hii habari niliiona jana,kenyanlist.com.wameweka hadi picha za kutoa sijui kwenye video za rambo,wakenya wenyewe wakaiponda kuwa ni ya kupika.Hapa sio fb ewe mamluki. Leta source na picha otherwise we ni mzandiki na mmbea
baada ya kisa mkasa muwe na kumbukumbu tu,wao wakiuwa ooooh wabaya....