ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Hakuna kitu hapo, Kenya wanachotafuta ni umaarufu na kujaribu kuonyesha wanajeshi makini. Wa America wanatoa fedha nyingi sana kuzishawishi baadhio ya nchi za Afrika ya Mashariki ikiwemo Kenya, Ruwanda na Uganda kuisaidia katika kupambana na Ugaidi baridi ambao unafanyika ndani ya nchi hizi na hasa baada ya matukio ya kulipuliwa kwa Balozi zao Tanzania na Kenya mwaka 1998.
Marekani wapo makini katika kutuchonganisha waafrika tutwangane wenyewe kwa wenyewe. Hii hainiingii akilini kwa nchi hiuru kama Kenya kutangaza vita na wanamgambo wa al Shabaab ambao kismsingi ni kundi la kigaidi ambalo halipingani ncghini Kenya. Hapo Kenya wanafikiria kuivamia Somalia ambapo hao wanamgambo wapo??? Au hiyo vita itapiganiwa wapi?? Tulidhani wanahimarisha usalama wa mipaka yao na sio kutangaza vita na magaidi ambao wanaingia na kutoka nchini mwao!! (hiyo vita itapiganiwa wapi??)
Marekani wapo makini katika kutuchonganisha waafrika tutwangane wenyewe kwa wenyewe. Hii hainiingii akilini kwa nchi hiuru kama Kenya kutangaza vita na wanamgambo wa al Shabaab ambao kismsingi ni kundi la kigaidi ambalo halipingani ncghini Kenya. Hapo Kenya wanafikiria kuivamia Somalia ambapo hao wanamgambo wapo??? Au hiyo vita itapiganiwa wapi?? Tulidhani wanahimarisha usalama wa mipaka yao na sio kutangaza vita na magaidi ambao wanaingia na kutoka nchini mwao!! (hiyo vita itapiganiwa wapi??)