Keenja aliharibu wapi?

WAKUU,
Huyu jamaa alifanya kazi nzuri sana kuweka jiji safi na pia kuongeza mapato ya jiji. Jambo moja{ miongoni mwa mengi ] la kukumbukwa aliloacha ni pamoja na ujenzi wa High School ya Benjamin Mkapa. Swali ni je, kwa nini Muungwana kamuacha?

Mkuu ni kweli kwamba Keenja alipokuwa Mwenyekiti wa Tume ya Jiji na siyo Mkurugenzi, alijitahidi kufanya hayo uliyosema, lakini ni vizuri ikaeleweka kuwa licha ya opportunity alizokuwa nazo lakini alishindwa kufanya makubwa zaidi kitu ambacho naamini kabisa kuwa ndo weakness point iliyomfanya muungwana amteme.

Kwa mfano Huyu jamaa alipokuwa Jiji alishindwa Kuheshimu utawala wa Sheria ambapo alikuwa akijichukulia sheria mkononii.e kufukuza wafanyakazi bila kufuata utaratibu.

Pia alikuwa hafuati taratibu za manunuzi. Mathalani hata hayo majengo ya BM High School pamoja na majengo yote yaliyojengwa wakati wake, aliyajenga kwa kutumia Mafundi wa Mtaani bila ya kutangaza Zabuni maarufu kama Force Account. Matokeo yake ni kwamba majengo hayo hayawezi kuongezwa hata floor moja zaidi kwa sababu ya kutokuwa na kiwango kinachotakiwa.

Lakini huyu jamaa licha ya kutokuwa na Madiwani ambao mara nyingi huwa ni kikwazo katika maamuzi mengi, alishindwa kusimamia vizuri mapato ya jiji. Unaambiwa kipindi cha huyu jamaa, kiwango cha wizi kiliongezeka maradufu kwa vijana wake wa Accounts. Hii ni kwa sababu ya tabia yake ya kuchota hela bila ya kufuata kanuni, ambapo vijana hao nao walikuwa wakiongeza tarakimu kwenye transanction za jamaa.

Kama hiyo haitoshi, ukifuatilia kwa makini, katika kipindi cha Keenja, licha ya mapato makubwa yaliyotokana na Service Levy, maendeleo yanayodaiwa mengi yalikuwa ni katika manunuzi ambapo alitumia mwanya huo kujinufaisha kwa kufanya "RoyalBlue"]UMAHALU[/COLOR]. Mathalani ununuzi wa Ubungo Bus Terminal, Majengo ya Kilitex, na mengine mengi.

Na hata alipoteuliwa kwenye Baraza la Mkapa, ni kati ya Mawaziri waliochangia kumharibia BM kwani alishindwa kuperform hasa katika Wizara ya Kilimo. Japokuwa anajitetea kuwa alishindwa kwa sababu hakutegemea kupewa Wizara hiyo bali TAMISEMI, lakini ukweli unabaki palepale kuwa huyu jamaa yuko after Money zaidi kuliko maslahi ya Taifa na ndiyo sababu wananchi wa jimbo lake hivi sasa hawataki hata kumsikia.

Mkuu labda useme mwingine na siyo Keenja.
 
Mkuu ni kweli kwamba Keenja alipokuwa Mwenyekiti wa Tume ya Jiji na siyo Mkurugenzi, alijitahidi kufanya hayo uliyosema, lakini ni vizuri ikaeleweka kuwa licha ya opportunity alizokuwa nazo lakini alishindwa kufanya makubwa zaidi kitu ambacho naamini kabisa kuwa ndo weakness point iliyomfanya muungwana amteme.

Kwa mfano Huyu jamaa alipokuwa Jiji alishindwa Kuheshimu utawala wa Sheria ambapo alikuwa akijichukulia sheria mkononii.e kufukuza wafanyakazi bila kufuata utaratibu.

Pia alikuwa hafuati taratibu za manunuzi. Mathalani hata hayo majengo ya BM High School pamoja na majengo yote yaliyojengwa wakati wake, aliyajenga kwa kutumia Mafundi wa Mtaani bila ya kutangaza Zabuni maarufu kama Force Account. Matokeo yake ni kwamba majengo hayo hayawezi kuongezwa hata floor moja zaidi kwa sababu ya kutokuwa na kiwango kinachotakiwa.

Lakini huyu jamaa licha ya kutokuwa na Madiwani ambao mara nyingi huwa ni kikwazo katika maamuzi mengi, alishindwa kusimamia vizuri mapato ya jiji. Unaambiwa kipindi cha huyu jamaa, kiwango cha wizi kiliongezeka maradufu kwa vijana wake wa Accounts. Hii ni kwa sababu ya tabia yake ya kuchota hela bila ya kufuata kanuni, ambapo vijana hao nao walikuwa wakiongeza tarakimu kwenye transanction za jamaa.

Kama hiyo haitoshi, ukifuatilia kwa makini, katika kipindi cha Keenja, licha ya mapato makubwa yaliyotokana na Service Levy, maendeleo yanayodaiwa mengi yalikuwa ni katika manunuzi ambapo alitumia mwanya huo kujinufaisha kwa kufanya "RoyalBlue"]UMAHALU[/COLOR]. Mathalani ununuzi wa Ubungo Bus Terminal, Majengo ya Kilitex, na mengine mengi.

Na hata alipoteuliwa kwenye Baraza la Mkapa, ni kati ya Mawaziri waliochangia kumharibia BM kwani alishindwa kuperform hasa katika Wizara ya Kilimo. Japokuwa anajitetea kuwa alishindwa kwa sababu hakutegemea kupewa Wizara hiyo bali TAMISEMI, lakini ukweli unabaki palepale kuwa huyu jamaa yuko after Money zaidi kuliko maslahi ya Taifa na ndiyo sababu wananchi wa jimbo lake hivi sasa hawataki hata kumsikia.

Mkuu labda useme mwingine na siyo Keenja.

Hakuna ukweli kwa lolote ulilosema hapo juu.

Angekuwa anapenda pesa kiasi hicho, angekuwa tajiri mkubwa. Nakuhakikishia tu kuwa hana utajiri unaodhani anao.
 
Keenja sio Mume mwenza wa Sumaye. Inaonyesha jinsi usivyokuwa na ukweli wowote kuhusu mtu unaemzungumzia.

- Mkuu naona mengine yote umejibiwa tayari, naomba nikusaidie hili tu, kumbe ulikuwa hujui kuwa hawa jamaa wameoa nyumba moja? Unafikiri ni kwa nini Sumaye alimpa ile kazi City kwa kutumia nguvu? Halafu unafikiri ni kwa nini Sumaye alitumia ubabe sana kumpitisha ubunge kule ubungo over Mama Kilango? Nani aliyempa uwaziri under Mkapa kama sio Sumaye? Sasa unasema yote haya alikuwa akimfanyia bure tu bila ya uhusiano wowote wa karibu?

- Mkuu Keeenja na Sumaye wameoa nyumba moja, ndio hasa sababu ya Keeenja kupanda juu haraka sana na kushuka haraka sana pia kama Sumaye, kama ulikuwa hujui unaweza kuulizia wanaojua vizuri ukasaidiwa huko Moshi wanakotoka wake zao, na the good thing ni Mkama ni mshikaji wangu wa karibu sana ndio maana nikaweza kupata kujua vizuri kwa undani ya Keeenja kule City, na ubadhirifu wake, yeye na Magufuli wana style moja nayo ni kuonyesha kazi saafi lakini kudanganya gharama zake,

According to wanaowajua vizuri, wakisema kazi imetumia shillingi Billioni 2, ujue ilikuwa kazi ya Billioni moja, nyingine wameongeza hewa na kutia ndani, Keenja alitakwua kuwa wa kwanza kule Kisutu mkuu, wala sio siri! Mkuu zamani hata mimi nilikuwa ninaamini kuwa Keenja ni malaika mpaka ndugu yangu Mkama alipoingia kule ndio nikajua ukweli wa yaliyojiri kuw a ni aibu!
 
Hakuna ukweli kwa lolote ulilosema hapo juu.

Angekuwa anapenda pesa kiasi hicho, angekuwa tajiri mkubwa. Nakuhakikishia tu kuwa hana utajiri unaodhani anao.

- Mkulu wangu haya unayosema huna ukweli nayo, ninamfahamu Keenja wka karibu, hivi unajua ubunge tu alitumia hela ngapi mkuu? Unasema eti Keenja hana kitu are you serious? Hana utajiri? Hapana mkuu jamaa ni tajiri sana tena wa kupindukia na utajiri huu wa haraka haraka ameupata kutoka kipindi kifupi sana alichokaa City, maana aliwahi kuwa katibu mkuu wa wizara na mkurugenzi wa maendeleo wa mkoa Ruvuma, huko hakuwa na kitu kweli, lakini mambo yalibadilika tu pale alipoingia City.
 
[SIZE="4

the good thing ni [B][B]Mkama[/B] ni mshikaji wangu wa karibu sana [/B]ndio maana nikaweza kupata kujua vizuri kwa undani ya Keeenja kule City, na ubadhirifu wake,

FMES,
[SIZE="3"]Inawezekana Mkama anamsema hivyo Keenja ili kutaka aonkane yeye ni bora zaidi yake.Mkama amekuwa mkurugenzi wa jiji lkwa muda mrefu tu lakini hana lolote la kujisifia au la kukumbukwa alilofanya ndani ya jiji.

Kwakuwa Keenja wameoa familia moja na Sumaye, na kwakuwa Keenja ndio alikuwa campaign manager wake, na kwakuwa Keenja alifanya ubadhirifu mkubwa sana pale city, na kwakuwa Sumaye hayuko madarakani tena(kwakuwa ndiye alikuwa akimbeba), Sasa linakuja swali kwako kwamba, Mkama na serikali kwa ujumla imeshindwaje kumburuza kisutu Keenja?kama imeweza kwa Mramba, Yona na Mgonja, inashindwa nini kwa Keenja???Huoni kuwa haya madai ya ubadhirifu yanaweza kuwa ni majungu na husda??? Ili kuicha udhaifu wa Mkama na timu yake pale city????Huyu mkama wakati akiwa mkurugenzi wa jiji si alikuwa anashinda na kukesha pale durban hotel akigida, alia anafanya kazi muda gani???kwakuwa ni mtu wako wa karibu naomba umfikishie hayo mawali kama kuna ambalo utakuwa huna majibu yake lakini kama unayo basi naomba ufafanuzi tafadhali[/SIZE]
 
- Mkuu naona mengine yote umejibiwa tayari, naomba nikusaidie hili tu, kumbe ulikuwa hujui kuwa hawa jamaa wameoa nyumba moja? Unafikiri ni kwa nini Sumaye alimpa ile kazi City kwa kutumia nguvu? Halafu unafikiri ni kwa nini Sumaye alitumia ubabe sana kumpitisha ubunge kule ubungo over Mama Kilango? Nani aliyempa uwaziri under Mkapa kama sio Sumaye? Sasa unasema yote haya alikuwa akimfanyia bure tu bila ya uhusiano wowote wa karibu?

- Mkuu Keeenja na Sumaye wameoa nyumba moja, ndio hasa sababu ya Keeenja kupanda juu haraka sana na kushuka haraka sana pia kama Sumaye, kama ulikuwa hujui unaweza kuulizia wanaojua vizuri ukasaidiwa huko Moshi wanakotoka wake zao, na the good thing ni Mkama ni mshikaji wangu wa karibu sana ndio maana nikaweza kupata kujua vizuri kwa undani ya Keeenja kule City, na ubadhirifu wake, yeye na Magufuli wana style moja nayo ni kuonyesha kazi saafi lakini kudanganya gharama zake,

According to wanaowajua vizuri, wakisema kazi imetumia shillingi Billioni 2, ujue ilikuwa kazi ya Billioni moja, nyingine wameongeza hewa na kutia ndani, Keenja alitakwua kuwa wa kwanza kule Kisutu mkuu, wala sio siri! Mkuu zamani hata mimi nilikuwa ninaamini kuwa Keenja ni malaika mpaka ndugu yangu Mkama alipoingia kule ndio nikajua ukweli wa yaliyojiri kuw a ni aibu!

Narudia kusema na tena wakati huu natumia sauti kubwa kuwa "KEENJA NA SUMAYE HAWANA UHUSIANO WOWOTE ZAIDI YA ULE WA KIKAZI". Ukitaka kuweka dau weka. Nina uhakika nitashinda. Ongea kwa hoja. Hujui hata mke wa mmoja wao katoka wapi. Kwa taarifa ya ko, mke wa Sumaye ni Mmachame na wa Keenja ni Mkibosho. Acha kuleta porojo usizozijua, tafuta ukweli wa kuthibitika.

Mkama akikuambia hayo unayosema, ninamuelewa. Maana aliingia Jiji akiwa na challenge ya kufikia mafanikio ya Tume ya Jiji, alishindwa na kama unaishi Dar utakuwa unajua hilo. Kitu cha kwanza alichofanya ni kukandia mafanikio yote, na kujipachika mafanikio ambayo aliyakuta. Alishindwa hilo pia. Angalia Jiji alilokuwa akiliongoza Mkama lilikuwa Jiji la namna gani. Acha porojo Mkuu.

Sumaye hakushinikiza hata siku moja katika uchaguzi wowote wa Keenja UBUNGO. Labda unieleze alishinikizaje. Maana naona unasema mambo usiyoyamalizia kwa uthibitisho.

NARUDIA TENA, KEENJA hawezi na hajawahi kufodge hata senti tano. Sio tajiri kama unavyodhani, namjua kuliko unavyoweza kumjua.
 
Keenja ni mtendaji mzuri na mwenye uwezo lakini ana ego sana. Alikuja hapa Houston miaka fulani iliyopita na kuanza kukejeli Watanzania kwamba hawana pesa, ikiwa na maana yeye anapesa ya ufisadi. Kwasababu alikuwa na Sumayi hakujua kama itafikiwa wakati atakuwa hana kazi!. Huyu jamaa aliweka tumbo mbele wakati wa mkapa na ndiyo maana hayupo madarakani. Mimi ningemshauri aje tena hapa na aone kwamba maisha ya watu yanabadilika.
 
Keenja
si ndiye mbunge wa ubungo? na kama ndiye je matokeo yake ya ubunge ktk chaguzi iliyopita dhidi ya JJ Manyika alishida kihalali ama vipi?
 
1.
Inawezekana Mkama anamsema hivyo Keenja ili kutaka aonkane yeye ni bora zaidi yake.Mkama amekuwa mkurugenzi wa jiji lkwa muda mrefu tu lakini hana lolote la kujisifia au la kukumbukwa alilofanya ndani ya jiji.

Kwakuwa Keenja wameoa familia moja na Sumaye, na kwakuwa Keenja ndio alikuwa campaign manager wake, na kwakuwa Keenja alifanya ubadhirifu mkubwa sana pale city, na kwakuwa Sumaye hayuko madarakani tena(kwakuwa ndiye alikuwa akimbeba), Sasa linakuja swali kwako kwamba, Mkama na serikali kwa ujumla imeshindwaje kumburuza kisutu Keenja?kama imeweza kwa Mramba, Yona na Mgonja, inashindwa nini kwa Keenja???Huoni kuwa haya madai ya ubadhirifu yanaweza kuwa ni majungu na husda??? Ili kuicha udhaifu wa Mkama na timu yake pale city????Huyu mkama wakati akiwa mkurugenzi wa jiji si alikuwa anashinda na kukesha pale durban hotel akigida, alia anafanya kazi muda gani???kwakuwa ni mtu wako wa karibu naomba umfikishie hayo mawali kama kuna ambalo utakuwa huna majibu yake lakini kama unayo basi naomba ufafanuzi tafadhali

- Anyways, nimekusikia mkuu najua Mkama sasa ni katibu mkuu wa wizara na Keenja sio waziri tena, na aliyoyafanya Ubungo kwenye ubunge kwangu ni ushahidi tosha kwamba sivyo kama anavyotaka afahamike na public kwamba ni msafi sana, na kuhusu kwenda Kisutu usije rule out mkuu maana bado shughuli inaendelea mpaka 2010, kwa hiyo la kwamba hawezi kufika Kisutu ninaamini kwamba hata Sumaye anaweza kufika huko licha ya Keenja, lakini nimekusikia bro na una hoja nzito!

2.
Narudia kusema na tena wakati huu natumia sauti kubwa kuwa "KEENJA NA SUMAYE HAWANA UHUSIANO WOWOTE ZAIDI YA ULE WA KIKAZI". Ukitaka kuweka dau weka. Nina uhakika nitashinda. Ongea kwa hoja. Hujui hata mke wa mmoja wao katoka wapi. Kwa taarifa ya ko, mke wa Sumaye ni Mmachame na wa Keenja ni Mkibosho. Acha kuleta porojo usizozijua, tafuta ukweli wa kuthibitika.

- Kwamba Keeenja na Sumaye, wana uhusiano wa kikazi tu hapana ninazo sababu nyingi sana za kuikataa hiyo hoja, kutokana na mengi ninayoyajua yanayowahusu hao wawili, kwamba eti Sumaye baada tu ya kupata u-PM alivunja uongozi wa City, na kumtoa Keenja Ruvuma na kumpa City just because wana uhusiano wa kikazi tu please mkuu not that fast na ndio porojo yenyewe kama unavyosema mwenyewe!

- Kuhusu wake zao, ni kwamba siku moja nilienda nyumbani kwa Sumaye akiwa waziri mkuu nikiwa nimefuatana na mkulu mmoja, nikawakuta wakulu wawili Sumaye na Keenja wamelala nje wanakula summer yaani wanachoma nyma huku wamekula bukta tu vifua wazi, nikamuuliza yule mkulu tulipoondoka kulikoni? Ndio akanipa hiyo info kua hawa wameoa nyumba moja, I mean urafiki wa kikazi tu kati ya mkuu wa City na a sitting Waziri Mkuu kufikia yote haya mkuu are you serious? Halafu mbona una hasira sana na maneno ya kashfa nimegusa pabaya nini? Ya kuoa pamoja hata yasipokuwa na nguvu lakini urafiki wao kwangu bado haukuwa wa kawaida au unasemaje mkuu unless wao ni ndugu, au?


3.
Mkama akikuambia hayo unayosema, ninamuelewa. Maana aliingia Jiji akiwa na challenge ya kufikia mafanikio ya Tume ya Jiji, alishindwa na kama unaishi Dar utakuwa unajua hilo. Kitu cha kwanza alichofanya ni kukandia mafanikio yote, na kujipachika mafanikio ambayo aliyakuta. Alishindwa hilo pia. Angalia Jiji alilokuwa akiliongoza Mkama lilikuwa Jiji la namna gani. Acha porojo Mkuu.

- Hakuna mahali nimesema kwamba Mkama alifanya kazi nzito na saafi kuliko ya Keeenja, kwa hiyo kama ni porojo basi hiyo ndio porojo kutoka kwako, sasa Mkama alishindwa lakini akawa promoted na kuwa katibu mkuu wa wizara tena na serikali tofauti na ile iliyompa City, hapo mkuu huoni porojo zilipo sasa? Kati ya hawa wawili nani alikuwa bora kuliko mwenziwe, sijui na wala sina uhakika ila kazi ya Keenja nimeiona na ninakubali kuwa alifanya kazi nzito sana, lakini sio kwenye mahesabu, alifanya ubadhirifu wa hali ya juu sana, kiasi kwamba wengi wa maofisa wake wa chini waliokuwa wakinufaika naye walijitoa kazi baada ya yeye kuondoka tu!

4.
Sumaye hakushinikiza hata siku moja katika uchaguzi wowote wa Keenja UBUNGO. Labda unieleze alishinikizaje. Maana naona unasema mambo usiyoyamalizia kwa uthibitisho. NARUDIA TENA, KEENJA hawezi na hajawahi kufodge hata senti tano. Sio tajiri kama unavyodhani, namjua kuliko unavyoweza kumjua.

- Kwenye uchaguzi wa Ubungo, kwanza alishindana na Mama Kilango Sumaye akawatumia Makamba aliyekua RC, Londa aliyekua Mayor wa Kinondoni, na Sykes aliyekua Mayor wa Dar, kwa bahati nzuri Mkapa akiwa rais alikua akiufutailia sana na kwa karibu ule uchaguzi na alijua maovu yote aliyofanyiwa Mama K, akaamua kumpa ubunge wa bure, na kwenye uchaguzi wake na Mnyika, nafikiri ukitafuta archives humu ndani utakuta madudu yote aliyomfanyia Mnyika kwenye ule uchaguzi, lakini sina tatizo kukubali kuwa maneno yangu ni porojo kama unavyodai.

- Kwamba hata hawezi ku-fodge hata senti tano, hilo limenishitua sana inaelekea kwua una uhusiano wa karibu sana na huyu mkuu, lakini samahani kama nimekukwaza mkuu, unajua hapa JF ni mahali pa siasa kwa hiyo habari za mwanasiasa yoyote ni fair game, as long as hatumsemi uongo, ninaamini unamjua sana kuliko mimi na wala sina tatizo kulikubali, lakini kuna siku huko majuu nilienda naye sehemu kufanya shopping mkuu kama kweli zile hela alizokuwa akizichoma ni zake za halali za kufanyia kazi, basi ninakubali kuwa ninaleta porojo maana unajua mkuu aliweka historia pale dukani, otherwise samahani kwa kukukwaza mkuu, ila simjui sana kama unavyomjua, na wala sina sababu ya kuweka dau au kugombana na wewe lakini siamini kabisa kwamba ni kiongozi makini kama ambavyo alijaribu sana kuji-potray kwa sababu angekua basi angekua bado waziri sasa hivi na ndio hasa kilichomkimbiza kutafuta ubunge, au nimekosea mkuu?.

Thanxs!
 
1.

2.

- Kwamba Keeenja na Sumaye, wana uhusiano wa kikazi tu hapana ninazo sababu nyingi sana za kuikataa hiyo hoja, kutokana na mengi ninayoyajua yanayowahusu hao wawili, kwamba eti Sumaye baada tu ya kupata u-PM alivunja uongozi wa City, na kumtoa Keenja Ruvuma na kumpa City just because wana uhusiano wa kikazi tu please mkuu not that fast na ndio porojo yenyewe kama unavyosema mwenyewe!

- Kuhusu wake zao, ni kwamba siku moja nilienda nyumbani kwa Sumaye akiwa waziri mkuu nikiwa nimefuatana na mkulu mmoja, nikawakuta wakulu wawili Sumaye na Keenja wamelala nje wanakula summer yaani wanachoma nyma huku wamekula bukta tu vifua wazi, nikamuuliza yule mkulu tulipoondoka kulikoni? Ndio akanipa hiyo info kua hawa wameoa nyumba moja, I mean urafiki wa kikazi tu kati ya mkuu wa City na a sitting Waziri Mkuu kufikia yote haya mkuu are you serious? Halafu mbona una hasira sana na maneno ya kashfa nimegusa pabaya nini? Ya kuoa pamoja hata yasipokuwa na nguvu lakini urafiki wao kwangu bado haukuwa wa kawaida au unasemaje mkuu unless wao ni ndugu, au?


3.

- Hakuna mahali nimesema kwamba Mkama alifanya kazi nzito na saafi kuliko ya Keeenja, kwa hiyo kama ni porojo basi hiyo ndio porojo kutoka kwako, sasa Mkama alishindwa lakini akawa promoted na kuwa katibu mkuu wa wizara tena na serikali tofauti na ile iliyompa City, hapo mkuu huoni porojo zilipo sasa? Kati ya hawa wawili nani alikuwa bora kuliko mwenziwe, sijui na wala sina uhakika ila kazi ya Keenja nimeiona na ninakubali kuwa alifanya kazi nzito sana, lakini sio kwenye mahesabu, alifanya ubadhirifu wa hali ya juu sana, kiasi kwamba wengi wa maofisa wake wa chini waliokuwa wakinufaika naye walijitoa kazi baada ya yeye kuondoka tu!

4.

- Kwenye uchaguzi wa Ubungo, kwanza alishindana na Mama Kilango Sumaye akawatumia Makamba aliyekua RC, Londa aliyekua Mayor wa Kinondoni, na Sykes aliyekua Mayor wa Dar, kwa bahati nzuri Mkapa akiwa rais alikua akiufutailia sana na kwa karibu ule uchaguzi na alijua maovu yote aliyofanyiwa Mama K, akaamua kumpa ubunge wa bure, na kwenye uchaguzi wake na Mnyika, nafikiri ukitafuta archives humu ndani utakuta madudu yote aliyomfanyia Mnyika kwenye ule uchaguzi, lakini sina tatizo kukubali kuwa maneno yangu ni porojo kama unavyodai.

- Kwamba hata hawezi ku-fodge hata senti tano, hilo limenishitua sana inaelekea kwua una uhusiano wa karibu sana na huyu mkuu, lakini samahani kama nimekukwaza mkuu, unajua hapa JF ni mahali pa siasa kwa hiyo habari za mwanasiasa yoyote ni fair game, as long as hatumsemi uongo, ninaamini unamjua sana kuliko mimi na wala sina tatizo kulikubali, lakini kuna siku huko majuu nilienda naye sehemu kufanya shopping mkuu kama kweli zile hela alizokuwa akizichoma ni zake za halali za kufanyia kazi, basi ninakubali kuwa ninaleta porojo maana unajua mkuu aliweka historia pale dukani, otherwise samahani kwa kukukwaza mkuu, ila simjui sana kama unavyomjua, na wala sina sababu ya kuweka dau au kugombana na wewe lakini siamini kabisa kwamba ni kiongozi makini kama ambavyo alijaribu sana kuji-potray kwa sababu angekua basi angekua bado waziri sasa hivi na ndio hasa kilichomkimbiza kutafuta ubunge, au nimekosea mkuu?.

Thanxs!

Mkuu FMES, naomba nikuhakikishie kuwa sina hasira hata kidogo na maelezo yako yoyote. Unachosema si kigeni, na hakina madhara. Ila pamoja na kujaribu kwangu kukuthibitishia uhusiano wa Keenja na Sumaye, bado unadhani uko sahihi. Naamini ni vyema nikaendelea kukuthibitishia tu kwamba uhusiano wao ulikuwa wa kikazi na unaweza kuwa umekuwa wa kirafiki baada ya hapo.

Hoja yako ya 2, Kwamba Sumaye ndie aliempa Keenja Uenyekiti wa Tume ya Jiji, hauna ukweli wowote. Ukweli ni kwamba, ilipovunjwa Tume ya Jiji, Rais alimteua Mwenyekiti wa Tume hiyo (Keenja) kama Mamlaka yake ilivyomruhusu. Na wala sio Waziri Mkuu aliefanya uteuzi huo. Na wakati wa uteuzi huo, Keenja alikuwa ameshastaafu na alistaafu (miezi 6 kabla ya uteuzi wa kuwa Mwenyekiti wa Tume) baada ya kuhudumia katika Mkoa wa Iringa na sio Ruvuma.

Kwamba uliwahi kuwakuta wakichoma nyama, haisababishi wawe wameoa nyumba moja. Japokuwa nina wasiwasi sana na maelezo yako ya jinsi ulivyowakuta. Hata mimi naweza kukaa na wewe tukachoma nyama bila kuwa tumeoa nyumba moja. Ninapenda ukweli utawale zaidi. Maana JF ni jamvi la wasema ukweli na ningependa liendelee kuwa hivyo.

Hoja yako ya 3, haina nguvu sana. Maana Mkama bado ni mtumishi wa umma na uteuzi wake unatokana na ridhaa ya Rais, nadhani inatosha kusema alionekana anafaa kwa madaraka aliyopewa na Rais. Sina nia ya kusema kuwa Mkama si mtendaji mzuri (ukidhani hivyo, utakuwa umenielewa vibaya). Ndani ya serikali, kuna watu wengi sana wenye uwezo mzuri sana kiutendaji (pamoja na Mkama). Naomba utambue kuwa, baada ya muda wa Tume ya Jiji kumalizika, Tume ya Jiji ilivunjwa na hivyo viongozi wote walikuwa wamemaliza muda wao, kama ajira ile ilivyowataka.

Hoja yako ya 4, imekaa vibaya kiasi. Ili kuiweka sawa. NIngependa ujue kuwa Mayor Londa alikuwa Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni na wala sio Mayor wa Kinondoni. Wakati ule, Wakurugenzi wa Municipa walikuwa wakiongoza Municipal hadi Ma-Mayor walipochaguliwa katika uchaguzi Mkuu 2000. Sykes pia hakuwa Mayor kwa mantiki hiyo hiyo. Pia, Makamba hakuwahi kufika kwenye kampeni za ndani ya chama katika Jimbo la Ubungo. Nataka kukuhakikishia kuwa Mama Kilango ni mahiri sana katika kampeni na pia ni Mama wa aina yake. Sisi tuliokuwepo kwenye kampeni wakati ule, tuliona jinsi Mama huyo mahiri alivyofanya kampeni za kisasa kabisa. Uthibitisho zaidi ni Matokeo ya ushindi wake Kule Same Mashariki mwaka 2005.

Kwamba aliwahi kwenda dukani na kuweka historia, ni jambo la kushangaza sana. Ila naamini atakuwa aliweka historia pia ya kuwa na mizigo mikubwa na hivyo kushindwa kuibeba kuliko iliyowahi kuonekana mahali hapo, ama sio Mkuu? Hujanikwaza ndugu yangu ni mambo ya kisiasa tu hayo Mkuu.
 
Keenja ni mtendaji mzuri sana na alifanya vizuri jiji kwa vile yeye ndo alikuwa top, serikalni yeye hakuwa top, na watu walishajipanga kugombea urais hivyo walikuwa wanampiga viti asiibuke mtendaji mzuri na kupata sifa toka kwa wananchi kiasi kwamba wangemuomba kugombea urais, hivyo ni mbinu ilitekelezwa kumkwamisha
 
Back
Top Bottom