeye nani bana hadi aonewe huruma? Ruto naye vivyo hivyo. Na kwa maoni yangu Kibaki ndiyo mhusika nambari wani. Ndiye mwizi mkuu aliyesababisha yote hayo. Why is he not charged? Na kama Raila naye alihusika basi lady justice should fall on him like a ton of bricks too.



Hilo si jambo jema. Watu inabidi watulize munkari. Mtu wako kutoshinda si mwisho wa dunia ingawa siamini kama Raila kashindwa kihalali hata kidogo.



Siwezi kukubali tu kuwa Uhuru alishinda kihalali wakati mimi, ingawa ni wa mbali niliona dosari ambazo ziliweka mazingira fulani fulani ambayo yangewezesha kufanyika udanganyifu. Hilo inabidi waliangalie upya la sivyo kila chaguzi hususan wa urais utakuwa contested mahakamani.



Unaishi dunia ya wapi wewe ndugu? Kwani Kenya ndiyo ingekuwa ya kwanza kuwa na divided government? Ronald Reagan aliongozaje Marekani kwenye miaka ya 80? Bill Clinton aliongozaje Marekani kwenye miaka ya 90 baada ya chama chake kuwa shellacked katika congressional elections za 94? George W. Bush aliongozaje Marekani kuanzia mwaka 2006 wakati Nancy Pelosi alipokuwa mwanamke wa kwanza kuwa spika wa bunge?

Kuwa na divided government ni jambo zuri kidemokrasia. Linafanya pande zote mbili zishirikiane (bipartisanship) katika kuongoza nchi.

Nchi kuongozwa na super majority ya chama kimoja siyo jambo zuri kidemokrasia hususan kama bunge litakuwa ni rubber stamp ya kiongozi wao aliyeko kwenye tawi la utendaji (rais).

Kwa hiyo ndugu yangu kwenye demokrasia za vyama vingi mambo ya divided government (yaani tawi la kutunga sheria na tawi la utendaji kuongozwa na vyama tofauti) ni kawaida sana. In fact, it's healthy for democracy and good governance.

mekubal wewe noma, unamapenzi na raila ya waz kabisa yet unasingizia demokrasia na haki. haki na demokrasi havipo 100% dunian even in sweden #Assange
 
mekubal wewe noma, unamapenzi na raila ya waz kabisa yet unasingizia demokrasia na haki. haki na demokrasi havipo 100% dunian even in sweden #Assange

Sina mapenzi na Raila wala Uhuru. Mimi nilikuwa na-root for Sonko and he won big. So I don't give two hoots about these two crown princes. Nikiona mtu anashambuliwa unfairly huwa naongea wazi.

Hata huyo Uhuru nimemtetea sana hapa kuhusiana na tuhuma zake za kumiliki karibu nusu nzima ya ardhi ya Kenya. Sasa nina mapenzi ya wazi na Raila kivipi?

Ila kama unaona harakati za Raila ni for the birds then you are dead wrong.

His activism has put up a lot of sweat equity in the changes that Kenya is undergoing.

Bila mchango wa harakati zake sidhani kama Kenya ingekuwa hapa ilipo.

Na kama unadhani harakati zake ni kwa ajili yake yeye mwenyewe basi umenoa.

Umenoa kwa sababu kama jana ilikuwa Raila, kama leo imekuwa Raila, kesho na keshokutwa atakuwa mwingine kwa sababu yeye hataishi milele.

Na hakuna popote pale ambapo nimezungumzia uwepo wa demokrasia na haki kwa kiwango cha asilimia 100.

Ni kitu gani duniani chenye asilimia 100? Hakuna. Lakini hii haina maana mambo yahusuyo umma yasiendeshwe kwa uhuru, haki, na uwazi.
 
Sina mapenzi na Raila wala Uhuru. Mimi nilikuwa na-root for Sonko and he won big. So I don't give two hoots about these two crown princes. Nikiona mtu anashambuliwa unfairly huwa naongea wazi.

Hata huyo Uhuru nimemtetea sana hapa kuhusiana na tuhuma zake za kumiliki karibu nusu nzima ya ardhi ya Kenya. Sasa nina mapenzi ya wazi na Raila kivipi?

Ila kama unaona harakati za Raila ni for the birds then you are dead wrong.

His activism has put up a lot of sweat equity in the changes that Kenya is undergoing.

Bila mchango wa harakati zake sidhani kama Kenya ingekuwa hapa ilipo.

Na kama unadhani harakati zake ni kwa ajili yake yeye mwenyewe basi umenoa.

Umenoa kwa sababu kama jana ilikuwa Raila, kama leo imekuwa Raila, kesho na keshokutwa atakuwa mwingine kwa sababu yeye hataishi milele.

Na hakuna popote pale ambapo nimezungumzia uwepo wa demokrasia na haki kwa kiwango cha asilimia 100.

Ni kitu gani duniani chenye asilimia 100? Hakuna. Lakini hii haina maana mambo yahusuyo umma yasiendeshwe kwa uhuru, haki, na uwazi.

wel said big, its the people of kenya who have decide. and the way it is there no winner or loser! kuna aliyekabidhiwa dhamana ya kuongoza!
 
Back
Top Bottom