Kenya Airways yaandikisha faida kubwa, ATCL sijui hawaoni?

Komeo

JF-Expert Member
May 3, 2011
2,498
1,171
Jana shirika la ndege la Kenya limetangaza kupata faida ya katikati ya mwaka ya Kshs 2.8 billion (sijui ni sawa na Tshs ngapi) ikiwa ni Gross Profit.

Source: Citizen TV ya Kenya.

Naweza kusema Net Profit ni Kshs 1 billion, kwa kifupi biashara ni nzuri.

Kinachonisikitisha ni hali ya kiuchumi ya ATCL. Wiki iliyopita walirusha kidege kimoja kwenda Tabora na Kigoma. Tunaambiwa walipofika Tabora abiria walikuwa wengi sana kiasi kwamba ilibidi wahudumu wa4 wa ndege hiyo waachwe Tabora ili kupisha abiria. Jamani hivi ndege ndogo kama ile inapokuwa na rundo la wahudumu/watumishi watapata faida kweli? Bado naona running cost zao zitawaelemea sasaivi then wata colapse tu, na bado naona kama shirika letu laendeshwa kiholela zaidi kuliko kibiashara. Kindege chenyewe kimoja tu, tena used!
 
Ushauri wa bure kwa ATCL:
  1. Acheni kupokea vimemo toka serikalini kusafirisha wakubwa serikalini kwamba mtalipwa baadae kwa cheque (Payment first)
  2. Idadi ya wahudumu ndani ya ndege iendane na mashirika mengine ya ndege.
  3. ATCL ilipishe mizigo yote inayozidi kiwango kilichopangwa. Nani asiyejua kwamba ndege ikienda Mwanza inrudi na shehena za samaki kibao za wahudumu na jamaa zao bila kulipiwa. Ndege ikienda nje ya nchi wahudumu wanajaza mizigo kibao isiyolipiwa gharama.
  4. Serikali isiingilie menejimenti ya ATCL. Fanyeni kazi kibiashara siyo kisiasa
  5. Wadau ongezeni .....
  6. .......
  7. .....
 
juzi nimeona ka ndege kao kamoja ndo kameanza kwenda sijui mpwapwa huko....kwanza hakajatengemaa kale .....atcl kujiendesha kwa faida ni baada ya miaka 7
 
Jana shirika la ndege la Kenya limetangaza kupata faida ya katikati ya mwaka ya Kshs 2.8 billion (sijui ni sawa na Tshs ngapi) ikiwa ni Gross Profit.

Source: Citizen TV ya Kenya.

Naweza kusema Net Profit ni Kshs 1 billion, kwa kifupi biashara ni nzuri.

Kinachonisikitisha ni hali ya kiuchumi ya ATCL. Wiki iliyopita walirusha kidege kimoja kwenda Tabora na Kigoma. Tunaambiwa walipofika Tabora abiria walikuwa wengi sana kiasi kwamba ilibidi wahudumu wa4 wa ndege hiyo waachwe Tabora ili kupisha abiria. Jamani hivi ndege ndogo kama ile inapokuwa na rundo la wahudumu/watumishi watapata faida kweli? Bado naona running cost zao zitawaelemea sasaivi then wata colapse tu, na bado naona kama shirika letu laendeshwa kiholela zaidi kuliko kibiashara. Kindege chenyewe kimoja tu, tena used!
Unaweza kusema net profit ni ..... From no where?
Any way mkapa alituuzia shirika letu, Limerudi kipindi cha JK likiwa taabani nalo limemshinda. Aibu yao.
 
Ushauri wa bure kwa ATCL:
  1. Acheni kupokea vimemo toka serikalini kusafirisha wakubwa serikalini kwamba mtalipwa baadae kwa cheque (Payment first)
  2. Idadi ya wahudumu ndani ya ndege iendane na mashirika mengine ya ndege.
  3. ATCL ilipishe mizigo yote inayozidi kiwango kilichopangwa. Nani asiyejua kwamba ndege ikienda Mwanza inrudi na shehena za samaki kibao za wahudumu na jamaa zao bila kulipiwa. Ndege ikienda nje ya nchi wahudumu wanajaza mizigo kibao isiyolipiwa gharama.
  4. Serikali isiingilie menejimenti ya ATCL. Fanyeni kazi kibiashara siyo kisiasa
  5. Wadau ongezeni .....
  6. .......
  7. .....

Sikujua kuwa pamoja na utitiri wa wahudumu bado kuna mizigo wanabebesha ndege bure! Kwa mtaji huo hilo shirika lazima lijifie tu. Mlioko karibu na uongozi wa shirika wapeni ushauri wa kibiashara hao watu.
 
kwanini wanalazimisha biashara iliyowashinda? Fungeni tu hiyo kampuni, ni mzigo tu kwa Watanzania.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom