Kenya declares war on Al Shabaab!

Mkuu Vuvuzela

Sina mashaka kuwa unaelewa CHINA anamkopesha US au US anadaiwa mapesa mengi na CHINA. US ana deni kubwa la China. Lakini US hapendelei kuiona Afrika inafanya ukaribu au urafiki na China.

Hapa sio hili la mkopo wa mradi huu tu. Ukweli utabaki China ametoa misaada na mikopo kwa nchi za Afrika bila ya masharti kama ya IMF na World Bank, wala China huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi husika. Ni wazi kuwa China wana-wanachokitaka kutoka kwetu lakini ni business oriented na sio kui-control nchi husika kama wafanyavyo hawa "wazungu" wetu.

Si umesoma kuwa UK wanasema tusiwabuguzi mashoga au atatunyima misaada. Masharti juu ya masharti.

Ni wazi sisi tumewafata wachina na kuwambia tunataka mkopo, sio kuwa mchina kaja kutulazimisha tuchukue mkopo. Kama "viongozi" wetu wameamua kututia mkenge basi lawama haziendi kwa China. Lawama tuwabebeshe "viongozi" wetu.

Out of the debt of 14 trillion USD, China anaidai US only 1.5 trillion. Sasa iweje wenye kuidai US sehemu kubwa ya deni wasipige kelele sana kuliko China?
Russia alipoivamia Georgia baada ya South Osertia kuvamiwa hatukuona hizo theory zisizo na kichwa wala miguu na watu mlikaa kimya hapa. Nahisi watu mna gundu na US kuwa kila anachokifanya basi mtaanza kuja na theories zenu za ajabu ajabu.
Al shababu ni mzigo na matatizo kwa Africa na dunia. Big up Kenya na Kibaki, mkiweza twanga risasi yeyote atakaekaa mbele yenu huko Somalia awe raia ama hao majangili wa kisomali na Kenya wakiweza waitwae Somalia yootee iwe part of Republic of Kenya on a permanent basis
 
!!!!!!

Kenya haina lolote.Ni kibaraka mwengine tu wa America.
Juzi pale yule mama anayetajwa mtalii aliyetekwa hatimaye tulielezwa jeshi la Kenya limeizingira boti inayodhaniwa kuwemo hayo bibi.
Sikutaka kujishughulisha kufuatilia kwani nilijuwa wala hawatoikamata kwani ni uongo tu.
Ilikuwa ni matayarisho ya kushiriki vita dhidi ya waislamu wa Somalia inayoongozwa na mbabe mkuu aliyepiga drone ras Kamboni.
Kule Tanzania nao wamekamata wasomali maeneo ya mafia.Ni kasi ya fitna ya kimarekani eneo lote la Afrika mashariki na kati.
 
Out of the debt of 14 trillion USD, China anaidai US only 1.5 trillion. Sasa iweje wenye kuidai US sehemu kubwa ya deni wasipige kelele sana kuliko China?
Russia alipoivamia Georgia baada ya South Osertia kuvamiwa hatukuona hizo theory zisizo na kichwa wala miguu na watu mlikaa kimya hapa. Nahisi watu mna gundu na US kuwa kila anachokifanya basi mtaanza kuja na theories zenu za ajabu ajabu.
Al shababu ni mzigo na matatizo kwa Africa na dunia. Big up Kenya na Kibaki, mkiweza twanga risasi yeyote atakaekaa mbele yenu huko Somalia awe raia ama hao majangili wa kisomali na Kenya wakiweza waitwae Somalia yootee iwe part of Republic of Kenya on a permanent basis
Mkuu Vuvuzela
Hii 1.5 trillion ni hela ya chai tu? Unaelewa kuwa bila ya kuongeza debt ceiling US walikuwa hawana nchia ila ku-default?
Wadeni wengine ni nchi zipi?
Hili la Russia wewe ulilipigia kelele? au na wewe ulikaa kimya?

Hizi theory za kiajabu ajabu zinapatikana hapa AfriCom Year Two: Seizing the Helm of the Entire World [Voltaire Network] na The African 'Star Wars' - Opinion - Al Jazeera English halafu changanya na zako.

Gundu wanalo Occupy wall Street protesters.. http://occupywallst.org/ . Sisi wengine tunachukizwa na uharibifu anaoufanya US katika nchi za watu kwa kisingizio cha vita dhidi ya ugaidi, Al qaeda.

Gaidi mkuu ni CIA na hata "Al qaeda" ni mtoto wa CIA-US Gvt. The Myths of Al Qaeda

US military aid troubles Africa - Americas - Al Jazeera English
 
Mkuu Vuvuzela
Hii 1.5 trillion ni hela ya chai tu? Unaelewa kuwa bila ya kuongeza debt ceiling US walikuwa hawana nchia ila ku-default?
Wadeni wengine ni nchi zipi?
Hili la Russia wewe ulilipigia kelele? au na wewe ulikaa kimya?

Hizi theory za kiajabu ajabu zinapatikana hapa AfriCom Year Two: Seizing the Helm of the Entire World [Voltaire Network] na The African 'Star Wars' - Opinion - Al Jazeera English halafu changanya na zako.

Gundu wanalo Occupy wall Street protesters.. Occupy Wall Street | NYC Protest for American Revolution . Sisi wengine tunachukizwa na uharibifu anaoufanya US katika nchi za watu kwa kisingizio cha vita dhidi ya ugaidi, Al qaeda.

Gaidi mkuu ni CIA na hata "Al qaeda" ni mtoto wa CIA-US Gvt. The Myths of Al Qaeda

US military aid troubles Africa - Americas - Al Jazeera English


Wanaoidai USA hela nyingi ni wamarekani wenyewe!!
who-owns-us-national-debt-30-sept-20101.png
 
Wakenya hawawawezi Al Shabaab. Ao nyang'au hawana ubavu. Sana sana wanajitafutia balaa la kujitakia. Najua akina Smatta, Mkenyamzalendo, Moyo, Nomasana etc. watabisha/kasirika kwa hili, lakini habari ndo hiyo. Muda si mrefu Nairobi itasambaratika kama Mogadishu, Insha'Allah!

Unaona ktk waliochangia kwa busara wewe ni mmoja wao siyo? Mh! Huku ndani tuna watu wanafikiri kwa kutumia lili jina la Meya wa Dar! ondoa huu uchafu hapa maana ushabiki wako ni wa kipuuzi. Siyo kila mstaarabu anapenda machafuko yasiyo na sababu
 
Nawaunga mkono na kushauri rais wetu JK aongeze nguvu hawa Al-Shabab ni kundi la wahuni waliofadhiliwa na waarabu kufanya fujo africa mashariki. Naona walinogewa na utekaji nyara wazungu bora watandikwe sawa sawa. Hata hivyo nondo unachokinena kina mantiki ndani inabidi Africa mashariki wawe waangalifu rasilimali ni sumu sana tuna maadui nje na ndani ya nchi.

Naunga mkono hao wapuuzi wafutilliwe mbali! Japo hilo la sisi kuunga mkono nina shaka nalo kulingana na aina ya rais tuliye naye. Sijui lakini huenda akabadilika maana hata huko ccm wameanza kumchoka
 
Tayari US wamefanikiwa katika mkakati wao.
Unakumbuka waliingia Somalia na kuanzisha (humanitarian intervention) ambayo baadae wakajiondoa. Sasa wamerudi kwa drone strikes. wameweka base Djibout na sychelles.

Unakumbuka US waliripua balozi zao hapa Tz na Kenya? na kuleta "washauri" wa kijeshi na wachunguzi wa ugaidi?
Sasa ni Rasmi Obama anapeleka Askari aka washauri wa kumsaka Konye.

Kwa tamko hili la Kenya ni wazi wanafungua mlango wa kukaribisha na kusambaza vita, ugaidi.
Katika siku zijazo TZ itafikiwa na hali hii ya kuingizwa katika mapambano. Al shabab tayari wanalaumiwa kuingia Uganda, Kenya bado TZ.

US wanajua kucheza karata zao vizuri....rasilimali zetu, ndio laana yetu.

Watu wngine wana vifuu vya nazi juu ya mabega yao that pass off as heads.
I dont understand this comment and I really abhor its contents.
Kama Tanzania tulivoingiliwa na Nduli Idi Amin, Kenya wana haki kabisa kujitetea na hata kutumiambinu zozote kulinda heshima ya nchi yao.
Ni upuuzi kufikiria otherwise.
 
Kenya Air fire power is Awesome. Al Shaabab running scared. Jamaa watasafisha hadi Guba la Ajemi.

Mtakuja kusema vizuri hapo yatapowakuta. Waulizeni Wamerekani mpka leo Afghanistan kinawaweka nini?

Haya majeshi ya Kikurusedi ndio yanayotakiwa, kila mkurusedi atajulikana mtatafuta pa kujificha msipajuwe, na mtakuja wenyewe hatuwafati kwenu kabisa.
 
Bila clear and unshakeable intelligence, soldiers' high IQ, morale and will to fight and win the war Kenya wanapoteza muda na other resources. Matanka yote hayo ya nini wakati unaenda kupambana na mtu anayetumia AK-47!!!!!!
 
nairobi,saturday october 15,2011
with over 45 fighter jets and 60 combat long range helicopters shifting base from nanyuki and moi airbases to elwak and liboi garrisons along the border,kenya has formally declared war against al shabaab.
Millitary sources indicate that over 12,000 army men most of them snipers have already arrived along the border with more trucksloads and transport helicopters moving others from as far as lanet and gilgil barracks nakuru to the border
over 75 tanks were also sighted in isiolo yesterday evening under heavy escort en route to liboi while heavy war ships from mtongwe navy barracks have pitched tent at kiunga and manda.
kenya declares war on al shabaab*- news*|nation.co.ke





fighting the invisible army kazi ipo, masikini kenya
 
I think it is a required step to be taken but it should be taken with great care!
The Somali and muslim community in Kenya and neighboring countries should not view this as a fight against Somalis or Islam but a fight against few individuals who are violating the human freedom and dignity! I hate the extremists groups who kill innocent people or abduct people in the expresseion that they are defending their religion. I hate and I will hate and if I would also have taken tough stance if I am on the decision making desk.
 
Wanaoidai USA hela nyingi ni wamarekani wenyewe!!
who-owns-us-national-debt-30-sept-20101.png



[h=1]Who owns America? Hint: It's not China[/h] Editor's Note: The following piece comes from Global Post, which provides excellent coverage of world news - important, moving and odd.
By Tom Mucha, Global Post
Truth is elusive. But it's a good thing we have math.
Our friends at Business Insider know this, and put those two principles to work today in this excellent and highly informative little slideshow, made even more timely by the ongoing talks in Washington, D.C. aimed at staving off a U.S. debt default.
Here's the big idea:
Many people - politicians and pundits alike - prattle on that China and, to a lesser extent Japan, own most of America's $14.3 trillion in government debt.
But there's one little problem with that conventional wisdom: it's just not true. While the Chinese, Japanese and plenty of other foreigners own substantial amounts, it's really Americans who hold most of America's debt.
Here's a quick and fascinating breakdown by total amount held and percentage of total U.S. debt, according to Business Insider:


  • Hong Kong: $121.9 billion (0.9 percent)
  • Caribbean banking centers: $148.3 (1 percent)
  • Taiwan: $153.4 billion (1.1 percent)
  • Brazil: $211.4 billion (1.5 percent)
  • Oil exporting countries: $229.8 billion (1.6 percent)
  • Mutual funds: $300.5 billion (2 percent)
  • Commercial banks: $301.8 billion (2.1 percent)
  • State, local and federal retirement funds: $320.9 billion (2.2 percent)
  • Money market mutual funds: $337.7 billion (2.4 percent)
  • United Kingdom: $346.5 billion (2.4 percent)
  • Private pension funds: $504.7 billion (3.5 percent)
  • State and local governments: $506.1 billion (3.5 percent)
  • Japan: $912.4 billion (6.4 percent)
  • U.S. households: $959.4 billion (6.6 percent)
  • China: $1.16 trillion (8 percent)
  • The U.S. Treasury: $1.63 trillion (11.3 percent)
  • Social Security trust fund: $2.67 trillion (19 percent)
So America owes foreigners about $4.5 trillion in debt. But America owes America $9.8 trillion.
For a smart take on how President Obama and House Republicans should end gridlock over debt and deficits, see our new GlobalPost series The Negotiator, which features Wharton's negotiation guru Stuart Diamond.
And to bone up on China's debt - another potentially big global economic headache - check out this interview with brainy-yet-coherent Northwestern University economist Victor Shih, who spoke with GlobalPost's David Case.
 
Wanaoidai USA hela nyingi ni wamarekani wenyewe!!
who-owns-us-national-debt-30-sept-20101.png



Who owns America? Hint: It's not China

Editor's Note: The following piece comes from Global Post, which provides excellent coverage of world news - important, moving and odd.
By Tom Mucha, Global Post
Truth is elusive. But it's a good thing we have math.
Our friends at Business Insider know this, and put those two principles to work today in this excellent and highly informative little slideshow, made even more timely by the ongoing talks in Washington, D.C. aimed at staving off a U.S. debt default.
Here's the big idea:
Many people — politicians and pundits alike — prattle on that China and, to a lesser extent Japan, own most of America's $14.3 trillion in government debt.
But there's one little problem with that conventional wisdom: it's just not true. While the Chinese, Japanese and plenty of other foreigners own substantial amounts, it's really Americans who hold most of America's debt.
Here's a quick and fascinating breakdown by total amount held and percentage of total U.S. debt, according to Business Insider:


  • Hong Kong: $121.9 billion (0.9 percent)
  • Caribbean banking centers: $148.3 (1 percent)
  • Taiwan: $153.4 billion (1.1 percent)
  • Brazil: $211.4 billion (1.5 percent)
  • Oil exporting countries: $229.8 billion (1.6 percent)
  • Mutual funds: $300.5 billion (2 percent)
  • Commercial banks: $301.8 billion (2.1 percent)
  • State, local and federal retirement funds: $320.9 billion (2.2 percent)
  • Money market mutual funds: $337.7 billion (2.4 percent)
  • United Kingdom: $346.5 billion (2.4 percent)
  • Private pension funds: $504.7 billion (3.5 percent)
  • State and local governments: $506.1 billion (3.5 percent)
  • Japan: $912.4 billion (6.4 percent)
  • U.S. households: $959.4 billion (6.6 percent)
  • China: $1.16 trillion (8 percent)
  • The U.S. Treasury: $1.63 trillion (11.3 percent)
  • Social Security trust fund: $2.67 trillion (19 percent)
So America owes foreigners about $4.5 trillion in debt. But America owes America $9.8 trillion.
For a smart take on how President Obama and House Republicans should end gridlock over debt and deficits, see our new GlobalPost series The Negotiator, which features Wharton's negotiation guru Stuart Diamond.
And to bone up on China's debt — another potentially big global economic headache — check out this interview with brainy-yet-coherent Northwestern University economist Victor Shih, who spoke with GlobalPost's David Case.
 
Unaona ktk waliochangia kwa busara wewe ni mmoja wao siyo? Mh! Huku ndani tuna watu wanafikiri kwa kutumia lili jina la Meya wa Dar! ondoa huu uchafu hapa maana ushabiki wako ni wa kipuuzi. Siyo kila mstaarabu anapenda machafuko yasiyo na sababu
Na wewe kibwengu/kilaza unaona hiyo lugha unayotumia ni ya busara sio?
 
Back
Top Bottom