Pepombili
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 439
- 58
Toka kumenzishwa huu ukumbi pale mbagala zakhiem kumekuwa na kelele nyingi sana za muziki ambazo hutusumbua sana sisi wakaazi wa mbagala usiku wakati wa kulala kwa kweli naomba serikali ya mtaa ijitahidi kudhibiti hizi kelele au la sivyo ule ukumbi uondkoshwe au waweke sound proof kuzuia kelele.