KCB (T) LTD kuna tatizo kubwa yageuka na kuwa ya kiswahili kirefu!!

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,987
20,271
Kwakweli inaboa sana yani kila ukifika wanakwambia mtandao upo chini waweza kuchukua hata dk 30 kwa shughuli ya 5dk! Balaa zaidi limeanza jana ya hakuna kuchukua pesa kwenye bank teller labda uwe na ATM, ishu ipo kwa wenye a/c za kampuni yani tunaambiwa hapa nikuweka pesa tu sio kuchukua!!
Hebu wataalamu wa sheria mtusaidie hii inakaaje? Nani ataliziba pengo la hasara iliyo kwa sasa?
 
Taabu ya Bank zetu hapa nchini nadhani hii mitambo yao wanayotumia WALIGAWIWA BURE KUPUNGUZA UCHAFU ktk nchi zilizoeendelea! MTandao unakuwa DOWN siku 2; pesa wanapokea..KWanini wasitoe pia??? Mbona zamani walikuwa wanatumia makaratasi (manual) na huduma zilikuwa zinapatikana??? Africa ya Mashariki sisi ndiyo tumefunga kompyuta KUPUNGUZA UFANISI!!!!!

Taabu siyo kwa KCB tuu; mie ni mteja wa CRDB.....Kuna wakati unatamani kulia..Utadhani hela siyo zako umeenda kukopa!!!!! BoT ambao naamini ndiyo regulators wa shughuli za mabenko hapa nchini inabidi waingilie kati na kuweka utaratibu utakaotulinda wateja!!! Vinginevyo waweza kufa kwa njaa na hela yako iko Bank!!!Kisa MTANDAO
 
tunaiita benki ya kijani watu walipiga saaana kwenye atm zao mbovu tehe. unaenda ndani kwa teller unachukua pesa kilo nne ukitoka nje kwenye atm zao ukiweka kadi unakuta balance yako iko vile vile unavuta tena no record hapa bongo mpaka eti nairobi kcbbbbbbbbbbbb bana
 
sasa fanya unachukua pesa toka western union kupitia kcb uone adha yake. Kijani rangi tu ni benki ya kizembe hakuna mfano!
 
Back
Top Bottom