Kazi za MSD

​mnakera sana kwa uvivu wenu hivi unashindwa ku google website yao na kupata in details hizo nafasi kuliko kuja jf kusumbua watu
 
Mimi nafikiri hakukuwa na shida mtu kuuliza...na sio usumbufu...!!
 
JAMANI NAOMBA TUSAIDIANE, KWA HALI YA MH. REGIA kweli alikuwa na sababu yoyote ya kujiendesha.....pamoja na kuwa wote tunayo siku yetu,pale naona kama alikwenda kinyume na hakujitendea haki!! :A S embarassed: na analipwa posho na mshahara wa driver.......!!
 
Back
Top Bottom