High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,083
jamani habari za asubuhi hivi nasikia kuna ving'amuzi ambavyo vinauwezo wa kurekodi kipindi kwa kutumia frashi sasa kazi za wasanii zinaweza kushuka mtu kama anataka kununua cd zima anasubilia wimbo upigwe studio ili arekodi akishapata hanunui tena
au haiwezekani hebu mwenye uelewa atueleze
au haiwezekani hebu mwenye uelewa atueleze