Konunu Kokojako
Member
- Mar 1, 2011
- 20
- 1
Naomba nifahamishwe kuhusu kazi za kujitolea katika mashirika na makampuni mbalimbali.
Kuna wengine wanalipa Nauli na Chakula cha mchana,
wengine nauli tu na
wengine hawamlipi chochote huyu anayejitolea.
Hii imekaaje? Namaanisha ni utaratibu sa ofisi yenyewe au maamuzi binafsi ya bosi au kwenye sheria za kazi za nchi yetu ipoje?
Sijui, naomba mnijuze.
Kuna wengine wanalipa Nauli na Chakula cha mchana,
wengine nauli tu na
wengine hawamlipi chochote huyu anayejitolea.
Hii imekaaje? Namaanisha ni utaratibu sa ofisi yenyewe au maamuzi binafsi ya bosi au kwenye sheria za kazi za nchi yetu ipoje?
Sijui, naomba mnijuze.