bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
<br />kwani kakija ndo katanifanya nini? hata kaje na kale kenzie ka afrodenzi hawaniwezi
<br />
Mmmmmh!!
<br />kwani kakija ndo katanifanya nini? hata kaje na kale kenzie ka afrodenzi hawaniwezi
mhh we NN mbona mchokozi ivo?
aya mintakuwa siamulii ngoja waje...unawachokozaga mwenyeweeee wewe ....ngoja waje
<br />
<br />
Mmmmmh!!
Na wewe sharobaby
Ka Lizzy kumbe ni ka sekretari....ndo maana kanakesha JF
Yani boss ananipenda mpaka kaninunulia laptop...eti ili nifanye kazi hata jioni kupunguza za mchana.Kisa sijaolewa...utadhni kua singo ndo kunamaanisha sina ishu nyingine baada ya kazi!!
kwani unadhani naogopa? ka lizzy nimekaona sehemu kule MMU....leo sijui kanaumwa maana hakajachangia popote
Yani boss ananipenda mpaka kaninunulia laptop...eti ili nifanye kazi hata jioni kupunguza za mchana.Kisa sijaolewa...utadhni kua singo ndo kunamaanisha sina ishu nyingine baada ya kazi!!
hahah hahha umenichekesha ..aya bana,,bt duhh sharobaby?
mhh apana
mi wakawaida saaaana ..labda mselababy...bt i have nthng 2do wth sharooooosss.com...
<br />heee na wewe hupitwi.....huku nani kakuleta? au umeboreka kule kwenye mapenzi?
Hahhhahha....double G asante sana kwa kunichekesha maana ningelala sijacheka leo.<b>Lizzy-secretary, Preta-anahudumia internet cafe, Shosti-Saluni Asprin-anajishughulisha na shughuli ndogo ndogo(baada ya kutimuliwa ofisini) mwanakijiji-anauza mbogamboga(mvua nayo hamna anatafta kazi nyingine) Husninyo-saluni , Ivuga-kinyozi ,M.Roza-mama wa nyumbani ,Saigoni-underground(hiphop) ,Tusker baridi-as if inahitaji ufafanuzi wa kazi yake. haha,just 4 laughs guys take it easy,the list goes on t's free to add...</b>
Kloro pleaaaaase...mambo mengine yamebaki historia tu!!na ule mradi wako wa vitumbua na maandazi unaendeleaje?
aayaaaa weeee hatimaye umekuja daaaaah
NN ni janitor pale British Council...hua anawahi kazini ili achungulie wanachofundishwa wanafunzi nae akabie hapo hapo kwahiyo msishangae kajulia wapi kimombo huyu mmIkungulyabashashi.
mhh kumbe unakafatiliaga enh?<br />
aya bana...ngoja aje mtakutana wenyewe....then mkioana mtakuwa couple nzuri..wanaogechana ndo wanaopendana....(lizyy sor jst jok....manake mhh)
kazi ni kazi wajameni! mskimbie kazi zenu, hivi nani anajua kwamba Paw na umod wake juzi nilimkuta anapiga polish viatu! mokas anachaji jero, tough buti anachaji shiling saba! kulaleki!Kloro pleaaaaase...mambo mengine yamebaki historia tu!!
You must have been dropped on your head when you were a baby.....I haven't laughed all day and all night until now. This was a much needed comic relief!
sasa mbona unaandikaga kisharo sharo?
Embu kwenda zako huko....kazi gani ya kumalizia mtaji kuwakopesheni wachovu wa mtaa?!kazi ni kazi wajameni! mskimbie kazi zenu, hivi nani anajua kwamba Paw na umod wake juzi nilimkuta anapiga polish viatu! mokas anachaji jero, tough buti anachaji shiling saba! kulaleki!