Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni ya serekali au ya lutherani mana sielewi
Hili ndio lilikuwa lengo lako na wala si ulichokuwa unaeleza mwanzo. Kwanza hujatuambia tatizo ni nini unasema unazungushwa. Kama umefika hospitali na mama yako wa miaka 98 na kuwaambia wauguzi ana ujauzito unategemea madaktari wasifanye kikao?
Eleza vizuri umezungushwaje, na uzingatie umma wa Kaskazini na kila kona ya nchi wanaenda huko. Sijui ni kwa nini tunapenda kwenda kwenye hospitali za rufaa hata kwa matatizo madogo madogo kama malaria.
ya LUHERAN, vp umeuliza taratibu zinakwendaje, au unalalama tu. Maana watu wanaishia kutouliza mwishowe wanachelewa matibabu