Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
- Thread starter
- #21
mke wangu alikuwa huko, nilimruhusu.
nayajua mabo ya ulabu na shangwe,
niko tayari kupokea kila picha mtakayo tuma, hata kama mmawatoto alisasambua, sitalaumu kwa kuwa niligoma kwenda.
party hiyo ilifanyika ljumaa kwenye ubalozi na makao makuu yao yaliyopo obay.
Kwa Ruksa yako Mkuu . . . LOL