thesolomon
Member
- Oct 25, 2011
- 35
- 5
- Thread starter
- #21
ok walioapply hii kazi kma mmewaona wajinga basi leo j3 na j4 wataitwa kwa interview na watajionea ni kampuni kubwa kwa kuanzia maisha ambayo itawasukuma kupata kazi nyengine badae
Tunatafuta vijana wa kufanya kazi katika kitengo kimoja wapo cha kampuni yetu .
awe na degree ya ict au computer or advanced diploma but even diploma can send their applications. but salary is around 25o,000/ for succesful candidates. we need 3 guys who will be under probation period of 6 months.
ni sehemu nzuri kwa kuanzia kazi na kupata uzoefu ni kampuni kubwa na yenye kujuilikana international japo kuwa mshahara sio mzuri sana ila unaweza kupanda kulingana na uwezo wako wa kujituma .
mazingira mazuri ya kazi za ofisini wewe na computer yako .
tumeni cv na certificates kwa email hii hapa as soon as possible thesuley@yahoo.com,interview will be done on monday 27 feb and tuesday 28 feb buy you will be notified of where about if you will be shortlisted
kila la kheri
of cause hatukupenda kuweka jina kwa sasa ila kampuni ipo Dar esalaam na mwenye interest atume application zake ,is international company dealing with security however the job is office job dealing with data entry and other tasks,is a good place to gain your experience.
ok walioapply hii kazi kma mmewaona wajinga basi leo j3 na j4 wataitwa kwa interview na watajionea ni kampuni kubwa kwa kuanzia maisha ambayo itawasukuma kupata kazi nyengine badae