Kazi

fanyia kazi ushauri wa Senetor hapo juu maana alichonacho hakitoshi
 
uhamiaji wametoa kazi wanataka watu wenye form 6 na wawe na diploma ya sheria mwambie achangamke atembelee website ya immigration for details
 
Mkuu endelea kutafuta kaz usikate tamaa. Kuna wenye masters zao hawana kazi na hiyo Dp yako ya sheria usichague career, angalia hata related fild. Ongeza shule.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom