Kaitaba JF-Expert Member Jun 30, 2009 916 52 Aug 31, 2009 #1 Nimefuatilia kwa mwaka mzima sasa, kila jumapili TANESCO wanakata umeme siku nzima, Je hii ni kelo au sio?
Nimefuatilia kwa mwaka mzima sasa, kila jumapili TANESCO wanakata umeme siku nzima, Je hii ni kelo au sio?
Kaitaba JF-Expert Member Jun 30, 2009 916 52 Sep 1, 2009 Thread starter #2 Hii ni kero tena kubwa, maana siku ya j,pili ni siku ambayo walio wengi tunakuwa majumbani