Komeo
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 2,498
- 1,171
Jana shirika la ndege la Kenya limetangaza kupata faida ya katikati ya mwaka ya Kshs 2.8 billion (sijui ni sawa na Tshs ngapi) ikiwa ni Gross Profit.
Source: Citizen TV ya Kenya.
Naweza kusema Net Profit ni Kshs 1 billion, kwa kifupi biashara ni nzuri.
Kinachonisikitisha ni hali ya kiuchumi ya ATCL. Wiki iliyopita walirusha kidege kimoja kwenda Tabora na Kigoma. Tunaambiwa walipofika Tabora abiria walikuwa wengi sana kiasi kwamba ilibidi wahudumu wa4 wa ndege hiyo waachwe Tabora ili kupisha abiria. Jamani hivi ndege ndogo kama ile inapokuwa na rundo la wahudumu/watumishi watapata faida kweli? Bado naona running cost zao zitawaelemea sasaivi then wata colapse tu, na bado naona kama shirika letu laendeshwa kiholela zaidi kuliko kibiashara. Kindege chenyewe kimoja tu, tena used!
Source: Citizen TV ya Kenya.
Naweza kusema Net Profit ni Kshs 1 billion, kwa kifupi biashara ni nzuri.
Kinachonisikitisha ni hali ya kiuchumi ya ATCL. Wiki iliyopita walirusha kidege kimoja kwenda Tabora na Kigoma. Tunaambiwa walipofika Tabora abiria walikuwa wengi sana kiasi kwamba ilibidi wahudumu wa4 wa ndege hiyo waachwe Tabora ili kupisha abiria. Jamani hivi ndege ndogo kama ile inapokuwa na rundo la wahudumu/watumishi watapata faida kweli? Bado naona running cost zao zitawaelemea sasaivi then wata colapse tu, na bado naona kama shirika letu laendeshwa kiholela zaidi kuliko kibiashara. Kindege chenyewe kimoja tu, tena used!