Naisoma360
JF-Expert Member
- Jan 23, 2015
- 820
- 491
kwenye nini? nani alikwambia haitokuwepo?Hahaha! Mbona bado naona means tested?
Naiona kwenye kila kitukwenye nini? nani alikwambia haitokuwepo?
KUMBE WA TIA TUPO WENGI HAHAHMmmh jaman mbona sisi wa T.I.A hata first batch hatujapewa.. heslb MUNGU anawaona jamani
eee second birch tiar siku nyingi tuInamana second birch tiari wanajukwaa
Awamu yakwanza mbona haipo kwenye web ya chuo? Na ukichukua index no ya aliyewekewa hiyo batch 2 y kcmc ukaipeleka kwny procedure za loan allocation inakwambia amebe allocated on first batchheslb still wapo 1st batch iyo ni 2nd batch kwa kcmc means kuna awamu ya kwanza kwa chuo icho walishatengewa na iyo ni awamu yapili kwao.
m.pn
HHahaha! Mbona bado naona means tested?
Swali lako linanifanya niendelee kuamini kuwa To lead Tanzanian is very simple task,And that is what Magu is doing right now.Hahaha! Mbona bado naona means tested?