Kelvin Moto wa ATN awazulia jambo Dr. Slaa na Mbowe.

samirnasri

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
1,388
213
Mtangazaji wa ATN kelvini moto amewazulia jambo katibu mkuu wa chadema dr. Slaa na mwenyekiti wake freeman mbowe kwa kudai kwamba wameenda libya kuhudhuria mkutano wa vyama vya demokrasia. Moto ameyasema hayo wakati akisoma uchambuzi wa magazeti katika television ya ATN leo asubuhi. Licha ya gazeti la nipashe kuandika kwa maandishi makubwa kwamba slaa, mbowe waenda liberia mtangazaji huyo wa ATN kwa kukosa umakini alisema wameenda libya na hata alipoisoma kwa kina alirudia kusema wameenda libya kuhudhuria mkutano wa vyama vya demokrasia. Mbali na kosa hilo kelvin motto aliendelea kukosea kutamka majina mbalimbali kama dr. Kingwalala badala ya dr kigwangala na mkanyanga badala ya mkajanga. Namshauri kelvin motto yeye kama mwandishi wa habari awe makini katika kazi zake vinginevyo atapotosha umma.
 
wale huwa wababaishaji...huyu dogo bonge la sharobaro flani hivi hana lolote........
 
Anatakiwa kurudi shule kujifunza kusoma na kuandika, huo ndo ushauri wa bure kwa huyo ndg na mhariri wa hicho chombo anatakiwa kuliweka hilo ktk staff development plan ya huyo mtangazaji wake. La sivyo watu wataanza kupuuza yanayotamkwa ndani ya hicho kituo.
 
Huyo sio mtangazaji ni muumini wa lile kanisa la mhindi, af nafikiri kutamka Libya labda kwa sababu Libya kwa sasa imekaa midomoni mwa watu na ukiangalia zinaelekeana na Liberia. Jamaa sio fani yake
 
Mtangazaji wa ATN kelvini moto amewazulia jambo katibu mkuu wa chadema dr. Slaa na mwenyekiti wake freeman mbowe kwa kudai kwamba wameenda libya kuhudhuria mkutano wa vyama vya demokrasia. Moto ameyasema hayo wakati akisoma uchambuzi wa magazeti katika television ya ATN leo asubuhi. Licha ya gazeti la nipashe kuandika kwa maandishi makubwa kwamba slaa, mbowe waenda liberia mtangazaji huyo wa ATN kwa kukosa umakini alisema wameenda libya na hata alipoisoma kwa kina alirudia kusema wameenda libya kuhudhuria mkutano wa vyama vya demokrasia. Mbali na kosa hilo kelvin motto aliendelea kukosea kutamka majina mbalimbali kama dr. Kingwalala badala ya dr kigwangala na mkanyanga badala ya mkajanga. Namshauri kelvin motto yeye kama mwandishi wa habari awe makini katika kazi zake vinginevyo atapotosha umma.

Anamani kuwa mtangazaji wa TBC huyo
 
unajua watu waliochakachua certificates zao wanajiumbua hadharani!!!angekuwa mtangazaji asingefanya mambo kama hayo....libya na liberia wapi na wapi???? au katumwa na sisiem kusoma vile nini???
 
Mtangazaji wa ATN kelvini moto amewazulia jambo katibu mkuu wa chadema dr. Slaa na mwenyekiti wake freeman mbowe kwa kudai kwamba wameenda libya kuhudhuria mkutano wa vyama vya demokrasia. Moto ameyasema hayo wakati akisoma uchambuzi wa magazeti katika television ya ATN leo asubuhi. Licha ya gazeti la nipashe kuandika kwa maandishi makubwa kwamba slaa, mbowe waenda liberia mtangazaji huyo wa ATN kwa kukosa umakini alisema wameenda libya na hata alipoisoma kwa kina alirudia kusema wameenda libya kuhudhuria mkutano wa vyama vya demokrasia. Mbali na kosa hilo kelvin motto aliendelea kukosea kutamka majina mbalimbali kama dr. Kingwalala badala ya dr kigwangala na mkanyanga badala ya mkajanga. Namshauri kelvin motto yeye kama mwandishi wa habari awe makini katika kazi zake vinginevyo atapotosha umma.

mi nilihisi kazusha ishu fulani kama heading yako inavyosema kumbe ni error katika matamshi!! jamani eleweni ulimi hauna mfupa so isiwe ishu ya kukuzwa sana,anyway huyo mtangazaji nae hana budi kujirekebisha na kuwa makini na kazi yake ili kuepuka kupotosha jamii na kusababisha mkanganyiko kama huu.
 
huyo kelvin namjua kimeo sana, ukitaka ucheke umsikie anataja majina wa wachezaji wa ulaya, DIRK KUYT inatamkwa 'dic kayt' ye utamsikia 'dic kuut' yaani vichekesho tu
 
huyo kelvin namjua kimeo sana, ukitaka ucheke umsikie anataja majina wa wachezaji wa ulaya, DIRK KUYT inatamkwa 'dic kayt' ye utamsikia 'dic kuut' yaani vichekesho tu

haaaahaaaaaaaaa mkuu umenivunja mbavu
 
See guys what I have been saying, angalia mtiririko wa habari hii, mtu anashindwa kuelewa kuwa taarifa zilizokichwani mwa wengi ni Libya, kufanya kosa la kutamka kisichoandikwa ni kawaida.

Lingine ni je huyu mtangazaji gesture yake ilikuwaje? alifanya kwa makusudi kitu ambacho kitasomwa na wengine pia? YAANI ALIAMUA TU KWA MAKUSUDI KUSEMA LIBYA BADALA YA LIBERIA?? please please!!

Je ni kila siku anaisema Chadema vibaya kama Kibonde??

Huwa nasema, nimesema jana nimerudia tena na tena , na nitasema na TUTASEMA tu..kuwa CDM wengi akili zenu ni finyu na nyie mliotoa maada hapo juu kama post zenu hazina THINKING then mnakiharibu chama, nia afadhali muende vyama vingine kama CCM, CDM tuliyoifahamu haina mbumbumbu kama nyie kwa kujadili vitu bila kutumia akili

mbaya zaidi mnaliharibu jukwaa letu LA JF! haiwezekani upeo wenu mkansihwa kuwaza nje ya BOX

Mtaniona mbaya sana mwaka huu, na huyu ndiye real Waberoya..tumechoka kuingia JF na kukuta hamna point taken, ambayo mtu atashusha pumzi na kuona unagain kitu!!!!!

Ebu badilikeni for CDM sake please!!!

Mkishindwa nendeni kwenyewebsite yenu ya chama, HERE WE NEED INTELLECTUAL INPUTS
 
Huyu dogo ni kimeo, anauza sura tu pale ni aibu kwake na kwa bosi wake. Upeo wake finyu wa kujifunza na kuelewa mambo unaonekana bayana. Hiyo ndo aina ya watangazaji tulonao leo. Aibu sana kwa fani na taifa letu.
 
Oneni wenyewe! kwa nini watu wasikimbie??

wote walikuwa kwetu; wengi wakajawa na njaa na tamaa za kugeuza yao kuwa miradi ya biashara. kwetu kukabaki imara na wala hatutayumba na kila leo wanazaliwa wapya na wanatahiriwa kwetu na hata wangu niliyemzaa ametahiriwa kwetu.

waende tu. wakimbie. we dont care.

united we stand!!!
 
huyo kelvin namjua kimeo sana, ukitaka ucheke umsikie anataja majina wa wachezaji wa ulaya, DIRK KUYT inatamkwa 'dic kayt' ye utamsikia 'dic kuut' yaani vichekesho tu

Sasa kinachokuchekesha nini hapo? unadhani itakuwa rahisi kwa Mdachi kulitamka kwa usahihi jina la Mfalamagoha? sasa kwanini iwe ajabu kwa Mhehe kulitamka isivyo jina la Kidachi? mmetawaliwa mpaka fikra!!
 
See guys what I have been saying, angalia mtiririko wa habari hii, mtu anashindwa kuelewa kuwa taarifa zilizokichwani mwa wengi ni Libya, kufanya kosa la kutamka kisichoandikwa ni kawaida.

Lingine ni je huyu mtangazaji gesture yake ilikuwaje? alifanya kwa makusudi kitu ambacho kitasomwa na wengine pia? YAANI ALIAMUA TU KWA MAKUSUDI KUSEMA LIBYA BADALA YA LIBERIA?? please please!!

Je ni kila siku anaisema Chadema vibaya kama Kibonde??

Huwa nasema, nimesema jana nimerudia tena na tena , na nitasema na TUTASEMA tu..kuwa CDM wengi akili zenu ni finyu na nyie mliotoa maada hapo juu kama post zenu hazina THINKING then mnakiharibu chama, nia afadhali muende vyama vingine kama CCM, CDM tuliyoifahamu haina mbumbumbu kama nyie kwa kujadili vitu bila kutumia akili

mbaya zaidi mnaliharibu jukwaa letu LA JF! haiwezekani upeo wenu mkansihwa kuwaza nje ya BOX

Mtaniona mbaya sana mwaka huu, na huyu ndiye real Waberoya..tumechoka kuingia JF na kukuta hamna point taken, ambayo mtu atashusha pumzi na kuona unagain kitu!!!!!

Ebu badilikeni for CDM sake please!!!

Mkishindwa nendeni kwenyewebsite yenu ya chama, HERE WE NEED INTELLECTUAL INPUTS
twende ccm! dhubutu!
 
mi nilihisi kazusha ishu fulani kama heading yako inavyosema kumbe ni error katika matamshi!! jamani eleweni ulimi hauna mfupa so isiwe ishu ya kukuzwa sana,anyway huyo mtangazaji nae hana budi kujirekebisha na kuwa makini na kazi yake ili kuepuka kupotosha jamii na kusababisha mkanganyiko kama huu.

acha kutupotosha, kwenye issue serious hakuna cha ulimi hauna mfupa, imagine amedanganya watu wangapi, muda wa kufanya makosa ni wakati alipokuwa shule (kama alienda), ulimi hauna mfupa kwa kurudia makosa mara zote hizo acha kuwa cheap kiasi hicho, namshauri atafute kazi nyingine hiyo awaachie ambao ndimi zao zina mifupa ya kutosha.
 
See guys what I have been saying, angalia mtiririko wa habari hii, mtu anashindwa kuelewa kuwa taarifa zilizokichwani mwa wengi ni Libya, kufanya kosa la kutamka kisichoandikwa ni kawaida.

Lingine ni je huyu mtangazaji gesture yake ilikuwaje? alifanya kwa makusudi kitu ambacho kitasomwa na wengine pia? YAANI ALIAMUA TU KWA MAKUSUDI KUSEMA LIBYA BADALA YA LIBERIA?? please please!!

Je ni kila siku anaisema Chadema vibaya kama Kibonde??

Huwa nasema, nimesema jana nimerudia tena na tena , na nitasema na TUTASEMA tu..kuwa CDM wengi akili zenu ni finyu na nyie mliotoa maada hapo juu kama post zenu hazina THINKING then mnakiharibu chama, nia afadhali muende vyama vingine kama CCM, CDM tuliyoifahamu haina mbumbumbu kama nyie kwa kujadili vitu bila kutumia akili

mbaya zaidi mnaliharibu jukwaa letu LA JF! haiwezekani upeo wenu mkansihwa kuwaza nje ya BOX

Mtaniona mbaya sana mwaka huu, na huyu ndiye real Waberoya..tumechoka kuingia JF na kukuta hamna point taken, ambayo mtu atashusha pumzi na kuona unagain kitu!!!!!

Ebu badilikeni for CDM sake please!!!

Mkishindwa nendeni kwenyewebsite yenu ya chama, HERE WE NEED INTELLECTUAL INPUTS

Sophia simba! Laiti ungekuwa unamsikiliza usingesema ni bahati mbaya kwani ni kila siku hata neno robo fainal yeye atasoma lobo fainal . Ni lazima tuseme ili ajirekebishe .na hilo la CDM Limetoka wapi tena mbona unaogopa kivuli chako mwenyewe unakuwa tena ka wakina wassira,chiligati na jk kila kitu chadema
 
Sasa kinachokuchekesha nini hapo? unadhani itakuwa rahisi kwa Mdachi kulitamka kwa usahihi jina la Mfalamagoha? sasa kwanini iwe ajabu kwa Mhehe kulitamka isivyo jina la Kidachi? mmetawaliwa mpaka fikra!!

acha ubw ege wewe, hakuna cha kutawaliwa fikra hapa, mtangazaji lazima uwe na uwezo wa kutamka maneno vizuri, wapo watangazi wanafanya vizuri, hiyo ni kazi yake kujua majina na maneno yanavyotamkwa kwa usahihi. . .hakuna excuse kwa hili!
 
Back
Top Bottom