Pole sana kaka kwa uvumilivu ulionesha mpaka sasa. Kama walivyosema wachangiaji wa mwanzo keep on applying dont give up. Usiachie hapo tu funga na kuomba kwa imani yako kwa wiki moja ukilenga sehemu unayoitaka. Am sure God will help. Binafsi nilifanya hivyo nilifanikiwa.